Ujio wa pili wa Yesu na Alliens invasion

Ujio wa pili wa Yesu na Alliens invasion

Kitabu cha ufunuo kinazungumza habari ya siku za mwisho ambavyo mataifa yatajikusanya kupigana na jeshi la malaika wa Mungu likiongozwa na Yesu.

Kwa maoni yangu ni kuwa binadamu watapambana na jeshi la Mungu si kwa sababu ni waovu bali kwa sababu watafikiri kuwa ujio wa pili ni uvamizi wa extraterrestrial beings. Wataona ni aliens wamevamia. Aliens invasion ndiyo kitu pekee kinachoweza kuwaunganisha binadamu wote kupigana pamoja.
nakubaliana na wewe, lakini kwa nini Yesu arudi kwa style hiyo? maana alisema hakuna ajuaye siku wala sasa ya kurudi kwangu.

Mathayo 24:36-51​

 
Ndio itakuwa moment ya ajabu sana pale Israel kwenye eneo ermegadon ambapo kutakuwa na makundi mawili moja linamsuport Israel likiongozwa na usa na lapili likimpinga Israel likiongozwa na china kwasababu ya vita ile kuwa mbaya Yesu mwenyewe atatokea kuamua.
 
Ndio itakuwa moment ya ajabu sana pale Israel kwenye eneo ermegadon ambapo kutakuwa na makundi mawili moja linamsuport Israel likiongozwa na usa na lapili likimpinga Israel likiongozwa na china kwasababu ya vita ile kuwa mbaya Yesu mwenyewe atatokea kuamua.
Acha hekaya broo yaani kwenye Hilo bifu ndio atokee kuamua?
Hujui kwenye Siasa hakuna rafiki wa kudumu Wala adui wa kudumu huwezi amini mahasimu wataungana kumtwanga na kumwangamiza Jesus Kama walivyoungana kuitokomeza covid 19 hapo ndio Masihi atajua Binadamu ni vigeu geu sana!
😁😁😁😁
 
Kitabu cha ufunuo kinazungumza habari ya siku za mwisho ambavyo mataifa yatajikusanya kupigana na jeshi la malaika wa Mungu likiongozwa na Yesu.

Kwa maoni yangu ni kuwa binadamu watapambana na jeshi la Mungu si kwa sababu ni waovu bali kwa sababu watafikiri kuwa ujio wa pili ni uvamizi wa extraterrestrial beings. Wataona ni aliens wamevamia. Aliens invasion ndiyo kitu pekee kinachoweza kuwaunganisha binadamu wote kupigana pamoja.
kuja kwa Yesu mara ya pili hakutakuwa kama unavyofikiri, Yesu akiwa huko angani kufumba na kufumbua atawanyakua kama sumaku wote walio watakatifu "kwa dakika hiyo tu", wataenda eneo huko mbinguni na watakaa kwa miaka 7. waliobaki huku duniani hasa ninyi mnaoendekeza ngono, hapa duniani mtaanza shuruba za mpinga kristo hizo 7 yrs. baada ya hapo ndio Yesu atashuka nak umwangamia mpinga kristo na wafuasi/jeshi lake lote.

mpinga kristo atakua nusu mtu na nusu agent wa shetani. yaani mashetani watazaa na wanadamu na inasemekana tayari ameshazaliwa, hivyo siku ya mwisho ipo karibu mno. nasubiri povu ili niandika zaidi. asante kwa mtoa mada.
 
Acha hekaya broo yaani kwenye Hilo bifu ndio atokee kuamua?
Hujui kwenye Siasa hakuna rafiki wa kudumu Wala adui wa kudumu huwezi amini mahasimu wataungana kumtwanga na kumwangamiza Jesus Kama walivyoungana kuitokomeza covid 19 hapo ndio Masihi atajua Binadamu ni vigeu geu sana!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Ndugu kinyago ulichokichonga kinaweza kukutisha?Yesu mara ya pili haji kama mwanzo anajuja akitisha yaani itakuwa hatari, yaani maadui watakufa kwa pumzi ya kinywa tu.
 
kuja kwa Yesu mara ya pili hakutakuwa kama unavyofikiri, Yesu akiwa huko angani kufumba na kufumbua atawanyakua kama sumaku wote walio watakatifu "kwa dakika hiyo tu", wataenda eneo huko mbinguni na watakaa kwa miaka 7. waliobaki huku duniani hasa ninyi mnaoendekeza ngono, hapa duniani mtaanza shuruba za mpinga kristo hizo 7 yrs. baada ya hapo ndio Yesu atashuka nak umwangamia mpinga kristo na wafuasi/jeshi lake lote.

mpinga kristo atakua nusu mtu na nusu agent wa shetani. yaani mashetani watazaa na wanadamu na inasemekana tayari ameshazaliwa, hivyo siku ya mwisho ipo karibu mno. nasubiri povu ili niandika zaidi. asante kwa mtoa mada.

