Tetesi: Ujio wa Dj Snake bongo

Tetesi: Ujio wa Dj Snake bongo

Kwani wewe unafikiri nani Duniani hajawahi kusikia kuhusu Serengeti? Unafikiri tunategemea video za Ney wa Mitego kutangaza mlima Kilimanjaro? Anyway, that's your idea.
Wewe bongolala kwel kwa akil hizi ndomana wakenya wanatupiga gep..saiv wazungu weng wanajua Kilimanjaro ipo kenya na kiswahili ni lugha ya kenya..
Kuna watu duniani(tena asilimia kubwa ya dunia) hawajui hata kama kuna nchi inaitwa Tanzania sembuse Serengeti?
Hapa hapa tz tu kuna wabongo hawajui rais wa marekani anaitwa nan..na wengine bongo hapahapa hawajui Serengeti iko wapi
 
Wewe bongolala kwel kwa akil hizi ndomana wakenya wanatupiga gep..saiv wazungu weng wanajua Kilimanjaro ipo kenya na kiswahili ni lugha ya kenya..
Kuna watu duniani(tena asilimia kubwa ya dunia) hawajui hata kama kuna nchi inaitwa Tanzania sembuse Serengeti?
Hapa hapa tz tu kuna wabongo hawajui rais wa marekani anaitwa nan..na wengine bongo hapahapa hawajui Serengeti iko wapi


Kwa maneno uliyoandika hapa, umepata wapi kiburi cha kuniita mimi bongo lala? Sasa kumjua rais wa Marekani kuna umuhimu gani? Au kuna uhusiano gani na Serengeti? Kwani ni lazima wazungu wote wajue Tanzania iko wapi?
Kama wazungu wanajua Kilimanjaro ipo Kenya, wakifika Kenya ndio wanaweza kupanda mlima bila kuingia Tanzania?
 
Naam! Remote

William Sami Grigahcine maarufu kama DJ Snake ni raia wa Ufaransa (France) mwenye asili kutoka Algeria.

DJ Snake ni DJ, Recording Producer (Mtayarishaji Muziki), mtaalamu wa upangaliaji nyimbo, mtunzi wa nyimbo pia mjasiriamali/mfanyabishara yaani entrepreneur.

DJ Snake ni moja kati ya watayarishaji muziki na DJ anayelipwa fedha nyingi kutokana na shows, uandishi, utayarishaji pia mikataba na mirabaha yaani endorsements na royalties kutoka kampuni kubwa na ndogo duniani kote inayomfanya kuwa katika nafasi 15 za juu.

DJ Snake anafahamika vizuri kwa kutoa/kuachia, kutayarisha, kuandika au kuchakata nyimbo za kukata na mundu, mfano wa nyimbo hizo ni;-

Taki Taki Ft. Ozuna muimbaji na muandishi kutoka Dominica Republic akiwa na sauti kutoka Nibiru. Selena Gomez mrembo mwenye mvuto mithili ya taifa la Namibia na mdada machachali Cardi B mweye flows za kuvunja chaga.

Fuego Ft. Sean Paul wenyewe wanamuita King wa Dancehall. Anitta mdada flani wa KiBrazil mwenye figure matata ya kilatin na Tainy mtayarishaji wa muziki mwenye ubora kama?! Baba lao.

Loco Contigo Ft. J Balvin sema Babvi'meen huyu ni Prince wa Reggaeton nyuma ya King Daddy Yankee pia Tyga akiwa katika wimbo huu.

DJ Snake amefanya kazi na Record Labels tofauti ikiwemo Spinnin, Sony, WEPLAY Group chini ya "Weplay Music na TONSPIEL", Columbia na Interscope kwa uchache.

DJ Snake ni mmoja kati ya wamiliki (Joint Ventures) na brand identity ya PARDON MY FRENCH.

