Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Go to hell
Huyu mtu kuja kwake ni nafuuu kwetu. kwa watu msiojua nini maaana ya unemployment inavyopiganiwe kutokomezwa katika jamaii naomba mkae kimya. Obama kaja kutupatia ajira na atashusha viwanda vingi sana kuinua ajira kwa watu masikini. Hivyo kwa ukombozi huo anaouleta hapa nchini ni lazima attetemekewe sana kwa sababu KIkwete anajua wazi mwisho wa siku Tanzania itakuwa mahala pazuri. sasa wewe dini yako hata mmarekani atusaidieje huwezi kabisaaa kushukuru kwa sababu ya utumwa wa kimawazo anaokupa Iran. Hivyo tuachie sisi wenye shida ya kazi za viwandani atuokoe na wewe nenda Iran au saudi arabia watakupatia ilimu ya dini ya nguvu.
ukitaka kuamini wanachuja simu zote, wapigie watu 3 tofauti na muongee kilugha, alafu chomeka jina la Obama mwanzoni, katikati na mwisho alafu malizia kwa kusema inshaallaa, bila kusahau kuanza na asalaam aleukum, watakufata mpaka ulipo
Tangu jana nilianza kusikia mabadiliko na nikagundua Simu zote zimetekwa, ujio wa obama umekua ni karaha sasa.
Hivi huwa wanatumia usafiri gani kwenda huko?
ulikuwa hujui usafiri wa kwenda huko hell ni kifo ndo usafiri wenyewe tambua hilo na jiweke tayari ikifika zamu yako ya kwenda huko
Hivi huwa wanatumia usafiri gani kwenda huko?
ukitaka kuamini wanachuja simu zote, wapigie watu 3 tofauti na muongee kilugha, alafu chomeka jina la Obama mwanzoni, katikati na mwisho alafu malizia kwa kusema inshaallaa, bila kusahau kuanza na asalaam aleukum, watakufata mpaka ulipo
Huyu mtu kuja kwake ni nafuuu kwetu. kwa watu msiojua nini maaana ya unemployment inavyopiganiwe kutokomezwa katika jamaii naomba mkae kimya. Obama kaja kutupatia ajira na atashusha viwanda vingi sana kuinua ajira kwa watu masikini. Hivyo kwa ukombozi huo anaouleta hapa nchini ni lazima attetemekewe sana kwa sababu KIkwete anajua wazi mwisho wa siku Tanzania itakuwa mahala pazuri. sasa wewe dini yako hata mmarekani atusaidieje huwezi kabisaaa kushukuru kwa sababu ya utumwa wa kimawazo anaokupa Iran. Hivyo tuachie sisi wenye shida ya kazi za viwandani atuokoe na wewe nenda Iran au saudi arabia watakupatia ilimu ya dini ya nguvu.
samahani lakini baba mkubwa kwani wewe hutaki kupaingia hapa View attachment 100347alipopaingia ngwea