Pre GE2025 Ujio wa Rais Samia Suluhu Hassan: Hadi sasa sijaona dalili yoyote ya utashi wa kuwepo kwa maridhiano ya kisiasa nchini

Pre GE2025 Ujio wa Rais Samia Suluhu Hassan: Hadi sasa sijaona dalili yoyote ya utashi wa kuwepo kwa maridhiano ya kisiasa nchini

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Chini ya Hayati Magufuli, tumeshuhudia jamii ya Watanzania ikiwa imegawanyika pasu-pasu kwa misingi ya itikadi kinzani za vyama vya siasa. Mgawanyiko wa jinsi hii haujawahi kutokea kwenye awamu yoyote ya urais huko miaka ya nyuma - ulikuwa mgawanyiko uliosheheni kuhasimiana kiasi cha kufikia watu kutamani kutoana roho, kupotezana, kutekana, kubambikiana kesi za uonevu, nk.

Katika kipindi hicho hicho tumeshuhudia sheria nyingi kandamizi zikitungwa zikiwa zimelenga kuudhoofisha upinzani wa aina yoyote dhidi ya serekali ya JPM.

Nchi imejikuta katika mtanziko huu mkubwa kufuatia mtazamo wa JPM alipokuwa anaingia madarakani mwaka 2015 alipoweka azma yake bayana kuwa lazima vyama vya upinzani viwe vimeshakufa kabisa ifikapo mwaka 2020. Katika kuhakikisha azma hii chini ya utawala wake inafikiwa, tulishuhudia kati ya 2015 hadi 2020 jinsi ambavyo vyama vya upinzani vilivyokumbwa na sulba ya kiama. Hakuna haja ya kurudia yaliyojiri kwani wote humu tunayajua.

Dhamira hiyo ovu hata hivyo haikufanikiwa kwani vyama vya upinzani vikaimarika zaidi ilipofikia mwaka 2020 kuliko hata vilivyokuwa mwaka 2015. Hivyo chama tawala kikabakiwa na silaha moja pekee - kufanya uovu mkubwa wa karne dhidi ya demokrasia October 2020!

Sisi tunaoamini tunajua Mungu ni Mungu wa haki, huwapatiliza wale wote wawafanyiao udhalimu waja wake. Mungu ni fundi. Hutenda kwa majira yake.

Sasa amekuja mama Samia. Wengi tukimtegemea kuwa ni a new hope of fresh air. Watanzania wanamuangalia yeye kama tumaini jipya pekee la kuleta matengenezo katika nchi yetu.

Hata hivyo, kwa maoni yangu naona hajaanza vizuri. Niliyoyaona na kuyasikia so far si dalili za mwisho mzuri kabisa.

1. Kwenye speech yake ya leo pale uwanja wa Jamhuri Dodoma, hajatambua uwepo wa vyama vya upinzani. Kama kuna mtu kasikia, nisahihisheni!

2. Sambamba na # 1 hapo juu, hakuna mwakilishi yoyote kutoka kambi ya upinzani aliyepewa nafasi ya kutoa salaam.

3. Kuna watu walikamatwa eti kwa kusema tu kuwa JPM ni mgonjwa. Mara tu baada ya kuapishwa, ilitarajiwa atoe decree ya kuachiliwa huru kwao mara moja lakini kimya hadi sasa.

4. Kuna watu wamekamatwa kwa vile eti hawaonyeshi kusikitika kifo cha JPM. Kama rais, alitarajiwa alikemee hili mara moja!

5. Kuna watu kadhaa wameripotiwa kupoteza maisha kwenye stampede iliyotokea jana kwenye uwanja wa Uhuru Dar es Salaam. Rais ni mfariji wa taifa, kupitia speech yake ya leo Dodoma alipaswa atamke neno la faraja kwa familia zilizokumbwa na msiba kutokana na tukio hilo.

Zipo dalili nyingine kadhaa lakini nimeorodhesha hizo hapo juu kwa uchache.

Rai na ombi langu kwa rais wetu mpya (mama Samia). Mama tutoe kwenye mtanziko huu ili maendeleo ya nchi yetu yawe jumuishi na wananchi wote tuyafurahie.

