kwa kipigo alichokula tokea kwa warumi mpka kufa, na akiona kizaz cha leo kilivyostaharabika na kuendelea kwenye siraha za kivita kama makombora na vifaa vya mateso, sizani huyo yesu wa kusadikika kama anampango wa kurudi dunian[emoji23][emoji23].
kiuhalisia yesu hayupo na hatowai kuwepo, kila siku tunatoa masomo humu ya historia ya kwel ya dunia, lkn mnapuuzia,
tushawaelez sana kuwa huyo kiumbe ajiitaye yesu, ni aina ya pepo ambayo ilikuwa inaabudiwa tangu falme za misri, mpaka kwa wagiriki, wapersia, wahindi na warumi, kwa majina tofauti.
warumi ndye waliopindua meza kwa ujanja, waliamua kuiba historia ya shujaa aliewahi kuish afrika na kutenda maajabu, wakaichanganya na stori za huyo azazel, Zeus, chrishna na kuunda kiumbe mpya aitwae yesu, ama yashuwa, ama jesus,
unatakiaa ujuwe Mungu wa kwel hana ushirika na kiumbe wa aina yoyote ile, lakn ana viumbe wake aina nying, mfano mzaliwa wa kwanza ambaye ndye alikuja afrika na stori zake kubadirishwa kuwa yesu kristo, pia kuna mzaliwa wa pili aliyepo kizaz hiki, kuna malaika, maserafi, makerubi, wamwisho kabisa ni viumbe wa kimwil ambao ni watu(black people) na wanadamu(white people).
sasa kufupisha stori, iko hivi, mwisho wa dunia haupo kma mnavyofikil ama kuadithiwa na hayo matapel yajitayo wachungaj, manabii, maaskofu na mashehe,
mwisho utakuwa hiv kutatokea upotevu wa watu waliokuwa wakifuata imani ya kweli ambayo haihusian na dini, yaan unyakuo kama wanadini waitavyo
na baada ya upotevu huo, mataifa ya watu weupe yenye nguvu, yataandaa project ili kuwadanganya watu wasishabikie tukio ilo kwa kusingizia alien wamebeba watu na kuwapeleka sayar ya nje,
na baada ya hapo watamleta huyo kiumbe mliyekuwa mkimuabudu kila siku na mnamuomba, atakuja na sura ile ile mnayoichora makanisan mwenu, na mnapicha yake na muv zake, pia atashuka ktk taifa lile lile mnalokesha kuliombea,
lkn atashushwa kijanja na watahalamu wa technolojia kupitia Blue beam projection itakayomuonesha huyo Yesu akitoka angani na kundi la wafuasi na matarumbeta yenye saut kari, .
watu wengi watamuamin huyu kiumbe na kujua ndye aliyetabiliwa na vitabu vyao vya dini, kibaya zaid huyu ndye atakayeongoza dunia nzima na kwa kuwaaminisha watu kuwa yeye ni mwema sana, na atabudiwa na watu, kwakuwa wamekuwa wakimuabudu kupitia dini, hivyo ata akija haitobadir kitu.
, na huyu ndye atayaongoza mataifa yote yenye nguvu dunian kuishambulia taifa la watu weusi yaan mataifa yote ya kiafrika yenye asili watu weusi, na mipango hiyo haitofanikiwa maana afrika itakombolewa na Muumba wa kweli, na kuhusu alien hao hawapo na hawatowai kuwepo,
hao wanaowaaminisha uwepo wa alien ni kuwa wanaficha ukwel kuhusu mashetan, mapepo na majini, na haya ndyo yanapaswa kuitwa alien n sio hivyo viumbe vya story za hollywood.
Dunia haitokwisha sabbu ndyo makazi ya viumbe wa kimwil akiwepo mtu na wanyama,