Ujio wa Makamu wa Rais Kamala Harris nchini Tanzania, mifumo ya ulinzi nchini isiingiliwe na Marekani

Tangu mjomba wako jiwe afariki naona bundle linakupa shida sana
 
Mwambie huyo Jinga la dunia
 
Nakuunga mkono bro. Kuliko kupewa maelekezo na kuingiliwa namna yetu ya ulinzi hadi kutoa siri ambazo hatuwezi kiusalama kutoa kwa nchi nyingine ni bora asije huyo kamala. Tusichukulie tu eti marekani nchi kubwa hakuna hawalijui kuhusu usalama wetu.
Siyo kwa America [emoji631]. Kama tu juzi mke wa Biden, Dr Jill ametembelea Kenya. Kwa siku mbili Terminal moja ilifungwa kwa ajili yake. Ndiyo utegemee makamu wao wa Rais alindwe na police wa Siro kweli ?! .
 
Siyo kwa America [emoji631]. Kama tu juzi mke wa Biden, Dr Jill ametembelea Kenya. Kwa siku mbili Terminal moja ilifungwa kwa ajili yake. Ndiyo utegemee makamu wao wa Rais alindwe na police wa Siro kweli ?! .
Wachana na hao wana lumumba ya chato
 
Kwahiyo makamo wa super power ategemee ulinzi kutoka kwa police wa bongo??
U are not serious
 
Na Airport pale akapokelewe na Makamu wa Rais au mkuu wa mkoa. Rais akienda kumpokea Makamu wa Rais itakuwa fedheha sana kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya uchumi wa kati.
 
Si bora waingilie hiyo mifumo kuliko huyo mama kuja na sera za upinde wa mvua mana nao Lemma anaongea kwa kujiamini sana.
 
Wamarekani hawana rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu. Huwa hawafanyi mishe zao bila malengo, bila shaka kuna deal wamekuja kulifuatilia.
Ushogaaaa kuusambazaaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jaman watu khaaaaaah
 
Siyo kwa America [emoji631]. Kama tu juzi mke wa Biden, Dr Jill ametembelea Kenya. Kwa siku mbili Terminal moja ilifungwa kwa ajili yake. Ndiyo utegemee makamu wao wa Rais alindwe na police wa Siro kweli ?! .
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Na Airport pale akapokelewe na Makamu wa Rais au mkuu wa mkoa. Rais akienda kumpokea Makamu wa Rais itakuwa fedheha sana kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya uchumi wa kati.
Thubutuuuuuuu ataenda rais kumpokeaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…