Ujio wa Makamu wa Rais Kamala Harris nchini Tanzania, mifumo ya ulinzi nchini isiingiliwe na Marekani

Ujio wa Makamu wa Rais Kamala Harris nchini Tanzania, mifumo ya ulinzi nchini isiingiliwe na Marekani

ni kizazi cha vijana kama ilivyo kizazi cha vijana wetu...usijiweke kwenye upande wa upweke kamwe....waache vijana wetu waoneshe utofauti.

Jamaa wa CIA, FBI, NSA, Secret Services n.k wanatusoma kama barua na kurasa za ma-book hapa JamiiForums palipo na Great Thinkers

1678648442451.png
 
Tunafurahi kwa diplomasia nzuri ya kufungua nchi kwa dunia. Jitihada kubwa inayofanywa na mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kurejesha mahusiano na mataifa mbalimbali hususani ya Magharibi sio ya kubezwa ...ni jitihada kubwa na leadership style ya kipekee ambayo inaleta manufaa.

Tumewahi kupata ugeni mbalimbali kutoka mataifa makubwa lakini napenda kurajea ugeni wa Rais wa Marekani Barack Obama ambapo "inasemekana" kuwa masuala ya kiulinzi yaliingilia mifumo yetu ya kiulinzi pengine kwa kutoaminiwa sana kwa wataalamu wetu wa maswala ya ulinzi na usalama.

Iwapo suala hilo ni kweli basi hatuna namna bali kutoa angalizo...kwamba vyombo vyetu vya ulinzi na usalama ni imara na ni lazima viaminiwe kwa asilimia 100.Tusidanganywe kuwa hatuwezi bali discussion ifanyike kujua weak points ni zipi na hivyo zifanyiwe kazi.

Tunayo Ikulu mpya ya CHAMWINO Kamwe tusiruhusu mtoka mbali ndio ajidai kuwa ana uelewa wa kuilinda kuliko vyombo vyetu adhimu vya ulinzi na usalama.

Kamwe tusiruhusu details za Ikulu yetu mpya kuangukia mikononi mwa wageni, hili ni hatari sana na ni sawa na kuingilia uhuru na heshima ya nchi.

Otherwise karibu sana mgeni wetu na tuna value ujio wako.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Maybe mashoga wasipewe shavu tu
 
Wamarekani hawana rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu. Huwa hawafanyi mishe zao bila malengo, bila shaka kuna deal wamekuja kulifuatilia.
Hata Tanzania haina rafiki wa kudumu...tunao marafiki wa kimkakati siku zote....BE PROUD OF YOUR NATION AND TAKE YOUR TIME TO BE INFORMED
 
Tunafurahi kwa diplomasia nzuri ya kufungua nchi kwa dunia. Jitihada kubwa inayofanywa na mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kurejesha mahusiano na mataifa mbalimbali hususani ya Magharibi sio ya kubezwa ...ni jitihada kubwa na leadership style ya kipekee ambayo inaleta manufaa.

Tumewahi kupata ugeni mbalimbali kutoka mataifa makubwa lakini napenda kurajea ugeni wa Rais wa Marekani Barack Obama ambapo "inasemekana" kuwa masuala ya kiulinzi yaliingilia mifumo yetu ya kiulinzi pengine kwa kutoaminiwa sana kwa wataalamu wetu wa maswala ya ulinzi na usalama.

Iwapo suala hilo ni kweli basi hatuna namna bali kutoa angalizo...kwamba vyombo vyetu vya ulinzi na usalama ni imara na ni lazima viaminiwe kwa asilimia 100.Tusidanganywe kuwa hatuwezi bali discussion ifanyike kujua weak points ni zipi na hivyo zifanyiwe kazi.

Tunayo Ikulu mpya ya CHAMWINO Kamwe tusiruhusu mtoka mbali ndio ajidai kuwa ana uelewa wa kuilinda kuliko vyombo vyetu adhimu vya ulinzi na usalama.

Kamwe tusiruhusu details za Ikulu yetu mpya kuangukia mikononi mwa wageni, hili ni hatari sana na ni sawa na kuingilia uhuru na heshima ya nchi.

Otherwise karibu sana mgeni wetu na tuna value ujio wako.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Eti details za ikulu. Kwani wasanifu wa majengo hayo sio binadamu? Kama ni binadamu leakage can be anywhere.
 
Hongera maana Rais mstaafu wakati anakabidhi ulikuwepo naye Ikulu
Ujio wa Obama mwaka 2013 ulitia fora!!!! JAKAYA alidata akawa anakenuaa tu, na alivyo zuzu akaagiza FFU wa kitanganyika wawekwe kando ili kupisha WANAJESHII WA THE UNITED STATES OF AMERICA.

Akakabidhi passwords zote za ikulu kwa mabeberuu huku anajichekesha chekesha.

