Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumeanza kugawa 4G wanapiga kelele wasuburi mwenge ukifika kwao tutakua tusha hamia 5G 🛜GUSA ACHIA TWENDE KWAO [emoji1787]
Mwambie baba yako akawekezeGreat thinkers.
Hakuna kitu kinaharibu mambo kama conflict of interest.. udhami k wanGsm wa Vila u kadhaa Tanzania Bara umeondoa Imani ya mashabaiki wengi es Mpira wa miguu Tanzania.
Kwa wa watu wengi wanaamini hi matokea ya Mechi nyingi yanapangwa nje ya uwanja jambo( Mechi fixing) jambo ambalo linawezekana kabisa.
Ili ligi iwe tamu na yenye kuvutia na ushindani halali kila timu iwe na mzamini wake tofauti kabisa pia viongozi wa Mpira waache ulafi na rushwa wanaua timu na kukatisha Tamaa wawekezaji.
Wakati yanga anavulunda wimbo wenu ulikuwa ubaya ubwela pia tumesajila wazee Sasa tulieni hatutaki vilio vyenu tena.Great thinkers.
Hakuna kitu kinaharibu mambo kama conflict of interest.. udhami k wanGsm wa Vila u kadhaa Tanzania Bara umeondoa Imani ya mashabaiki wengi es Mpira wa miguu Tanzania.
Kwa wa watu wengi wanaamini hi matokea ya Mechi nyingi yanapangwa nje ya uwanja jambo( Mechi fixing) jambo ambalo linawezekana kabisa.
Ili ligi iwe tamu na yenye kuvutia na ushindani halali kila timu iwe na mzamini wake tofauti kabisa pia viongozi wa Mpira waache ulafi na rushwa wanaua timu na kukatisha Tamaa wawekezaji.
Hakuna unachojua. Uteja wa timu unakusumbuaKIla timu inatafuta wadhamini,kila timu inatuma maandiko kibao ili wapate wadhamini,wadhamini wengine wanapoombwa udhamini ndo kwanza wanazikataa hizo timu.leo ni ushamba wa hali ya juu sana kuilamu GSM ambayo inatoa fedha zake kusaidia timu zisonge mbele, kama pangetokea mdhamini mwingine mwenye mapenzi ya kweli na timu fulani na kuweka mzigo wa maana, hakuna timu ingebaki na udhamini wa GSM
Sasa Mzee wangu ana uhusiano gani na mada hii. Na una uhakika gani kwamba yupo?Mwambie baba yako akawekeze
Zisaidieni basi kutafuta hao wazamini sio kubwata bwata tu ni sawa na kumsema mwanao anakula kwa watu ili hali wew uwezo wa kumlisha huna huo bila shaka ni utahiraGreat thinkers.
Hakuna kitu kinaharibu mambo kama conflict of interest.. udhami k wanGsm wa Vila u kadhaa Tanzania Bara umeondoa Imani ya mashabaiki wengi es Mpira wa miguu Tanzania.
Kwa wa watu wengi wanaamini hi matokea ya Mechi nyingi yanapangwa nje ya uwanja jambo( Mechi fixing) jambo ambalo linawezekana kabisa.
Ili ligi iwe tamu na yenye kuvutia na ushindani halali kila timu iwe na mzamini wake tofauti kabisa pia viongozi wa Mpira waache ulafi na rushwa wanaua timu na kukatisha Tamaa wawekezaji.
Aisee kumbe Tz ni yanga.na Simba tu? Basi hii Ligi haifai ifutwe tu."Gusa achia twende kwao"
Hii kauli huwa inawaumiza sana makolo na wachambuzi kanjanja.
Yanga ikiwa inacheza ovyo hii milio ya "jiesiemu" hauwezi isikia popote.
Na hapa bado 😂 mpaka mhame uwanja
Siyo mda mrefu mbona🤣🤣🤣Mda si mrefu mtazikumbuka bil zenu 20 na kukitafakari kikosi chenu cha bil 7.
Hapa Maputo south Africa kuna banda umiza kila mechi za Yanga zinaonyeshwa kiingilio n Rand 20, Sababu kubwa ni mashabiki wengi wa Yanga na mpira mzuri.Hakuna timu hata moja inayocheza Vizuri Ligi kuu Tanzania Bara kaa ulijue hilo.sema Kwa Sababu wewe ni teja wa timu fulani huwezi kunielewa au utaelewa baadae sana
Uto ndiyo timu pekee duniani ambayo ikifunga goli mashabiki wanamshangilia mdhamini wa timu.Ukitaka Utukanwe Udhalilishwe we Waongelee Gsm Wananchi wanachotaka Wao Hoya hoya tu Wanasahau juzi tu hapa Gsm Alipunguza Sauti kidogo wananchi Wakaja mbio wakaanza kumtukana Eng:Amerudisha kile anachokifanyaga Wote wamekurupuka Yanga inatisha bila kujiuliza kilitokea nini Ghafla Yanga ikawa mbovu na imetokeaje Ghafla Yanga Inatisha Wananchi Mpila sio chumvi muwe mnakaa na kutumia Akili zenu Gsm anawachezesheni Ngoma msiojua kiitikio Chake Soon Mtakumbuka hii Komenti.