The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Great thinkers.
Hakuna kitu kinaharibu mambo kama conflict of interest.. udhami k wanGsm wa Vila u kadhaa Tanzania Bara umeondoa Imani ya mashabaiki wengi es Mpira wa miguu Tanzania.
Kwa wa watu wengi wanaamini hi matokea ya Mechi nyingi yanapangwa nje ya uwanja jambo( Mechi fixing) jambo ambalo linawezekana kabisa.
Ili ligi iwe tamu na yenye kuvutia na ushindani halali kila timu iwe na mzamini wake tofauti kabisa pia viongozi wa Mpira waache ulafi na rushwa wanaua timu na kukatisha Tamaa wawekezaji.
Hakuna kitu kinaharibu mambo kama conflict of interest.. udhami k wanGsm wa Vila u kadhaa Tanzania Bara umeondoa Imani ya mashabaiki wengi es Mpira wa miguu Tanzania.
Kwa wa watu wengi wanaamini hi matokea ya Mechi nyingi yanapangwa nje ya uwanja jambo( Mechi fixing) jambo ambalo linawezekana kabisa.
Ili ligi iwe tamu na yenye kuvutia na ushindani halali kila timu iwe na mzamini wake tofauti kabisa pia viongozi wa Mpira waache ulafi na rushwa wanaua timu na kukatisha Tamaa wawekezaji.