Ujio wa GSM umepoteza ladha na ushindani halali ligi kuu Tanzania Bara

Ujio wa GSM umepoteza ladha na ushindani halali ligi kuu Tanzania Bara

Mkiona yanga tu inacheza vizuri mnaanza kelele!, yani imefikia hatua yanga ni dude lakutisha sana kiasi kwamba mnaita masindano, mara vibarua fc acheni uoga chezeni mpira!.
halafu mashabiki wa simba huwa hamuishi kelele!, tulieni mpira si unadunda mara hii hatutakuwa na huruma na mtani ni ngeo tu!.
Ngoja tuone Kama kweli yanga imerudi.
 
Wewe unaejua,nenda sasa ukadhamini hizo timu.
Ligi ya TZ siyo tamu tena na haina ushindani full stop. Nilitegemea kuona timu kama nne zikipambania kombe kufa na kupona badala Yake imebaki Simba na yanga tu hovyó kabisa.
 
Ligi ya TZ siyo tamu tena na haina ushindani full stop. Nilitegemea kuona timu kama nne zikipambania kombe kufa na kupona badala Yake imebaki Simba na yanga tu hovyó kabisa.
Hiyo ni kawaida mbona hata ulaya.

Ujerumani....bayern
Italy........inter/as Milan
Spain......madrid/FCB

N.K
South Africa
Misri,libya,Morocco
kote Hali ni hiyo timu mbili bingwa nyengine ni wasindikizaji tu
 
Hiyo ni kawaida mbona hata ulaya.

Ujerumani....bayern
Italy........inter/as Milan
Spain......madrid/FCB

N.K
South Africa
Misri,libya,Morocco
kote Hali ni hiyo timu mbili bingwa nyengine ni wasindikizaji tu
Kaangalie upya msimamo huko ulaya wababe hoi. Misri ña morroco wababe wote wanapumulia mashine. SA etc
 
Back
Top Bottom