Ngoja tuone Kama kweli yanga imerudi.Mkiona yanga tu inacheza vizuri mnaanza kelele!, yani imefikia hatua yanga ni dude lakutisha sana kiasi kwamba mnaita masindano, mara vibarua fc acheni uoga chezeni mpira!.
halafu mashabiki wa simba huwa hamuishi kelele!, tulieni mpira si unadunda mara hii hatutakuwa na huruma na mtani ni ngeo tu!.
Na bado hawajaliaHatimae vilio vimeanza kulejea taratibu, nlikua nmemis hivi vitu
kusikia kwa kenge mpk atoke damu puaniNgoja tuone Kama kweli yanga imerudi.
Wewe unaejua,nenda sasa ukadhamini hizo timu.Hakuna unachojua. Uteja wa timu unakusumbua
Na huo ni ukweli wenyewe.sema ushabiki tu ila Ligi ya kiboya sana hili. Marefa wanazibeba sana Simba na yanga na kukandamiza timu ndogo.
Ligi ya TZ siyo tamu tena na haina ushindani full stop. Nilitegemea kuona timu kama nne zikipambania kombe kufa na kupona badala Yake imebaki Simba na yanga tu hovyó kabisa.Wewe unaejua,nenda sasa ukadhamini hizo timu.
Hiyo ni kawaida mbona hata ulaya.Ligi ya TZ siyo tamu tena na haina ushindani full stop. Nilitegemea kuona timu kama nne zikipambania kombe kufa na kupona badala Yake imebaki Simba na yanga tu hovyó kabisa.
Tatizo nyuma mwiko ni kamdomokusikia kwa kenge mpk atoke damu puani
Ndio ukweli sasaHatimae vilio vimeanza kulejea taratibu, nlikua nmemis hivi vitu
Kaangalie upya msimamo huko ulaya wababe hoi. Misri ña morroco wababe wote wanapumulia mashine. SA etcHiyo ni kawaida mbona hata ulaya.
Ujerumani....bayern
Italy........inter/as Milan
Spain......madrid/FCB
N.K
South Africa
Misri,libya,Morocco
kote Hali ni hiyo timu mbili bingwa nyengine ni wasindikizaji tu
Mlipokula 5, na nyinyi mlinunuliwa na GSM?GSM yupo ligikuu kwasababu ya YangaSC na huko kudhamini hizo timu nyingine ni mkakati tu wakumsaidia YangaSC.