Ujio wa Makamu wa Rais Kamala Harris nchini Tanzania, mifumo ya ulinzi nchini isiingiliwe na Marekani

Ujio wa Makamu wa Rais Kamala Harris nchini Tanzania, mifumo ya ulinzi nchini isiingiliwe na Marekani

Ujio wa Obama mwaka 2013 ulitia fora!!!! JAKAYA alidata akawa anakenuaa tu, na alivyo zuzu akaagiza FFU wa kitanganyika wawekwe kando ili kupisha WANAJESHII WA THE UNITED STATES OF AMERICA.

Akakabidhi passwords zote za ikulu kwa mabeberuu huku anajichekesha chekesha.

Jamaa tapeli lile, linaweza hata kuuza nchi na migodi yake yote! Linakenua tu!
Hapana! Kwanza haupo scientific kwa sababu hujaweka factsbox, hapa ni zile fiksi fiksi tu za mitaani. Pili, tumia maneno ya staha tu. Huyu uliyemzungumzia alikuwa Rais wetu kwa miaka kumi. Siye wengine tunamheshimu sana. Tatu, ukijenga hoja utaeleweka tu bila matusi. Nne, narudia, tuendelee kuamini vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vinao uwezo mkubwa sana wa kuilinda nchi to the maximum. Ndiyo maana tuko taifa imara.🙏🙏🙏
 
Tunafurahi kwa diplomasia nzuri ya kufungua nchi kwa dunia. Jitihada kubwa inayofanywa na mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kurejesha mahusiano na mataifa mbalimbali hususani ya Magharibi sio ya kubezwa ...ni jitihada kubwa na leadership style ya kipekee ambayo inaleta manufaa.

Tumewahi kupata ugeni mbalimbali kutoka mataifa makubwa lakini napenda kurejea ugeni wa Rais wa Marekani Barack Obama ambapo "inasemekana" kuwa masuala ya kiulinzi yaliingilia mifumo yetu ya kiulinzi pengine kwa kutoaminiwa sana kwa wataalamu wetu wa maswala ya ulinzi na usalama.

Iwapo suala hilo ni kweli basi hatuna namna bali kutoa angalizo...kwamba vyombo vyetu vya ulinzi na usalama ni imara na ni lazima viaminiwe kwa asilimia 100.Tusidanganywe kuwa hatuwezi bali discussion ifanyike kujua weak points ni zipi na hivyo zifanyiwe kazi.

Tunayo Ikulu mpya ya CHAMWINO Kamwe tusiruhusu mtoka mbali ndio ajidai kuwa ana uelewa wa kuilinda kuliko vyombo vyetu adhimu vya ulinzi na usalama.

Kamwe tusiruhusu details za Ikulu yetu mpya kuangukia mikononi mwa wageni, hili ni hatari sana na ni sawa na kuingilia uhuru na heshima ya nchi.

Otherwise karibu sana mgeni wetu na tuna value ujio wako.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Nakuunga mkono bro. Kuliko kupewa maelekezo na kuingiliwa namna yetu ya ulinzi hadi kutoa siri ambazo hatuwezi kiusalama kutoa kwa nchi nyingine ni bora asije huyo kamala. Tusichukulie tu eti marekani nchi kubwa hakuna hawalijui kuhusu usalama wetu.
 
Hata wewe ukifika mahali kulala kama mlango haufungi vizuri unaweza kuburuza kitanda kikazuiye mlango kiasi kwamba atakaye taka kuingia atazuiwa na kitanda na hatimae utastuka

Wacha walinde viongozi wao
 
Tunafurahi kwa diplomasia nzuri ya kufungua nchi kwa dunia. Jitihada kubwa inayofanywa na mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kurejesha mahusiano na mataifa mbalimbali hususani ya Magharibi sio ya kubezwa ...ni jitihada kubwa na leadership style ya kipekee ambayo inaleta manufaa.

Tumewahi kupata ugeni mbalimbali kutoka mataifa makubwa lakini napenda kurejea ugeni wa Rais wa Marekani Barack Obama ambapo "inasemekana" kuwa masuala ya kiulinzi yaliingilia mifumo yetu ya kiulinzi pengine kwa kutoaminiwa sana kwa wataalamu wetu wa maswala ya ulinzi na usalama.

Iwapo suala hilo ni kweli basi hatuna namna bali kutoa angalizo...kwamba vyombo vyetu vya ulinzi na usalama ni imara na ni lazima viaminiwe kwa asilimia 100.Tusidanganywe kuwa hatuwezi bali discussion ifanyike kujua weak points ni zipi na hivyo zifanyiwe kazi.

Tunayo Ikulu mpya ya CHAMWINO Kamwe tusiruhusu mtoka mbali ndio ajidai kuwa ana uelewa wa kuilinda kuliko vyombo vyetu adhimu vya ulinzi na usalama.

Kamwe tusiruhusu details za Ikulu yetu mpya kuangukia mikononi mwa wageni, hili ni hatari sana na ni sawa na kuingilia uhuru na heshima ya nchi.

Otherwise karibu sana mgeni wetu na tuna value ujio wako.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Naona umefufuka, ulipotelea wapi? vipi Magufuli hajambo? Muuaji mkubwa asante Mungu kwa kuamua ugomvi! by Nape
 
Kama tulikubali watoto wetu wa kike wasome wakiwa na watoto basi na hili la kaka zao kuoana sidhani kama litapingwa.
Kusoma ni kupata maarifa ili uweze kukabiliana na mazingira inayokuzungukq hivyo ata bibi yako anaruhusiwa kurudi darasani ili aweze kuongeza maarifa.
Shida yenu mnadhani kila anaesoma anahitaji ajira.
 
Acha kuongea vituko..🤣🤣😆 budget tu ya mishahara na ulinzi tunakopa kwao elimu ya ulinzi wanatupa wao kama msaada.

even vifaa vya ulinzi walivyotengeneza wao hatuwezi kununua maana hatuwezi kumudu gharama.

Kwa taarifa USA anataarifa zote za viongozi wa hii nchi...
Hiyo ni super power.
Kwa hiyo ndio aachiwe kujua kila kilichopo kiwepesi tu? Akijua ajue kwa jitihada na teknolojia yake lakini si kumfungulia mlango aingie chumbani kwa mwenyeji hivyo hivyo tu.
 
Back
Top Bottom