Simba kutaka kucheza mechi za kirafiki na al hilal ni kujimaliza, kutafuta injury bila sababu.
ZIMBWE NA KAPOMBE HAWAPATI ROTATION HAPO HAPO TUNA MECHI NA SINGIDA BIG STARS KABLA YA KUSAFIRI KWENDA GUINEA KUCHEZA NA HOROYA FC.
AL HILAL walikuwa mapumzikoni hawana mechi SImba kila wiki wana mechi why kucheza tena game na al hilal tunatafuta nini tayari wacheza wapo na wanacheza week to week, labda kama watapanga ambao hawachezi kabisa but nayo ni risk ukimpoteza mtu kama kakolanya akauumia kwenye mechi ya bonanza ni ujinga. Huwez kuona mambo kama haya ULAYA ktkt ya ligi mnacheza mechi ya kirafiki so what. Wanasimba hii inatumaliza
Viongozi wasipende kuchukua hela tu za AL HILAL.
Tunaomba hawa wasichezeeee
MANULA
KAPOMBE INONGA ONYANGO ZIMBWE JR
KANOUTE MZAMIRU
SAIDO SAKHO
CHAMA
BALEKE
Wengine BOCCO PHIRI BANDA OKRAH tutunze energy ya kucheza ugenini
ZIMBWE NA KAPOMBE HAWAPATI ROTATION HAPO HAPO TUNA MECHI NA SINGIDA BIG STARS KABLA YA KUSAFIRI KWENDA GUINEA KUCHEZA NA HOROYA FC.
AL HILAL walikuwa mapumzikoni hawana mechi SImba kila wiki wana mechi why kucheza tena game na al hilal tunatafuta nini tayari wacheza wapo na wanacheza week to week, labda kama watapanga ambao hawachezi kabisa but nayo ni risk ukimpoteza mtu kama kakolanya akauumia kwenye mechi ya bonanza ni ujinga. Huwez kuona mambo kama haya ULAYA ktkt ya ligi mnacheza mechi ya kirafiki so what. Wanasimba hii inatumaliza
Viongozi wasipende kuchukua hela tu za AL HILAL.
Tunaomba hawa wasichezeeee
MANULA
KAPOMBE INONGA ONYANGO ZIMBWE JR
KANOUTE MZAMIRU
SAIDO SAKHO
CHAMA
BALEKE
Wengine BOCCO PHIRI BANDA OKRAH tutunze energy ya kucheza ugenini