JK yupo hapo, nakushauri usisite kuomba ushauri kutoka kwake - mathalani ni jinsi gani aliweza ku co-exist na wapinzani in harmony.

Wakatabahu
Mwalimu M-Mbabe
22 March 2021
Zimwi la JPM linakusumbua mkuu..nilidhani umeandika la maana ila hamna kitu bali chuki..
 
Kaka yawezekana Unaicheza Ngoma husioijua. Magufuli hakua Mjinga kwa Yote aliyoyafanya.

Rais Anajua Mambo mengi kuliko MTU yeyote yule katika nchi hii.

Anajua nia ya kila tahasisi iliyopo katika Jamhuri ya Tanzania kwamba ni njema au ni Mbaya.

Jamaa zako wa chadema wamejificha kwenye koti la kudai democracy lakini nyuma yao wapo wale jamaa zetu wanaotaka Kunyonya rathilimali zetu kwa kivuli cha Democracy.

Fatilia Misimamo yao tangu Awamu ya Mzee Jakaya utagundua hawa jamaa mnaowashabikia ni vibaraka wa Mabeberu. Na kamwe hakuta kua na Maridhiano na watu wa sampuli hii.
Lisu ndiyo kinara wa vibaraka. Na sasa anapokea vijisenti vya kununua chakula vitakuja mtokea puani kama yule makamu wa raisi wa Zimbabwe aliyekopeshwa silaha na Urussi. Wakati Mugabe anapigana yeye alikuwa amezificha silaha, akingoja Mugabe apigane, adhoofike, na mwishoni awafwagie wazungu na Mugabe pia achukuwe nchi. Akishachukuwa nchi atafute njia ya kuwalipa Warussi. Mugabe alikuwa mjanja, alipoingia ZimbABWE WAKATI HUO rHODESIA AKAFUNGA MIPAKA YOTE NA LILE JESHI LA MWENZAKE LIKASHINDWA KUINGIA. wALIKWARUZANA MPAKA MWENZAKE AKAFARIKI. wARUSSI MPAKA LEO HAWAJALIPWA KWA SABABU mUGABE ALIKATATAA INTERGRATION YA MAJESHI YA KUPIGANIA UHURU MAANA JESHI LA MWENZAKE LILIKUWA LINAFUTA UHALALI HUKU HALIKUPIGANA. (samahani kwa kupiga kelele..herufi kubwa..haikuwa nia na nimeandika mengi siwezi kurudia tena)
 
Suala la stampede mama anafichwa na kudanganywa eti ni majeruhi wachache tuu. Akina Mambojuzi ni watu hatari sana
Wewe si umeishasema inatosha. Kwani stampede imetengenezwa na serkali?
 
Halafu tukisema kuna chuki katika taifa hili mkatae?? Chuki huondoa haki.

Winner takes all, zero sum game havikuwahi kuwa sawa katika mahusiano ya binadamu!
Kwenye ilani na katiba ya CHADEMA kuna maridhiano? Au mnataka kuvuna msichopanda!
 
Kumbe wewe Mwalimu M -MBabe ndio ulifanya kummotivate bwana mdogo anayejiita KHeri wa UVCCM kuomba msamaha?!?

Nae kaingia Mzima Mzima , crazy!

Kheri James umeingia mtegoni kipuuzi!!!
 
Kama aliyepita aliwapiga kwa fimbo, huyu atawapa kipigo cha Nge, hamna adabu nyie. Huyo ndo raisi wa JMT kam ulkuwa hujui, jpm alikuwa nafuu. Usimchagulie maneno ya kuongea over.
Watu wenye haraka haraka kama zako huwa hawafanyi lolote la maana katika kila jambo wanalofanya maishani; hata pale jioni jioni, usiku.
 
Inchi imefawanyika wapi? siasa zingine bwan! wananchi wanataka maendeleo wamechoshwa na siasa maneno matupu, hivi mlichokiona kwenye msiba wa JPM hamna hata aibu kusema nchi imegawanyika. Kama mtaendelea na siasa hizi za uwanaharaki kwa kweli mtasahaulika maana JPM alikuja kuweka msingi mpya wa utawala wa kizalendo nchi hii, na jana tumeshuhudia mama yetu Samia akituwekea VP jembe kabisa, mtu muhadilifu na mzalendo wa kweli ambao wengi wetu hatukutarajia tulidhani mama angeturudisha nyuma kututeulia watu waleee.
 