Mafundisho haya uliyapata kwa Nabii Tito?
 
kwa kipigo alichokula tokea kwa warumi mpka kufa, na akiona kizaz cha leo kilivyostaharabika na kuendelea kwenye siraha za kivita kama makombora na vifaa vya mateso, sizani huyo yesu wa kusadikika kama anampango wa kurudi dunian[emoji23][emoji23].

kiuhalisia yesu hayupo na hatowai kuwepo, kila siku tunatoa masomo humu ya historia ya kwel ya dunia, lkn mnapuuzia,

tushawaelez sana kuwa huyo kiumbe ajiitaye yesu, ni aina ya pepo ambayo ilikuwa inaabudiwa tangu falme za misri, mpaka kwa wagiriki, wapersia, wahindi na warumi, kwa majina tofauti.

warumi ndye waliopindua meza kwa ujanja, waliamua kuiba historia ya shujaa aliewahi kuish afrika na kutenda maajabu, wakaichanganya na stori za huyo azazel, Zeus, chrishna na kuunda kiumbe mpya aitwae yesu, ama yashuwa, ama jesus,

unatakiaa ujuwe Mungu wa kwel hana ushirika na kiumbe wa aina yoyote ile, lakn ana viumbe wake aina nying, mfano mzaliwa wa kwanza ambaye ndye alikuja afrika na stori zake kubadirishwa kuwa yesu kristo, pia kuna mzaliwa wa pili aliyepo kizaz hiki, kuna malaika, maserafi, makerubi, wamwisho kabisa ni viumbe wa kimwil ambao ni watu(black people) na wanadamu(white people).

sasa kufupisha stori, iko hivi, mwisho wa dunia haupo kma mnavyofikil ama kuadithiwa na hayo matapel yajitayo wachungaj, manabii, maaskofu na mashehe,

mwisho utakuwa hiv kutatokea upotevu wa watu waliokuwa wakifuata imani ya kweli ambayo haihusian na dini, yaan unyakuo kama wanadini waitavyo

na baada ya upotevu huo, mataifa ya watu weupe yenye nguvu, yataandaa project ili kuwadanganya watu wasishabikie tukio ilo kwa kusingizia alien wamebeba watu na kuwapeleka sayar ya nje,

na baada ya hapo watamleta huyo kiumbe mliyekuwa mkimuabudu kila siku na mnamuomba, atakuja na sura ile ile mnayoichora makanisan mwenu, na mnapicha yake na muv zake, pia atashuka ktk taifa lile lile mnalokesha kuliombea,

lkn atashushwa kijanja na watahalamu wa technolojia kupitia Blue beam projection itakayomuonesha huyo Yesu akitoka angani na kundi la wafuasi na matarumbeta yenye saut kari, .

watu wengi watamuamin huyu kiumbe na kujua ndye aliyetabiliwa na vitabu vyao vya dini, kibaya zaid huyu ndye atakayeongoza dunia nzima na kwa kuwaaminisha watu kuwa yeye ni mwema sana, na atabudiwa na watu, kwakuwa wamekuwa wakimuabudu kupitia dini, hivyo ata akija haitobadir kitu.

, na huyu ndye atayaongoza mataifa yote yenye nguvu dunian kuishambulia taifa la watu weusi yaan mataifa yote ya kiafrika yenye asili watu weusi, na mipango hiyo haitofanikiwa maana afrika itakombolewa na Muumba wa kweli, na kuhusu alien hao hawapo na hawatowai kuwepo,

hao wanaowaaminisha uwepo wa alien ni kuwa wanaficha ukwel kuhusu mashetan, mapepo na majini, na haya ndyo yanapaswa kuitwa alien n sio hivyo viumbe vya story za hollywood.

Dunia haitokwisha sabbu ndyo makazi ya viumbe wa kimwil akiwepo mtu na wanyama,
FB_IMG_16365457358713260.jpg
 
Ebu kasome vizuri huo mstari nahisi unazungumzia ufunuo 20. Kama ni ufunuo 20 haimaanishi watu wote wataungana kupigana na malaika(na sio malaika waliokuwa wanaenda kupigana nao) bali ni wale ambao hawatapa nafasi kwenye ufufuo wa kwanza ndio watakao rubuniwa na shetan kujikusanya ili kwenda kuushambulia mji wa watakatifu (mda huo shetan atakuwa yupp huru akitawala dunia)

Ufunuo wa Yohana 20:7-10
⁷ Na hiyo miaka elfu itakapokwisha, Shetani atafunguliwa, atoke kifungoni mwake;
⁸ naye atatoka kuwadanganya mataifa walio katika pembe nne za nchi, Gogu na Magogu, kuwakusanya kwa vita, ambao hesabu yao ni kama mchanga wa bahari.
⁹ Wakapanda juu ya upana wa nchi, wakaizingira kambi ya watakatifu, na mji huo uliopendwa. Moto ukashuka kutoka mbinguni, ukawala.
¹⁰ Na yule Ibilisi, mwenye kuwadanganya, akatupwa katika ziwa la moto na kiberiti, alimo yule mnyama na yule nabii wa uongo. Nao watateswa mchana na usiku hata milele na milele.


Hivyo ndivyo ninavyo elewa mm
Yani ni kama SCRIPT vile, ko Mungu akamuonesha Yohana jinsi adui atakavyokufa mwishoni mwa picha yeru hii ya MAISHA? 😂😂
 
Yani ni kama SCRIPT vile, ko Mungu akamuonesha Yohana jinsi adui atakavyokufa mwishoni mwa picha yeru hii ya MAISHA? 😂😂
Ndio hvyo et alioneshwa zaidi ya hayo na masharti juu
 
Back
Top Bottom