Jamaa tapeli lile, linaweza hata kuuza nchi na migodi yake yote! Linakenua tu!
 
Kwa akili yako umedhani sijui kama hawajui kumbe unajidanganya. Wanaweza kujua lakini experience watakayo ipata kuzurula humo mjengoni na kupiga picha kisirisiri au kwa uwazi ndiko nako kumaanisha sawa ewe mwenye akili?
So unataka waishie nje? Uko serious au unatania? 🤣
 
Tunafurahi kwa diplomasia nzuri ya kufungua nchi kwa dunia. Jitihada kubwa inayofanywa na mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kurejesha mahusiano na mataifa mbalimbali hususani ya Magharibi sio ya kubezwa ...ni jitihada kubwa na leadership style ya kipekee ambayo inaleta manufaa.

Tumewahi kupata ugeni mbalimbali kutoka mataifa makubwa lakini napenda kurajea ugeni wa Rais wa Marekani Barack Obama ambapo "inasemekana" kuwa masuala ya kiulinzi yaliingilia mifumo yetu ya kiulinzi pengine kwa kutoaminiwa sana kwa wataalamu wetu wa maswala ya ulinzi na usalama.

Iwapo suala hilo ni kweli basi hatuna namna bali kutoa angalizo...kwamba vyombo vyetu vya ulinzi na usalama ni imara na ni lazima viaminiwe kwa asilimia 100.Tusidanganywe kuwa hatuwezi bali discussion ifanyike kujua weak points ni zipi na hivyo zifanyiwe kazi.

Tunayo Ikulu mpya ya CHAMWINO Kamwe tusiruhusu mtoka mbali ndio ajidai kuwa ana uelewa wa kuilinda kuliko vyombo vyetu adhimu vya ulinzi na usalama.

Kamwe tusiruhusu details za Ikulu yetu mpya kuangukia mikononi mwa wageni, hili ni hatari sana na ni sawa na kuingilia uhuru na heshima ya nchi.

Otherwise karibu sana mgeni wetu na tuna value ujio wako.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Sukuma gang kazini
 
Chamwino ilijengwa na North Korea chini ya babu yake Kiduku je bwana Rocket man hatamind jengo lilijengwa kwa ufadhili wa babu yake kutembelewa na mmarekani? Na je protocal zinasemaje, Kamara Harris atapokelewa na Isdor Mpango?
 
Tunafurahi kwa diplomasia nzuri ya kufungua nchi kwa dunia. Jitihada kubwa inayofanywa na mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kurejesha mahusiano na mataifa mbalimbali hususani ya Magharibi sio ya kubezwa ...ni jitihada kubwa na leadership style ya kipekee ambayo inaleta manufaa.

Tumewahi kupata ugeni mbalimbali kutoka mataifa makubwa lakini napenda kurejea ugeni wa Rais wa Marekani Barack Obama ambapo "inasemekana" kuwa masuala ya kiulinzi yaliingilia mifumo yetu ya kiulinzi pengine kwa kutoaminiwa sana kwa wataalamu wetu wa maswala ya ulinzi na usalama.

Iwapo suala hilo ni kweli basi hatuna namna bali kutoa angalizo...kwamba vyombo vyetu vya ulinzi na usalama ni imara na ni lazima viaminiwe kwa asilimia 100.Tusidanganywe kuwa hatuwezi bali discussion ifanyike kujua weak points ni zipi na hivyo zifanyiwe kazi.

Tunayo Ikulu mpya ya CHAMWINO Kamwe tusiruhusu mtoka mbali ndio ajidai kuwa ana uelewa wa kuilinda kuliko vyombo vyetu adhimu vya ulinzi na usalama.

Kamwe tusiruhusu details za Ikulu yetu mpya kuangukia mikononi mwa wageni, hili ni hatari sana na ni sawa na kuingilia uhuru na heshima ya nchi.

Otherwise karibu sana mgeni wetu na tuna value ujio wako.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Wamarekani ndiyo wanaendesha Dunia na wanajua mpaka silaha tunazomiliki.Na ni sheria yao kumlinda Rais wao kijeshi popote pale anapokwenda.
Idara yetu TISS imeshindwa kuiwezesha Tanzania kuwa na Uchumi imara kwa kutumia rasimali zetu bali nao wamekuwa sehemu ya tatizo la ufisadi na rushwa,wataaminiwa vipi na magwiji wa CIA.
TISS yetu kazi yake ni kuilinda CCM na viongozi wake wezi na intelijensia ya vyama vya upinzani na kutengeneza mikakati ya kuiwezesha CCM kuvigeuza vyama vya upinzani kuwa rafiki wa CCM Ili nao Watoto wao waje wakumbukwe kwenye teuzi.
 
Back
Top Bottom