Chini ya Hayati Magufuli, tumeshuhudia jamii ya Watanzania ikiwa imegawanyika pasu-pasu kwa misingi ya itikadi kinzani za vyama vya siasa. Mgawanyiko wa jinsi hii haujawahi kutokea kwenye awamu yoyote ya urais huko miaka ya nyuma - ulikuwa mgawanyiko uliosheheni kuhasimiana kiasi cha kufikia watu kutamani kutoana roho, kupotezana, kutekana, kubambikiana kesi za uonevu, nk.

Katika kipindi hicho hicho tumeshuhudia sheria nyingi kandamizi zikitungwa zikiwa zimelenga kuudhoofisha upinzani wa aina yoyote dhidi ya serekali ya JPM.

Nchi imejikuta katika mtanziko huu mkubwa kufuatia mtazamo wa JPM alipokuwa anaingia madarakani mwaka 2015 alipoweka azma yake bayana kuwa lazima vyama vya upinzani viwe vimeshakufa kabisa ifikapo mwaka 2020. Katika kuhakikisha azma hii chini ya utawala wake inafikiwa, tulishuhudia kati ya 2015 hadi 2020 jinsi ambavyo vyama vya upinzani vilivyokumbwa na sulba ya kiama. Hakuna haja ya kurudia yaliyojiri kwani wote humu tunayajua.

Dhamira hiyo ovu hata hivyo haikufanikiwa kwani vyama vya upinzani vikaimarika zaidi ilipofikia mwaka 2020 kuliko hata vilivyokuwa mwaka 2015. Hivyo chama tawala kikabakiwa na silaha moja pekee - kufanya uovu mkubwa wa karne dhidi ya demokrasia October 2020!

Sisi tunaoamini tunajua Mungu ni Mungu wa haki, huwapatiliza wale wote wawafanyiao udhalimu waja wake. Mungu ni fundi. Hutenda kwa majira yake.

Sasa amekuja mama Samia. Wengi tukimtegemea kuwa ni a new hope of fresh air. Watanzania wanamuangalia yeye kama tumaini jipya pekee la kuleta matengenezo katika nchi yetu.

Hata hivyo, kwa maoni yangu naona hajaanza vizuri. Niliyoyaona na kuyasikia so far si dalili za mwisho mzuri kabisa.

1. Kwenye speech yake ya leo pale uwanja wa Jamhuri Dodoma, hajatambua uwepo wa vyama vya upinzani. Kama kuna mtu kasikia, nisahihisheni!

2. Sambamba na # 1 hapo juu, hakuna mwakilishi yoyote kutoka kambi ya upinzani aliyepewa nafasi ya kutoa salaam.

3. Kuna watu walikamatwa eti kwa kusema tu kuwa JPM ni mgonjwa. Mara tu baada ya kuapishwa, ilitarajiwa atoe decree ya kuachiliwa huru kwao mara moja lakini kimya hadi sasa.

4. Kuna watu wamekamatwa kwa vile eti hawaonyeshi kusikitika kifo cha JPM. Kama rais, alitarajiwa alikemee hili mara moja!

5. Kuna watu kadhaa wameripotiwa kupoteza maisha kwenye stampede iliyotokea jana kwenye uwanja wa Uhuru Dar es Salaam. Rais ni mfariji wa taifa, kupitia speech yake ya leo Dodoma alipaswa atamke neno la faraja kwa familia zilizokumbwa na msiba kutokana na tukio hilo.

Zipo dalili nyingine kadhaa lakini nimeorodhesha hizo hapo juu kwa uchache.

Rai na ombi langu kwa rais wetu mpya (mama Samia). Mama tutoe kwenye mtanziko huu ili maendeleo ya nchi yetu yawe jumuishi na wananchi wote tuyafurahie.

JK yupo hapo, nakushauri usisite kuomba ushauri kutoka kwake - mathalani ni jinsi gani aliweza ku co-exist na wapinzani in harmony.

