hahahha jf bana sti salaam alekum ahhahha.hii imenikumbusha 15 yrs ago ndugu mja alikuwa anaishi kari,bu na ubalozi flani hii njia ya oy'bay, akavamiwa na wezi sasa wakati anahaha kutafuta silaha ilipo akapigiwa cmu toka ule ubalozi wakamwambia tunajua umevamiwa tulia hapo hapo we will take respon'blty of everything kihoro yule anko akaendea silaha alipoweka wakampigia tena na kumwambia tumekwambia usifanye chochote kesho yake alihama ile nyumba mpaka na leo ameipangishia.pata picha