Ujio wa Tundu Lissu na matokeo ya ajabu

Ujio wa Tundu Lissu na matokeo ya ajabu

Ujio wa lissu ni sawa kwa mapana yake na marefu yake kwangu naona sawa.

Mshana Jr je, umewekewa uvuli wa mauti au akili zimecheza? Ni nani aliyekudanganya kwamba wana wanadhoofika?

Nikikuamini kama msomi na mtafiti mbobevu ni wapi umefeli mtani wangu?

Weka vidhibiti mwendo my dear, mwana saa hii ndo yuko huru anatembea kama kondoo aliyelowa ili ajiokotee mawindo ya kushiba.

Wakati huu waweza kuwa nyakati mbaya kuliko zote huko mbeleni, tena aweza anza kazi ya kuuza vikombe na visahani mtaani kwako mtatia story ila siku ya tatu historia yako itakoma.

Note me.
Kama ni kweli, na yeye ajue hayuko salama.!!!!!
 
Hakuna story hapo, naona unaendelea kuthibitisha ya kuwa unaandika tu ilimradi.

Mimi nimekwambia hivi ukionyesha ya kuwa nimeandika ambacho sikijui, nitaomba uongozi wa jf uifutilie mbali hii ID yangu, na hilu huliwezi mpaka unakufa.

Pili, nakufundisha sasa matumizi ya "nge" ni ishara ya kushindwa hoja na kuhamia katika ubahatishaji ambao hiyo "nge" huwezi kuithibitisha ukweli wake.

Tatu, usipende kuandika mambo ilimradi umeandika bali andika kile unachostahiki kuandika, matokeo yake ndiyo haya kukimbia kivuli chako.

Nipi .....
Binafsi nimesoma ulichoandika sijaona hoja ya msingi
 
Binafsi nimesoma ulichoandika sijaona hoja ya msingi
Poa, kutokuona kwako hoja ya msingi hakumaanishi kwamba nilicho kiandika si hoja ya msingi, mpaka utakapo thibtisha hilo, ndiyo maana hata mwenzako ameshindwa kufanya hivyo, kadhalika na wewe nikikuomba uthibitishe hilo najua hutaweza.

Ahsante
 
Mkuu umemaliza kila kitu. Na kale kendawazimu kangekuwa bado ofisini ungesikia marufuku nyiiingi za mapokezi.
 
Poa, kutokuona kwako hoja ya msingi hakumaanishi kwamba nilicho kiandika si hoja ya msingi, mpaka utakapo thibtisha hilo, ndiyo maana hata mwenzako ameshindwa kufanya hivyo, kadhalika na wewe nikikuomba uthibitishe hilo najua hutaweza.

Ahsante
Hakuna hoja uliyojenga, unajaza maneno tu ya kujifariji, na wewe huwezi kuthibitisha kwamba Mimi sina hoja,
 
Mkuu Mshana, hii haijakaa vizuri kwasababu kwenye shambulio la Lissu, ukiondoa uzushi wa mitaani na ramli chonganishi, hakuna mtuhumiwa yoyote rasmi, kufuatia shambulio hilo kufanywa na watu wasiojulikana, hivyo kitendo cha wewe kusema kuna mtuhumiwa, huku sheria zetu ziko wazi kabisa, kukitokea tukio lolote la jinai, kama kuna mtu yoyote mwenye taarifa zozote za mhusika au wahusika wa tukio hilo, anapaswa kuripoti kunakohusika na sio kutegenea uzushi wa mitaani na mitandaoni, vinginevyo na mada yako hii ni ramli chonganishi!

Tuacheni Ramli Chonganishi: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!

P
Kwa hio hukusikia akitajwa kuwepo dodoma ku-coordinate tukio???
Nyie watu nawaomba muendelee kuunga mkono juhudi hata baada ya jamaa yenu kuondoka pale nyumba kuu.
 
Kwenye crime investigation pale ambapo third part alifanikiwa kufanya jambo na ghafla alipofanya tukawaza au kumsingizia fulani ambaye hakuwahi kuthibitishwa..huyu mtu wa tatu atakuwa huru, yuko huru, was never suspected..he worn that easily

Kama yupo huyo third part na yuko huru na hakuwahi kuwaziwa, ATAFANYA TENA, and this time, kama aliyefanya mwanzo alifanya kugombanisha wananchi na serikali...safari hii akifanya tena, hali itakuwa mbaya, kwanza wanaweza wasimwache hai

Kuanzia mwanzo wa swala hili, ulinzi pekee wa kumlinda Lissu ulitakuwa Lissu ajibanze au kukimbilia kwa rais!!! Hii inahitaji IQ ya hali ya juu sana

Rais angemlinda dhidi ya watesi wake.Naam kama rais ndie anahusika kumshambulia Lissu BADO STILL ingekuwa mpe mchawi amlelee mwanao, bado angepona. Rais asingekubali mtu apotee ambaye kaja kwake kwa ulinzi, we only live once.

Kama huyu third part yuko mtaani, anadunda hakuwahi kudhaniwa wala kutajwa.he will surely atrike it again

Kwa akili zangu za assassination, shambulio la Lissu was never planned na serikali, eti wauaji wamfuatilie kutoka dsm kwenda dodoma, wapige risasi 32 mchana kweupe kutisha watu...apelekwe hospitali ya serikali, apate kibali cha anga ndege impeleke Kenya, common.Kama ingekuwa ni Rais kasema afe, angekufa tu.