Wakatabahu
Mwalimu M-Mbabe
22 March 2021
Nafikiri bado anausoma mchezo,Ila kitu cha uhakika anajua drama iliyochezeka katika kipindi cha mwezi mmoja huu hadi watu kufurahia mauti ya binadamu mwenzao,chanzo cha chuki na uhasama huu anakijua na hata taka kuendelea kukanyaga tope hili. Tumpe muda anaweza akaliponya Taifa kwani ameshaujua ugonjwa na chanzo chake.
 
Maridhiano ya nini mzee? Kwani tulikua na Vita. Rais Samia endeleza moto ule ule hakuna kumkaribisha mtu Ikulu kunywa Juice
Viumbe kama wewe ndiyo mlisababidha JPM achukiwe hadi kufunika yale mazuri aliyolifanyia Taifa hili,Mama hawezi akaingia kwenye mtego huu wa kishenzi.
 
Nafikiri bado anausoma mchezo,Ila kitu cha uhakika anajua drama iliyochezeka katika kipindi cha mwezi mmoja huu hadi watu kufurahia mauti ya binadamu mwenzao,chanzo cha chuki na uhasama huu anakijua na hata taka kuendelea kukanyaga tope hili. Tumpe muda anaweza akaliponya Taifa kwani ameshaujua ugonjwa na chanzo chake.
Chuki? Yani wajinga wachache huko Twitter wakimchukia unataka kusema watu?
 
Chini ya Hayati Magufuli, tumeshuhudia jamii ya Watanzania ikiwa imegawanyika pasu-pasu kwa misingi ya itikadi kinzani za vyama vya siasa. Mgawanyiko wa jinsi hii haujawahi kutokea kwenye awamu yoyote ya urais huko miaka ya nyuma - ulikuwa mgawanyiko uliosheheni kuhasimiana kiasi cha kufikia watu kutamani kutoana roho, kupotezana, kutekana, kubambikiana kesi za uonevu, nk.

Katika kipindi hicho hicho tumeshuhudia sheria nyingi kandamizi zikitungwa zikiwa zimelenga kuudhoofisha upinzani wa aina yoyote dhidi ya serekali ya JPM.

Nchi imejikuta katika mtanziko huu mkubwa kufuatia mtazamo wa JPM alipokuwa anaingia madarakani mwaka 2015 alipoweka azma yake bayana kuwa lazima vyama vya upinzani viwe vimeshakufa kabisa ifikapo mwaka 2020. Katika kuhakikisha azma hii chini ya utawala wake inafikiwa, tulishuhudia kati ya 2015 hadi 2020 jinsi ambavyo vyama vya upinzani vilivyokumbwa na sulba ya kiama. Hakuna haja ya kurudia yaliyojiri kwani wote humu tunayajua.

Dhamira hiyo ovu hata hivyo haikufanikiwa kwani vyama vya upinzani vikaimarika zaidi ilipofikia mwaka 2020 kuliko hata vilivyokuwa mwaka 2015. Hivyo chama tawala kikabakiwa na silaha moja pekee - kufanya uovu mkubwa wa karne dhidi ya demokrasia October 2020!

Sisi tunaoamini tunajua Mungu ni Mungu wa haki, huwapatiliza wale wote wawafanyiao udhalimu waja wake. Mungu ni fundi. Hutenda kwa majira yake.

Sasa amekuja mama Samia. Wengi tukimtegemea kuwa ni a new hope of fresh air. Watanzania wanamuangalia yeye kama tumaini jipya pekee la kuleta matengenezo katika nchi yetu.

Hata hivyo, kwa maoni yangu naona hajaanza vizuri. Niliyoyaona na kuyasikia so far si dalili za mwisho mzuri kabisa.

1. Kwenye speech yake ya leo pale uwanja wa Jamhuri Dodoma, hajatambua uwepo wa vyama vya upinzani. Kama kuna mtu kasikia, nisahihisheni!

2. Sambamba na # 1 hapo juu, hakuna mwakilishi yoyote kutoka kambi ya upinzani aliyepewa nafasi ya kutoa salaam.

3. Kuna watu walikamatwa eti kwa kusema tu kuwa JPM ni mgonjwa. Mara tu baada ya kuapishwa, ilitarajiwa atoe decree ya kuachiliwa huru kwao mara moja lakini kimya hadi sasa.

