Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nakubaliana na wewe, lakini kwa nini Yesu arudi kwa style hiyo? maana alisema hakuna ajuaye siku wala sasa ya kurudi kwangu.Kitabu cha ufunuo kinazungumza habari ya siku za mwisho ambavyo mataifa yatajikusanya kupigana na jeshi la malaika wa Mungu likiongozwa na Yesu.
Kwa maoni yangu ni kuwa binadamu watapambana na jeshi la Mungu si kwa sababu ni waovu bali kwa sababu watafikiri kuwa ujio wa pili ni uvamizi wa extraterrestrial beings. Wataona ni aliens wamevamia. Aliens invasion ndiyo kitu pekee kinachoweza kuwaunganisha binadamu wote kupigana pamoja.
ha ha ha, jamaa ana mapepoKuna mzee mmoja alisikika akisema Yesu aliiba mbao ndio akasulubiwa km wezi wengine enzi hizo. Ila mke wake maria hakusema tu.
CCM watampiga na kumpa kesi ya ugaidi sababu watadhani kaja kufungua chama cha siasa.Kwamba Yesu yeye hana akili aje apigwe tena 😂
😆😆😆😆😆😆Kwamba jeshi la malaika likiongozwa na yesu linakuja kuua binadamu? Wanamizinga au AK 47?
Acha hekaya broo yaani kwenye Hilo bifu ndio atokee kuamua?Ndio itakuwa moment ya ajabu sana pale Israel kwenye eneo ermegadon ambapo kutakuwa na makundi mawili moja linamsuport Israel likiongozwa na usa na lapili likimpinga Israel likiongozwa na china kwasababu ya vita ile kuwa mbaya Yesu mwenyewe atatokea kuamua.
kuja kwa Yesu mara ya pili hakutakuwa kama unavyofikiri, Yesu akiwa huko angani kufumba na kufumbua atawanyakua kama sumaku wote walio watakatifu "kwa dakika hiyo tu", wataenda eneo huko mbinguni na watakaa kwa miaka 7. waliobaki huku duniani hasa ninyi mnaoendekeza ngono, hapa duniani mtaanza shuruba za mpinga kristo hizo 7 yrs. baada ya hapo ndio Yesu atashuka nak umwangamia mpinga kristo na wafuasi/jeshi lake lote.Kitabu cha ufunuo kinazungumza habari ya siku za mwisho ambavyo mataifa yatajikusanya kupigana na jeshi la malaika wa Mungu likiongozwa na Yesu.
Kwa maoni yangu ni kuwa binadamu watapambana na jeshi la Mungu si kwa sababu ni waovu bali kwa sababu watafikiri kuwa ujio wa pili ni uvamizi wa extraterrestrial beings. Wataona ni aliens wamevamia. Aliens invasion ndiyo kitu pekee kinachoweza kuwaunganisha binadamu wote kupigana pamoja.
Ndugu kinyago ulichokichonga kinaweza kukutisha?Yesu mara ya pili haji kama mwanzo anajuja akitisha yaani itakuwa hatari, yaani maadui watakufa kwa pumzi ya kinywa tu.Acha hekaya broo yaani kwenye Hilo bifu ndio atokee kuamua?
Hujui kwenye Siasa hakuna rafiki wa kudumu Wala adui wa kudumu huwezi amini mahasimu wataungana kumtwanga na kumwangamiza Jesus Kama walivyoungana kuitokomeza covid 19 hapo ndio Masihi atajua Binadamu ni vigeu geu sana!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
kuja kwa Yesu mara ya pili hakutakuwa kama unavyofikiri, Yesu akiwa huko angani kufumba na kufumbua atawanyakua kama sumaku wote walio watakatifu "kwa dakika hiyo tu", wataenda eneo huko mbinguni na watakaa kwa miaka 7. waliobaki huku duniani hasa ninyi mnaoendekeza ngono, hapa duniani mtaanza shuruba za mpinga kristo hizo 7 yrs. baada ya hapo ndio Yesu atashuka nak umwangamia mpinga kristo na wafuasi/jeshi lake lote.
mpinga kristo atakua nusu mtu na nusu agent wa shetani. yaani mashetani watazaa na wanadamu na inasemekana tayari ameshazaliwa, hivyo siku ya mwisho ipo karibu mno. nasubiri povu ili niandika zaidi. asante kwa mtoa mada.
😅😅😅😅😅😅😅Wewe mwache aje tu atachezea kipigo Cha Mbwa Koko na kurudi alikotokea na vile
Kim jong UN ana mizuka na vita hakyanani zile Nuc weapon zitaishia Kwa kiongozi wa Malaika!
Yani ni kama SCRIPT vile, ko Mungu akamuonesha Yohana jinsi adui atakavyokufa mwishoni mwa picha yeru hii ya MAISHA? 😂😂Ebu kasome vizuri huo mstari nahisi unazungumzia ufunuo 20. Kama ni ufunuo 20 haimaanishi watu wote wataungana kupigana na malaika(na sio malaika waliokuwa wanaenda kupigana nao) bali ni wale ambao hawatapa nafasi kwenye ufufuo wa kwanza ndio watakao rubuniwa na shetan kujikusanya ili kwenda kuushambulia mji wa watakatifu (mda huo shetan atakuwa yupp huru akitawala dunia)
Ufunuo wa Yohana 20:7-10
⁷ Na hiyo miaka elfu itakapokwisha, Shetani atafunguliwa, atoke kifungoni mwake;
⁸ naye atatoka kuwadanganya mataifa walio katika pembe nne za nchi, Gogu na Magogu, kuwakusanya kwa vita, ambao hesabu yao ni kama mchanga wa bahari.
⁹ Wakapanda juu ya upana wa nchi, wakaizingira kambi ya watakatifu, na mji huo uliopendwa. Moto ukashuka kutoka mbinguni, ukawala.
¹⁰ Na yule Ibilisi, mwenye kuwadanganya, akatupwa katika ziwa la moto na kiberiti, alimo yule mnyama na yule nabii wa uongo. Nao watateswa mchana na usiku hata milele na milele.
Hivyo ndivyo ninavyo elewa mm
Ndio hvyo et alioneshwa zaidi ya hayo na masharti juuYani ni kama SCRIPT vile, ko Mungu akamuonesha Yohana jinsi adui atakavyokufa mwishoni mwa picha yeru hii ya MAISHA? 😂😂