Ujio wa Makonda Arusha Unatisha

Ujio wa Makonda Arusha Unatisha

JF Member

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2014
Posts
7,914
Reaction score
10,793
Baada ya ujio wa Makonda nimeshudia mambo mengi na mengine yataendelea kutokea kama ifuatavyo.

1. Mji umechangamka, kila mtu anataka kusikia kauli ya mkuu wa mkoa.

2. Wakuu wa mikoa mingine wanaanza kujifunza upya.

3. Lema anahaha, muda si mrefu anaenda kukosa watu wa kwenda kwenye mikutano yake. Maana wahuni wote wanamwelewa Makonda. Bodaboda wote wanaenda kuunganishwa kikamilifu, Mama Ntilie na Machinga wote wanaenda kupewa nguvu.

4. Chadema sasa kuanza kuibua tuhuma nzito kwa Makonda.

5. Maendeleo Arusha yanaenda kuonekana na maji yatatoka masaa 24.

6. Uchaguzi wa 2025 utakuwa mwepesi sana kwa CCM.

NB - Mimi sio muumini wa watumia mabavu kutawala ila napenda wachapakazi.
 
Ngoja vijana watekwe na kutupwa kwenye viroba ndio watajua,makonda kura za maoni alipata kura 102 naomba nikukumbushe,so hana impact na mambo ya uchaguzi huyo
 
Huyu Makonda ni kama maji sasa! Kuna mtu alitabiri kusema

Arusha inakwenda kuwa maarufu kulikoni Dar sasa

Tarifa zote zitakuwa zikianzia Arusha aliko makonda, iwe mitandaoni mpaka ITV na kwingineko

Nyota ya makonda ni kali saana
 
Kwakweli hamasa ni kubwa mno tangu uteuzi ulipofanyika majuzi,

Nimeondoka asubuhi ya leo Arusha, for sure matumaini, matarajio, matamanio na ndoto za wanaArusha kupiga hatua kubwa sana za kumaendeleo chini ya uongozi wa PAUL MAKONDA ni kubwa mno....

Wafanayakazi, wafanyabiashara, wakulima, wafugaji, watalii, vijana, akina mama na wanawake, wazee, makundi maalumu nakadhalika na kadhalika, wana imani na MAKONDA na wana uhakika wa kusikilizwa, kero na changamoto zao kumalizwa na kufika tamati....:NOIDONTTHINKSO:
 
Kwakweli hamasa ni kubwa mno tangu uteuzi ulipofanyika majuzi,

Nimeondoka asubuhi ya leo Arusha, for sure matumaini, matarajio, matamanio na ndoto za wanaArusha kupiga hatua kubwa sana za kumaendeleo chini ya uongozi wa PAUL MAKONDA ni kubwa mno....

Wafanayakazi, wafanyabiashara, wakulima, wafugaji, watalii, vijana, akina mama na wanawake, wazee, makundi maalumu nakadhalika na kadhalika, wana imani na MAKONDA na wana uhakika wa kusikilizwa, kero na changamoto zao kumalizwa na kufika tamati....:NOIDONTTHINKSO:
Makonda ni nani
 
Ni swala la muda tu
Rage anakusalimia.
1000181117.jpg
 
Baada ya ujio wa Makonda nimeshudia mambo mengi na mengine yataendelea kutokea kama ifuatavyo.

1. Mji umechangamka, kila mtu anataka kusikia kauli ya mkuu wa mkoa.

2. Wakuu wa mikoa mingine wanaanza kujifunza upya.

3. Lema anahaha, muda si mrefu anaenda kukosa watu wa kwenda kwenye mikutano yake. Maana wahuni wote wanamwelewa Makonda. Bodaboda wote wanaenda kuunganishwa kikamilifu, Mama Ntilie na Machinga wote wanaenda kupewa nguvu.

4. Chadema sasa kuanza kuibua tuhuma nzito kwa Makonda.

5. Maendeleo Arusha yanaenda kuonekana na maji yatatoka masaa 24.

6. Uchaguzi wa 2025 utakuwa mwepesi sana kwa CCM.

NB - Mimi sio muumini wa watumia mabavu kutawala ila napenda wachapakazi.
🤣 🤣 🤣
 
Baada ya ujio wa Makonda nimeshudia mambo mengi na mengine yataendelea kutokea kama ifuatavyo.

1. Mji umechangamka, kila mtu anataka kusikia kauli ya mkuu wa mkoa.

2. Wakuu wa mikoa mingine wanaanza kujifunza upya.

3. Lema anahaha, muda si mrefu anaenda kukosa watu wa kwenda kwenye mikutano yake. Maana wahuni wote wanamwelewa Makonda. Bodaboda wote wanaenda kuunganishwa kikamilifu, Mama Ntilie na Machinga wote wanaenda kupewa nguvu.

4. Chadema sasa kuanza kuibua tuhuma nzito kwa Makonda.

5. Maendeleo Arusha yanaenda kuonekana na maji yatatoka masaa 24.

6. Uchaguzi wa 2025 utakuwa mwepesi sana kwa CCM.

NB - Mimi sio muumini wa watumia mabavu kutawala ila napenda wachapakazi.
Ni sawa ndugu kwa mtazamo wako ila mbaka tuyashuhudie hayo anayoyasema yanafanyika
 
Back
Top Bottom