Jabari XVI
JF-Expert Member
- May 31, 2018
- 1,075
- 1,466
Akili kubwa sana hii brother. Big upUkiachana jina la Lissu je kuna mtu mwingine nimemtaja hapa? Au na wewe umetumia hisia zaidi kuliko mimi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili kubwa sana hii brother. Big upUkiachana jina la Lissu je kuna mtu mwingine nimemtaja hapa? Au na wewe umetumia hisia zaidi kuliko mimi?
Kama aliweza kuvamia clouds na ushahidi upo na hakuna hatua zozote zilizochukuliwa dhidi yake we huo ushahidi wa bashite kuongoza wahuni kumpiga risasi Lissu ukioneshwa utakusaidia nini?Acha upoyoyo, toa mfano wa rais mmoja aliyefanya hivyo! Ukiitwa utoe ushahidi wa kuhusika kwa Makonda utatoa ! Ujinga na chuki za kipumbavu ni vya hivyo Sana!
Tafute ushahidi mwingine, huo ulioleta upo nje ya mantiki ndugu! Ulimuona wapi akimmiminia blanko TL?Kama aliweza kuvamia clouds na ushahidi upo na hakuna hatua zozote zilizochukuliwa dhidi yake we huo ushahidi wa bashite kuongoza wahuni kumpiga risasi Lissu ukioneshwa utakusaidia nini?
Ndorobo ww
Niumie nini sasa, zaidi ya kushangaa kuna watu wanaupumbafu uliopitiliza hasa namna ya kumsaidia unaikosa kabisaa!Umeumia eeh!
We jamaa punguza unafiki Basi .Mkuu Mshana, hii haijakaa vizuri kwasababu kwenye shambulio la Lissu, ukiondoa uzushi wa mitaani na ramli chonganishi, hakuna mtuhumiwa yoyote rasmi, kufuatia shambulio hilo kufanywa na watu wasiojulikana, hivyo kitendo cha wewe kusema kuna mtuhumiwa, huku sheria zetu ziko wazi kabisa, kukitokea tukio lolote la jinai, kama kuna mtu yoyote mwenye taarifa zozote za mhusika au wahusika wa tukio hilo, anapaswa kuripoti kunakohusika na sio kutegenea uzushi wa mitaani na mitandaoni, vinginevyo na mada yako hii ni ramli chonganishi!
Tuacheni Ramli Chonganishi: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!
P
Mkuu Mshana, hii haijakaa vizuri kwasababu kwenye shambulio la Lissu, ukiondoa uzushi wa mitaani na ramli chonganishi, hakuna mtuhumiwa yoyote rasmi, kufuatia shambulio hilo kufanywa na watu wasiojulikana, hivyo kitendo cha wewe kusema kuna mtuhumiwa, huku sheria zetu ziko wazi kabisa, kukitokea tukio lolote la jinai, kama kuna mtu yoyote mwenye taarifa zozote za mhusika au wahusika wa tukio hilo, anapaswa kuripoti kunakohusika na sio kutegenea uzushi wa mitaani na mitandaoni, vinginevyo na mada yako hii ni ramli chonganishi!
Tuacheni Ramli Chonganishi: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!
P
Ulidhani mchezo, kushinda lazima uwe na misuli Pascalallydou,
Hii ya kupata zero ni kweli na niliomba humu, msinicheke wala msinibeze kwa maana...
Uchaguzi 2020 - Wana JF, nipeni Pole. Msinicheke wala msinibeze; nimegombea ubunge Kawe kupitia CCM nimeambulia kura 1. Ama kweli CCM ina wenyewe!
P
Hata Mwenyekiti wetu nae kuna minong'ono kwamba ni MTUHUMIWA.P nimelitumia hilo neno kwa umakini wa hali ya juu na tahadhari zote. Na sijachukua uzushi wa mitaani bali yale yaliyonenwa na mhanga mara kadha..by the way ni MTUHUMUWA sijasema MHUSIKA
[emoji23][emoji23][emoji1787]Kama aliweza kuvamia clouds na ushahidi upo na hakuna hatua zozote zilizochukuliwa dhidi yake we huo ushahidi wa bashite kuongoza wahuni kumpiga risasi Lissu ukioneshwa utakusaidia nini?