4. Kuna watu wamekamatwa kwa vile eti hawaonyeshi kusikitika kifo cha JPM. Kama rais, alitarajiwa alikemee hili mara moja!

5. Kuna watu kadhaa wameripotiwa kupoteza maisha kwenye stampede iliyotokea jana kwenye uwanja wa Uhuru Dar es Salaam. Rais ni mfariji wa taifa, kupitia speech yake ya leo Dodoma alipaswa atamke neno la faraja kwa familia zilizokumbwa na msiba kutokana na tukio hilo.

Zipo dalili nyingine kadhaa lakini nimeorodhesha hizo hapo juu kwa uchache.

Rai na ombi langu kwa rais wetu mpya (mama Samia). Mama tutoe kwenye mtanziko huu ili maendeleo ya nchi yetu yawe jumuishi na wananchi wote tuyafurahie.

JK yupo hapo, nakushauri usisite kuomba ushauri kutoka kwake - mathalani ni jinsi gani aliweza ku co-exist na wapinzani in harmony.

Wakatabahu
Mwalimu M-Mbabe
22 March 2021

Mtu hata Wiki Mbili tu Ofisini hana tayari leo mnataka ayafanye kwa haraka yaliyocheleweshwa kwa miaka Sita ( 6 ) iliyopita. Huu ni Upuuzi ( Uhayawani ) tena Usiovumilika kabisa.

Tumwacheni atulie Kwanza Ofisini, ajipange na ikimpendeza atayafanya na hata ikitokea hafanyi tusimlaumu vile vile kwani la Muhimu Tanzania siyo haya tu mnayoyataka au kuyalazimisha nyie.
 
Chini ya Hayati Magufuli, tumeshuhudia jamii ya Watanzania ikiwa imegawanyika pasu-pasu kwa misingi ya itikadi kinzani za vyama vya siasa. Mgawanyiko wa jinsi hii haujawahi kutokea kwenye awamu yoyote ya urais huko miaka ya nyuma - ulikuwa mgawanyiko uliosheheni kuhasimiana kiasi cha kufikia watu kutamani kutoana roho, kupotezana, kutekana, kubambikiana kesi za uonevu, nk.

Katika kipindi hicho hicho tumeshuhudia sheria nyingi kandamizi zikitungwa zikiwa zimelenga kuudhoofisha upinzani wa aina yoyote dhidi ya serekali ya JPM.

Nchi imejikuta katika mtanziko huu mkubwa kufuatia mtazamo wa JPM alipokuwa anaingia madarakani mwaka 2015 alipoweka azma yake bayana kuwa lazima vyama vya upinzani viwe vimeshakufa kabisa ifikapo mwaka 2020. Katika kuhakikisha azma hii chini ya utawala wake inafikiwa, tulishuhudia kati ya 2015 hadi 2020 jinsi ambavyo vyama vya upinzani vilivyokumbwa na sulba ya kiama. Hakuna haja ya kurudia yaliyojiri kwani wote humu tunayajua.

Dhamira hiyo ovu hata hivyo haikufanikiwa kwani vyama vya upinzani vikaimarika zaidi ilipofikia mwaka 2020 kuliko hata vilivyokuwa mwaka 2015. Hivyo chama tawala kikabakiwa na silaha moja pekee - kufanya uovu mkubwa wa karne dhidi ya demokrasia October 2020!

Sisi tunaoamini tunajua Mungu ni Mungu wa haki, huwapatiliza wale wote wawafanyiao udhalimu waja wake. Mungu ni fundi. Hutenda kwa majira yake.

Sasa amekuja mama Samia. Wengi tukimtegemea kuwa ni a new hope of fresh air. Watanzania wanamuangalia yeye kama tumaini jipya pekee la kuleta matengenezo katika nchi yetu.

Hata hivyo, kwa maoni yangu naona hajaanza vizuri. Niliyoyaona na kuyasikia so far si dalili za mwisho mzuri kabisa.

1. Kwenye speech yake ya leo pale uwanja wa Jamhuri Dodoma, hajatambua uwepo wa vyama vya upinzani. Kama kuna mtu kasikia, nisahihisheni!

