Ujio wa Lukuvi ( Bunge), Prof Kabudi ( Katiba) na Makonda ( Utawala Bora) kunaifanya CCM kukamilika Idara zote kuelekea 2025

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kama unabisha shauri Yako.

Hapo anasubiriwa Dr Bashiru na Komredi Polepole kutusukia Ilani ya Ushindi wa kishindo. Kwa kifupi Kazi imeisha Siasa ni Sayansi πŸ˜‚πŸ˜‚

Pale Bungeni ndugu Lukuvi ataweka kila kitu sawa. Huku kwa akina Mwabukusi na Matata sasa watakutana na nguli mwenyewe wa Katiba Prof Kabudi.

Kule Arusha ndio itakuwa Kioo cha Jamii kwa Mambo ya Utawala Bora unaojali Watu wote, Kiboko ya Wahuni amerejea.

Soma Pia:
Jumaa Mubarak πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Hilo bunge lenyewe liko wapi? Pale kuna Bunge au kikundi cha ccm
 
Huyo muhuni unamuhitaje kiboko ya wahuni?
 
Hapo aliongea ili mradi asikike ameongea, ametoa boko kabisa.
 
Ujinga ni nundu haujifichi,huyu ni miongoni mwa Rc vilaza nchini tena nadhani ni duniani
 
L

Lakini pia ni kitu kizuri! Maana mtu anaweza kuhitaji kutulia kwa maombi yake binafsi! Lakini pia usidanganye watu hapa kuwa Wakristo wanasali jumamosi na jumapili tu!
Sina hakika kama kuna Mkristo anayehitaji chumba cha sala airport. Siyo hitaji kabisa. Kwa Waislamu, naona haina shida, maana wanahitaji. Ukianza hivyo, itabidi pia uweke cha Wayahudi (nilishakutana na Myahudi ambaye ni Mtanzania, alinielekeza nyumba yao ya ibada ilipo along barabara ya kutoka Posta Mpya kwenda Mwenge, Wahindu (maana na wao wapo), etc. Then, mwisho wa usiku una'complicate' mambo. Sababu alizozitoa hazina mashiko hapo.
 
Kabisa na inatakiwa inandikwe Airport Chapple kwa ajili ya wakristo kufanya sala na kutafakari mambo yao binafsi! Sema ndugu zetu wao wanajua haki hiyo ni yakwao tu!

MAKAFIRI ACHENI CHUKI,SISI WAISLAM TUMESEMA WAPI KUWA HIYO NI HAKI YETU PEKEYETU??KAMA MNAONA MNASTAHILI SI MUOMBE??

ILA ANGALIZO HAKUNA SEHEMU ZA KUJENGEWA UWANJA WA KUCHEZA DISCO LA YESU NA KWAYA AIRPORT...!!
 
Kabisa na inatakiwa inandikwe Airport Chapple kwa ajili ya wakristo kufanya sala na kutafakari mambo yao binafsi! Sema ndugu zetu wao wanajua haki hiyo ni yakwao tu!
Sisi waislamu hatujakataa ila ndio tunawaombea na nyie mpate hiko chumba .
 
Kwa mtu mwenye imani thabiti sidhani kama atasuburia prayer room ijengwe ndo asali.
Maombi/sala/Dua si maonesho! Mwili wangu ni nyumba yangu!
 
MAKAFIRI ACHENI CHUKI,SISI WAISLAM TUMESEMA WAPI KUWA HIYO NI HAKI YETU PEKEYETU??KAMA MNAONA MNASTAHILI SI MUOMBE??

ILA ANGALIZO HAKUNA SEHEMU ZA KUJENGEWA UWANJA WA KUCHEZA DISCO LA YESU NA KWAYA AIRPORT...!!
Makonda alijenga Nyumba ya Shehe pale Kinondoni Muslim
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…