ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Fitina zipi? Hakuna fitina ila Kwa kuwa Mtanzania hawezi biashara itapata hasara kila siku kama MwendokasiHii train haitadumu , wataifanyia fitna baada ya siku si nyingi utaskia chalii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fitina zipi? Hakuna fitina ila Kwa kuwa Mtanzania hawezi biashara itapata hasara kila siku kama MwendokasiHii train haitadumu , wataifanyia fitna baada ya siku si nyingi utaskia chalii
Mngelipa mavi Ili treni na Tanesco ijiendeshe?
Na wakiwasha mashine zote tutawauzia Zambia na na burundi tupate $
Naona mtetezi wao jamii forum upo busy kutetea genge lao, yaani they pay you pennies, yet uko busy kutetea wajichukulie billionsHujuma kama zipi hizo? Serikali imara iliwahi leta hata faida 1 kwenye Mwendokasi?
Sitetei mtu na siliowi na mtu elewa hivyo weweNaona mtetezi wao jamii forum upo busy kutetea genge lao, yaani they pay you pennies, yet uko busy kutetea wajichukulie billions
Wapo bungeni hawatutetei tupunguziwe tozo. Ach nao wale chumaAbood na Shabiby acha wale chuma. Hao ni mashabiki wakubwa wa tozo.
Hofu ya nini?Taarifa ya TRC imesema kwasasa treni ya mwendokasi inabeba wastani wa abiria 4000 kwa siku, hizi ni sawa na trip 70 za mabasi yenye uwezo wa kubeba abiria 57 kwa wakati mmoja.
Kituo kinachofata kitakuwa Dodoma pale mambo yatakapokamilika. Abood na Shabiby nadhani watakuwa waathirika wakuu kwenye hii saga.
Kiuchumi ina-save muda wa wasafiri, usalama ukizingatia usafiri wa reli ni salama zaidi kuliko barabara, inapunguza uchakavu wa barabara hasa ikianza kusafirisha mizigo. Upande wa pili itafinya sekta binafsi ya usafirishaji kwa wamiliki na wote wanaofaidika na mzunguko huo kama wakata tiketi, wahudumu na madereva.
Hofu yangu ni kubakisha standard na sabotage kutoka kwa wafanyabiashara wa mabasi na malori, TRC watatoboa kweli?
Binafsi nahisi itaongeza usafiri wa mabasi,yatakuwa efficient sana sasa hivi na watayaendesha kisasa, ni kubadili namna walivyojipanga sasa.Taarifa ya TRC imesema kwasasa treni ya mwendokasi inabeba wastani wa abiria 4000 kwa siku, hizi ni sawa na trip 70 za mabasi yenye uwezo wa kubeba abiria 57 kwa wakati mmoja.
Kituo kinachofata kitakuwa Dodoma pale mambo yatakapokamilika. Abood na Shabiby nadhani watakuwa waathirika wakuu kwenye hii saga.
Kiuchumi ina-save muda wa wasafiri, usalama ukizingatia usafiri wa reli ni salama zaidi kuliko barabara, inapunguza uchakavu wa barabara hasa ikianza kusafirisha mizigo. Upande wa pili itafinya sekta binafsi ya usafirishaji kwa wamiliki na wote wanaofaidika na mzunguko huo kama wakata tiketi, wahudumu na madereva.
Hofu yangu ni kubakisha standard na sabotage kutoka kwa wafanyabiashara wa mabasi na malori, TRC watatoboa kweli?
We jamaa hesabu mtihani sana kwakoikibeba abiria hao kwa mwaka ni tirion 18.
elfu13 mara abiria elf4 mara siku 365 kwa mwaka n ngapWe jamaa hesabu mtihani sana kwako
Hio ni billion kumi na nane na milioni 980elfu13 mara abiria elf4 mara siku 365 kwa mwaka n ngap
Naunga mkono hoja yako.Usiwaamini hao bwana.
kwel aisee m n kiazHio ni billion kumi na nane na milioni 980
Kule Lumumba huyu ndio mwenye akili.Mngelipa mavi Ili treni na Tanesco ijiendeshe?
kaeleza kwa kujiamini na screenshot kaweka 😂We jamaa hesabu mtihani sana kwako
Hesabu ni janga la taifa.ikibeba abiria hao kwa mwaka ni tirion 18.