2. Sambamba na # 1 hapo juu, hakuna mwakilishi yoyote kutoka kambi ya upinzani aliyepewa nafasi ya kutoa salaam.

3. Kuna watu walikamatwa eti kwa kusema tu kuwa JPM ni mgonjwa. Mara tu baada ya kuapishwa, ilitarajiwa atoe decree ya kuachiliwa huru kwao mara moja lakini kimya hadi sasa.

4. Kuna watu wamekamatwa kwa vile eti hawaonyeshi kusikitika kifo cha JPM. Kama rais, alitarajiwa alikemee hili mara moja!

5. Kuna watu kadhaa wameripotiwa kupoteza maisha kwenye stampede iliyotokea jana kwenye uwanja wa Uhuru Dar es Salaam. Rais ni mfariji wa taifa, kupitia speech yake ya leo Dodoma alipaswa atamke neno la faraja kwa familia zilizokumbwa na msiba kutokana na tukio hilo.

Zipo dalili nyingine kadhaa lakini nimeorodhesha hizo hapo juu kwa uchache.

Rai na ombi langu kwa rais wetu mpya (mama Samia). Mama tutoe kwenye mtanziko huu ili maendeleo ya nchi yetu yawe jumuishi na wananchi wote tuyafurahie.

JK yupo hapo, nakushauri usisite kuomba ushauri kutoka kwake - mathalani ni jinsi gani aliweza ku co-exist na wapinzani in harmony.

Wakatabahu
Mwalimu M-Mbabe
22 March 2021

Tuache kufanya mambo ya msingi tuanze mambo ya maridhiano kweli? Maridhiano yatakuja uchaguzi ukikaribia now ni muda wa kaz kazi
 
Chini ya Hayati Magufuli, tumeshuhudia jamii ya Watanzania ikiwa imegawanyika pasu-pasu kwa misingi ya itikadi kinzani za vyama vya siasa. Mgawanyiko wa jinsi hii haujawahi kutokea kwenye awamu yoyote ya urais huko miaka ya nyuma - ulikuwa mgawanyiko uliosheheni kuhasimiana kiasi cha kufikia watu kutamani kutoana roho, kupotezana, kutekana, kubambikiana kesi za uonevu, nk.

Katika kipindi hicho hicho tumeshuhudia sheria nyingi kandamizi zikitungwa zikiwa zimelenga kuudhoofisha upinzani wa aina yoyote dhidi ya serekali ya JPM.

Nchi imejikuta katika mtanziko huu mkubwa kufuatia mtazamo wa JPM alipokuwa anaingia madarakani mwaka 2015 alipoweka azma yake bayana kuwa lazima vyama vya upinzani viwe vimeshakufa kabisa ifikapo mwaka 2020. Katika kuhakikisha azma hii chini ya utawala wake inafikiwa, tulishuhudia kati ya 2015 hadi 2020 jinsi ambavyo vyama vya upinzani vilivyokumbwa na sulba ya kiama. Hakuna haja ya kurudia yaliyojiri kwani wote humu tunayajua.

Dhamira hiyo ovu hata hivyo haikufanikiwa kwani vyama vya upinzani vikaimarika zaidi ilipofikia mwaka 2020 kuliko hata vilivyokuwa mwaka 2015. Hivyo chama tawala kikabakiwa na silaha moja pekee - kufanya uovu mkubwa wa karne dhidi ya demokrasia October 2020!

Sisi tunaoamini tunajua Mungu ni Mungu wa haki, huwapatiliza wale wote wawafanyiao udhalimu waja wake. Mungu ni fundi. Hutenda kwa majira yake.

Sasa amekuja mama Samia. Wengi tukimtegemea kuwa ni a new hope of fresh air. Watanzania wanamuangalia yeye kama tumaini jipya pekee la kuleta matengenezo katika nchi yetu.

Hata hivyo, kwa maoni yangu naona hajaanza vizuri. Niliyoyaona na kuyasikia so far si dalili za mwisho mzuri kabisa.

1. Kwenye speech yake ya leo pale uwanja wa Jamhuri Dodoma, hajatambua uwepo wa vyama vya upinzani. Kama kuna mtu kasikia, nisahihisheni!

2. Sambamba na # 1 hapo juu, hakuna mwakilishi yoyote kutoka kambi ya upinzani aliyepewa nafasi ya kutoa salaam.

3. Kuna watu walikamatwa eti kwa kusema tu kuwa JPM ni mgonjwa. Mara tu baada ya kuapishwa, ilitarajiwa atoe decree ya kuachiliwa huru kwao mara moja lakini kimya hadi sasa.

4. Kuna watu wamekamatwa kwa vile eti hawaonyeshi kusikitika kifo cha JPM. Kama rais, alitarajiwa alikemee hili mara moja!

5. Kuna watu kadhaa wameripotiwa kupoteza maisha kwenye stampede iliyotokea jana kwenye uwanja wa Uhuru Dar es Salaam. Rais ni mfariji wa taifa, kupitia speech yake ya leo Dodoma alipaswa atamke neno la faraja kwa familia zilizokumbwa na msiba kutokana na tukio hilo.

Zipo dalili nyingine kadhaa lakini nimeorodhesha hizo hapo juu kwa uchache.

Rai na ombi langu kwa rais wetu mpya (mama Samia). Mama tutoe kwenye mtanziko huu ili maendeleo ya nchi yetu yawe jumuishi na wananchi wote tuyafurahie.

JK yupo hapo, nakushauri usisite kuomba ushauri kutoka kwake - mathalani ni jinsi gani aliweza ku co-exist na wapinzani in harmony.

Wakatabahu
Mwalimu M-Mbabe
22 March 2021
Katika Africa masikini hii,Tanzania masikini hii,mnatamani vyama vingi vinavyo weza kusaidia nini? Tuna jambo moja tu la kufanya kazi kwa bidii

Na ningekua ni mimi,siyo kuongea tu. Hata huku kwenye mitandao ya kijamii ningefunga

Maana maneno maneno yanaleta uvivu tu wa kufikiri na kupoteza muda wa kujadiri mambo ya msingi

Mitaani unakuta watu wamejaa hawafanyi kazi wanaongea siasa na hawaijui,ukiwauliza wakueleze kwa kina hawana wanacho jua isipokua kurukaruka tu...wanakwambia eti we hujui uko nchi gani?au uliza utaambiwa!!! Mwambie nieleze wewe unachojua,anaishia kukwambia hizi ndiyo akili za CCM,unamwambia mimi sina chama ila nataka kujua kama ujuavyo,anaishia kuondoka au kukutukana.

Ujinga ni mwingi sana ktk nchi hii,yamkini tuje mitandaoni au mitaani tushauriane nini tufanye kiasi twende nchi nyingine kuwapa bidhaa au kufanya kazi fulani ambazo nchi hizo hazijawaza kufanya kadhaa kadhaa na kisha pesa turudishe kujenga nchi yetu,au tushirikiane na nchi fulani jirani kuweka amani na tufanye kazi kwa pamoja tukipata chochote kugawane na tujenge Afrika yetu.

Lakini ni mboyoyo tu mitandaoni na mitaani kwa vitu visivyo saidia isipokua kujenga chuki,juzi kwenye msiba nimeona watu wa kanda hii kuongea tofauti na kanda nyingine kisa tu Ukanda,Ukabila na vyama vya siasa,mambo yasiyo isaidia Afrika kupiga hatua hata kidogo
 
Mama akifuata Ujinga wa Awamu ya Wachunga Ng'ombe nae ataishia kuugua ugonjwa wa Roho

Ugonjwa wa Roho unasababishwa na Roho mbaya
Ni akili za kipumbavu sana hizi unazo sema wewe
 
Chief, naomba ruhusa nitafsiri hii picture!

If you all won’t mind!

[emoji846]
Awamu ya tano hiyo, wakati wa Mzee wa Msoga, wapinzani walikuwa "wanakinukisha" wanatoka bungeni....wanatishia kuandamana! Kisha wanaitwa Ikulu ili watoe kero zao, hiyo picha ni wapinzani wa enzi hizo wakitoka Ikulu ya Magogoni!
 
Back
Top Bottom