Huyu anatambulika vyema kwa miondoko ya Dance/Electronic, Deep House (EDM). Huyu ndiye DJ Snake.
Noma sana!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani wewe unafikiri nani Duniani hajawahi kusikia kuhusu Serengeti? Unafikiri tunategemea video za Ney wa Mitego kutangaza mlima Kilimanjaro? Anyway, that's your idea.
Wewe jamaa waajabu sana Serengeti unaisikia kilasiku na kuifahamu wewe kwakuwa upo ndani ya Tz ni hivi nakwambia ⅓ robotatu ya watu wote Duniani hawajui kuna nchi inaitwa Tz, mfano mzuri wewe mwenyewe kuna nchi kibao ukitajiwa jina huzijui ila walikuwa kwenye hizo nchi wanadhani nchi yao vilivyomo vinajulikana kama unavyodhani wewe.

Portfolio | 2020
 
Wewe jamaa waajabu sana Serengeti unaisikia kilasiku na kuifahamu wewe kwakuwa upo ndani ya Tz ni hivi nakwambia ⅓ robotatu ya watu wote Duniani hawajui kuna nchi inaitwa Tz, mfano mzuri wewe mwenyewe kuna nchi kibao ukitajiwa jina huzijui ila walikuwa kwenye hizo nchi wanadhani nchi yao vilivyomo vinajulikana kama unavyodhani wewe.

Portfolio | 2020


Man, nimetembea Duniani kila ninayekutana nae nikitaka kuwambia Tanzania iko wapi easy way nikuwatajia Serengeti. Watu wanaijua kuliko unavyofikiria wewe. Na hiyo world map unayosema ipo kichwani kwangu, usifikiri watu wote tuko kama wewe
 
Kwa maneno uliyoandika hapa, umepata wapi kiburi cha kuniita mimi bongo lala? Sasa kumjua rais wa Marekani kuna umuhimu gani? Au kuna uhusiano gani na Serengeti? Kwani ni lazima wazungu wote wajue Tanza iko wapi?
Kama wazungu wanajua Kilimanjaro ipo Kenya, wakifika Kenya ndio wanaweza kupanda mlima bila kuingia Tanzania?
Kati ya serengeti na trump wewe unahisi kipi ni maarufu duniani kwa sasa?
Wazungu wengi wanaishia kenya due to low budget na ishu za visa...
Sasa mfano wewe umeandaa budjet ya kwenda marekani siku tano kuangalia pyramids ile unafika unaambiwa pyramids za hapa las vegas ni fake na zimejengewa concrete, OG zipo misri...ukicalculate kwenda misri ni gharama zingine itabidi tu sasa uangalie vitu vya hapohapo marekani...muda huo unawaingizia wao foreign currency kupitia vitu unavyonunua na mahotel unayolipia kukaa.
 
Man, nimetembea Duniani kila ninayekutana nae nikitaka kuwambia Tanzania iko wapi easy way nikuwatajia Serengeti. Watu wanaijua kuliko unavyofikiria wewe. Na hiyo world map unayosema ipo kichwani kwangu, usifikiri watu wote tuko kama wewe
Boss kuhifadhi ramani kichwani na kuzijua nchi ni vitu viwili tofauti, umeenda nchi kadhaa yepi na yepi unaijua Dunia vizuri wewe.

Portfolio | 2020
 
Boss kuhifadhi ramani kichwani na kuzijua nchi ni vitu viwili tofauti, umeenda nchi kadhaa yepi na yepi unaijua Dunia vizuri wewe.

Portfolio | 2020


Sio kuhifadhi ramani kichwani. In general knowledge lazima ujue how the world is. Kuhusu kutembea kwangu is not your business. Nilikuwa nakuelewesha tu watu Duniani wanaifahamu sana Serengeti kuliko unavyofikiria wewe. Dunia ahitaji kuangalia video za Bongo fleva kuifahamu. Serengeti iko juu zaidi ya kiduku.
 
Huyo jamaa ni balaa sana hasa nyimbo zake za singeli anauwa kinoma


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom