Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
[emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81]Kitabu cha ufunuo kinazungumza habari ya siku za mwisho ambavyo mataifa yatajikusanya kupigana na jeshi la malaika wa Mungu likiongozwa na Yesu.
Kwa maoni yangu ni kuwa binadamu watapambana na jeshi la Mungu si kwa sababu ni waovu bali kwa sababu watafikiri kuwa ujio wa pili ni uvamizi wa extraterrestrial beings. Wataona ni aliens wamevamia. Aliens invasion ndiyo kitu pekee kinachoweza kuwaunganisha binadamu wote kupigana pamoja.
Tehe tehe!!!!!@Kumekucha Sasa Amkeni....! Ndoto zingine balaa Zinakugeuza Unakuwa Kikaragosi hivi hivi Unajiona.!
Sasa ndoto gani hii..?
pumba tupu.......Kitabu cha ufunuo kinazungumza habari ya siku za mwisho ambavyo mataifa yatajikusanya kupigana na jeshi la malaika wa Mungu likiongozwa na Yesu.
Kwa maoni yangu ni kuwa binadamu watapambana na jeshi la Mungu si kwa sababu ni waovu bali kwa sababu watafikiri kuwa ujio wa pili ni uvamizi wa extraterrestrial beings. Wataona ni aliens wamevamia. Aliens invasion ndiyo kitu pekee kinachoweza kuwaunganisha binadamu wote kupigana pamoja.
Hahahaha dahfor the record, yesu alikuja Duniani akateswa mpaka akamuomba Mungu aichukue roho yake ili aende zake mbinguni na ikawa hivo, baada ya siku kadhaa akarudi Duniani (kufufuka) na baadaye akapaa tena
hivo basi,akirudi ni mara ya tatu (kama hata atarudi)
Alikufa, akazikwa, akashuka kuzimu, siku ya tatu akafufuka kutoka kwa wafu. Akapaa mbingini.for the record, yesu alikuja Duniani akateswa mpaka akamuomba Mungu aichukue roho yake ili aende zake mbinguni na ikawa hivo, baada ya siku kadhaa akarudi Duniani (kufufuka) na baadaye akapaa tena
hivo basi,akirudi ni mara ya tatu (kama hata atarudi)
Nani? Au yule wa kutokea Tizi aliyeomba nafasi ya kuongoza malaika polepole pindi akishatwaliwa?Wewe mwache aje tu atachezea kipigo Cha Mbwa Koko na kurudi alikotokea na vile
Kim jong UN ana mizuka na vita hakyanani zile Nuc weapon zitaishia Kwa kiongozi wa Malaika!
huyo huyo kwani si alishakua mweshimiwa mungu kitambo na alipandishwa cheo na Mr kalamagamba kambudi yule professor uchwara wa jalalani aliechoma mafuta ya mwewe kwenda Antananarivo KwaNani? Au yule wa kutokea Tizi aliyeomba nafasi ya kuongoza malaika polepole pindi akishatwaliwa?
Kitabu cha ufunuo kinazungumza habari ya siku za mwisho ambavyo mataifa yatajikusanya kupigana na jeshi la malaika wa Mungu likiongozwa na Yesu.
Kwa maoni yangu ni kuwa binadamu watapambana na jeshi la Mungu si kwa sababu ni waovu bali kwa sababu watafikiri kuwa ujio wa pili ni uvamizi wa extraterrestrial beings. Wataona ni aliens wamevamia. Aliens invasion ndiyo kitu pekee kinachoweza kuwaunganisha binadamu wote kupigana pamoja.