Rais wa Tanzania sio uchebe mme wa shilole

The one who did it is out there, probably very close to Lissu, na wakimuua watapata sympathy za kisiasa, au kuvuruga nchi
Hiyo ndio lugha ya sisiem
 
Mkuu Mshana, hii haijakaa vizuri kwasababu kwenye shambulio la Lissu, ukiondoa uzushi wa mitaani na ramli chonganishi, hakuna mtuhumiwa yoyote rasmi, kufuatia shambulio hilo kufanywa na watu wasiojulikana, hivyo kitendo cha wewe kusema kuna mtuhumiwa, huku sheria zetu ziko wazi kabisa, kukitokea tukio lolote la jinai, kama kuna mtu yoyote mwenye taarifa zozote za mhusika au wahusika wa tukio hilo, anapaswa kuripoti kunakohusika na sio kutegenea uzushi wa mitaani na mitandaoni, vinginevyo na mada yako hii ni ramli chonganishi!

Tuacheni Ramli Chonganishi: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!

P
Mkubwa kuna wakati huwa acc yako anachangia robot maana unaenda kinyume na kanuni za wasiojulikana

Kumbe wale wajumbe waliokunyima kura walikitendea haki kabisa maana huko bungeni ungeenda kuwakilisha ujinga 99.99%
 
Wafipa tuna misemo yetu miwili inafanana sana

1. Time will tell
2. Time will heal all the wounds.

Sio kila mbwa Koko anayebweka mbele yako umpige kwa mawe, wengine ni wa kuwaacha tu wabweke wewe upite zako.

Ntafurahi sana iwapo Tundu Lissu atawasamehe watesi wake wote na kuuachia muda na karma viwahukumu.
Hua unatema point sana mzee nakukubali sana kwa hoja zako hapa jukwaani
 
Ujio wa lissu ni sawa kwa mapana yake na marefu yake kwangu naona sawa.

Mshana Jr je, umewekewa uvuli wa mauti au akili zimecheza? Ni nani aliyekudanganya kwamba wana wanadhoofika?

Nikikuamini kama msomi na mtafiti mbobevu ni wapi umefeli mtani wangu?

Weka vidhibiti mwendo my dear, mwana saa hii ndo yuko huru anatembea kama kondoo aliyelowa ili ajiokotee mawindo ya kushiba.

Wakati huu waweza kuwa nyakati mbaya kuliko zote huko mbeleni, tena aweza anza kazi ya kuuza vikombe na visahani mtaani kwako mtatia story ila siku ya tatu historia yako itakoma.

Note me.

Giza halijawahi shinda nuru, na kamwe haitokaa itokee.

Likitamkwa limetamkwa, huwa halirudi bure. Lissu yupo, wengi watapita kwa maumivu makubwa na majuto ya matendo yao, Lissu atakuwa anakula bata tu.

CCM ndicho chama changu, fitina kwangu ni mwiko nitasema kweli daima.
 
Mkuu Mshana, hii haijakaa vizuri kwasababu kwenye shambulio la Lissu, ukiondoa uzushi wa mitaani na ramli chonganishi, hakuna mtuhumiwa yoyote rasmi, kufuatia shambulio hilo kufanywa na watu wasiojulikana, hivyo kitendo cha wewe kusema kuna mtuhumiwa, huku sheria zetu ziko wazi kabisa, kukitokea tukio lolote la jinai, kama kuna mtu yoyote mwenye taarifa zozote za mhusika au wahusika wa tukio hilo, anapaswa kuripoti kunakohusika na sio kutegenea uzushi wa mitaani na mitandaoni, vinginevyo na mada yako hii ni ramli chonganishi!

Tuacheni Ramli Chonganishi: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!

P
Kumbuka watuhumiwa walikuwa Lissu na dereva wake! Polisi walikwishasema wanamsubiri Lissu arudi wamkamate akatoe maelezo juu ya shambulio lake!
Ramli chonganishi haifai.
 
Kuna vitu vinatokea kwa namna ya kipekee na ajabu kabisa. Ujio wa Lissu kurejea nyumbani akiwa bukheri wa afya una mengi ya kusimulia

Lissu aliyeondoka mahututi hajitambui kwenye machela baada ya kunusurika kifo cha risasi 36, anarejea nchini akiwa mwenye tabasamu na matumaini mengi.

Mtuhumiwa wake kwenye shambulio husika wakati huo alikuwa mwenye mamlaka na nguvu nyingi akiivinjari nchi atakavyo huku akifanya atakayo bila kuguswa na yeyote yule.

Leo hii Lissu anaporejea nchini mtuhumiwa wake si lolote si chochote tena(labda huko mbeleni) mtuhumiwa wake sasa ni mwananchi wa kawaida kabisa mwenye msongo wa mawazo huku sintofahamu ikimtawala kuhusu future yake. Anachosubiri kwasasa ni huruma ya mkulu kama kwa bahati mbaya wakiweza kufanya figisu.

Imagine leo hii Lissu anapokaribia kabisa kurudi mwana bado angekuwa na yale maguvu yake, sipati picha ingekuwaje. Kuna maanguko huja kwa hatua. Wazungu wanasema: A day when everything went wrong. Waswahel wanasema siku imeanza vibaya, na siku ya kufa nyani miti yote huteleza.

Umeteleza wa ubunge kwenye kura za wajumbe, unaweza kuteleza kwenye uteuzi, ama kwenye viti maalum.

Mambo huja kinyume. Wakati Lissu atakapokuwa kwenye msafara wa hiari, mwana atakuwa kajificha mahali na remote mkononi akiangalia kwa uchungu live updates za mbaya wake mwenye na uso wa tabasamu kubwa.
Kipindi cha nyuma nilikua nakuchukulia kama mtu muelewa kumbe hobela hobela tu
 
Back
Top Bottom