Ujio wa GSM umepoteza ladha na ushindani halali ligi kuu Tanzania Bara

Ujio wa GSM umepoteza ladha na ushindani halali ligi kuu Tanzania Bara

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
4,118
Reaction score
9,864
Great thinkers.
Hakuna kitu kinaharibu mambo kama conflict of interest.. udhami k wanGsm wa Vila u kadhaa Tanzania Bara umeondoa Imani ya mashabaiki wengi es Mpira wa miguu Tanzania.

Kwa wa watu wengi wanaamini hi matokea ya Mechi nyingi yanapangwa nje ya uwanja jambo( Mechi fixing) jambo ambalo linawezekana kabisa.

Ili ligi iwe tamu na yenye kuvutia na ushindani halali kila timu iwe na mzamini wake tofauti kabisa pia viongozi wa Mpira waache ulafi na rushwa wanaua timu na kukatisha Tamaa wawekezaji.
 
Great thinkers.
Hakuna kitu kinaharibu mambo kama conflict of interest.. udhami k wanGsm wa Vila u kadhaa Tanzania Bara umeondoa Imani ya mashabaiki wengi es Mpira wa miguu Tanzania.

Kwa wa watu wengi wanaamini hi matokea ya Mechi nyingi yanapangwa nje ya uwanja jambo( Mechi fixing) jambo ambalo linawezekana kabisa.

Ili ligi iwe tamu na yenye kuvutia na ushindani halali kila timu iwe na mzamini wake tofauti kabisa pia viongozi wa Mpira waache ulafi na rushwa wanaua timu na kukatisha Tamaa wawekezaji.
Tulia uandike vizuri hadithi yako bana... inakua kama umekalia msumari bahati mbaya bana...


..na bado!!
 
Mkiona yanga tu inacheza vizuri mnaanza kelele!, yani imefikia hatua yanga ni dude lakutisha sana kiasi kwamba mnaita masindano, mara vibarua fc acheni uoga chezeni mpira!.
halafu mashabiki wa simba huwa hamuishi kelele!, tulieni mpira si unadunda mara hii hatutakuwa na huruma na mtani ni ngeo tu!.
 
Mkiona yanga tu inacheza vizuri mnaanza kelele!, yani imefikia hatua yanga ni dude lakutisha sana kiasi kwamba mnaita masindano, mara vibarua fc acheni uoga chezeni mpira!.
halafu mashabiki wa simba huwa hamuishi kelele!, tulieni mpira si unadunda mara hii hatutakuwa na huruma na mtani ni ngeo tu!.
Hakuna timu hata moja inayocheza Vizuri Ligi kuu Tanzania Bara kaa ulijue hilo.sema Kwa Sababu wewe ni teja wa timu fulani huwezi kunielewa au utaelewa baadae sana
 
Back
Top Bottom