ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
muziki unalipa, wamejiuliza baada ya kuona mondi anapiga helaSasa hivi kila msanii anataka kurudi kwan hamna kazi nyingine za kufanya
Mashairi yapo vizuri kwenye huu wimbo,ujumbe tosha kabisa kwa jamii,kweli jamaa ana kipaji cha kipekee.Sijali ulipo teleza!! Naangalia kipaji chakoo!!! Ningelia ungekuwa umefariki lakini as long as upo hai,nitaendelea kuwa shabiki wakooo.......At least kwenye matamasha ya elimu rika sasa tutazisikia nyimbo zako!!! Ujumbe mzuri sanaaa hata mimi umenigusaaa watoa mimba watakuchukia sanaaaaaaa!!! Welcomeback 20% welcome back chied Benzi