Ndorobo ww
Uchunguzi hadi leo unasubiri nini?acha porojo zako subiri teuzi umekuwa mtu nisiyemtarajia katika mawazo huru au tumbo linasokota sana mpaka unakoswa uvumlivu hapana aiseeMkuu Mshana, hii haijakaa vizuri kwasababu kwenye shambulio la Lissu, ukiondoa uzushi wa mitaani na ramli chonganishi, hakuna mtuhumiwa yoyote rasmi, kufuatia shambulio hilo kufanywa na watu wasiojulikana, hivyo kitendo cha wewe kusema kuna mtuhumiwa, huku sheria zetu ziko wazi kabisa, kukitokea tukio lolote la jinai, kama kuna mtu yoyote mwenye taarifa zozote za mhusika au wahusika wa tukio hilo, anapaswa kuripoti kunakohusika na sio kutegenea uzushi wa mitaani na mitandaoni, vinginevyo na mada yako hii ni ramli chonganishi!
Tuacheni Ramli Chonganishi: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!
P
tuonane mjini mkuu, nimekuja kutoka visiwani, tupate bia mbili tatu kusherehekea kurudi kwa THE GREAT, pia tuchome na nyama nipo na wadau kutoka Chakechake, Wete na Micheweni, wamekuja kuhakikisha kama kweli lofa kafaMtani sisi wa kitengo tutakosaje kwa mfano? Huoni nilitoweka hewani kwa muda?
Jr[emoji769]
Mkuu, hii ya " hakuna mtuhumumiwa yoyote aliekamatwa", kwanini tusigeuze shillingi ikawa ndio ushahidi tosha kama serikali na vyombo vya usalama ndio watuhumiwa wakubwa na hawapotezi time kuchunguza kwa sababu wanajijua ni wao.Mkuu Mshana, hii haijakaa vizuri kwasababu kwenye shambulio la Lissu, ukiondoa uzushi wa mitaani na ramli chonganishi, hakuna mtuhumiwa yoyote rasmi, kufuatia shambulio hilo kufanywa na watu wasiojulikana, hivyo kitendo cha wewe kusema kuna mtuhumiwa, huku sheria zetu ziko wazi kabisa, kukitokea tukio lolote la jinai, kama kuna mtu yoyote mwenye taarifa zozote za mhusika au wahusika wa tukio hilo, anapaswa kuripoti kunakohusika na sio kutegenea uzushi wa mitaani na mitandaoni, vinginevyo na mada yako hii ni ramli chonganishi!
Tuacheni Ramli Chonganishi: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!
P
Wahuni hao mbona mpaka leo hawajakamatwa na kufunguliwa mashtaka? Kwanza kwa kuondoa walinzi eneo nyeti, pia kwa kuvamia eneo nyeti na kung'oa mfumo wa kamera za ulinzi lakini pia kumshambulia "mtu" ambaye hakuwa na silaha!!?
Kuwa na akiliccm kunahitaji moyo kama wa Msiba
Uchunguzi hadi leo unasubiri nini?acha porojo zako subiri teuzi umekuwa mtu nisiyemtarajia katika mawazo huru au tumbo linasokota sana mpaka unakoswa uvumlivu hapana aisee
Pitia na hii Site [RC Paul Makonda Personally Supervised the Attempted Assasination of MP Tundu Lissu]Mkuu Mshana, hii haijakaa vizuri kwasababu kwenye shambulio la Lissu, ukiondoa uzushi wa mitaani na ramli chonganishi, hakuna mtuhumiwa yoyote rasmi, kufuatia shambulio hilo kufanywa na watu wasiojulikana, hivyo kitendo cha wewe kusema kuna mtuhumiwa, huku sheria zetu ziko wazi kabisa, kukitokea tukio lolote la jinai, kama kuna mtu yoyote mwenye taarifa zozote za mhusika au wahusika wa tukio hilo, anapaswa kuripoti kunakohusika na sio kutegenea uzushi wa mitaani na mitandaoni, vinginevyo na mada yako hii ni ramli chonganishi!
Tuacheni Ramli Chonganishi: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!
P