Kama ni kweli, na yeye ajue hayuko salama.!!!!!Ujio wa lissu ni sawa kwa mapana yake na marefu yake kwangu naona sawa.
Mshana Jr je, umewekewa uvuli wa mauti au akili zimecheza? Ni nani aliyekudanganya kwamba wana wanadhoofika?
Nikikuamini kama msomi na mtafiti mbobevu ni wapi umefeli mtani wangu?
Weka vidhibiti mwendo my dear, mwana saa hii ndo yuko huru anatembea kama kondoo aliyelowa ili ajiokotee mawindo ya kushiba.
Wakati huu waweza kuwa nyakati mbaya kuliko zote huko mbeleni, tena aweza anza kazi ya kuuza vikombe na visahani mtaani kwako mtatia story ila siku ya tatu historia yako itakoma.
Note me.
Binafsi nimesoma ulichoandika sijaona hoja ya msingiHakuna story hapo, naona unaendelea kuthibitisha ya kuwa unaandika tu ilimradi.
Mimi nimekwambia hivi ukionyesha ya kuwa nimeandika ambacho sikijui, nitaomba uongozi wa jf uifutilie mbali hii ID yangu, na hilu huliwezi mpaka unakufa.
Pili, nakufundisha sasa matumizi ya "nge" ni ishara ya kushindwa hoja na kuhamia katika ubahatishaji ambao hiyo "nge" huwezi kuithibitisha ukweli wake.
Tatu, usipende kuandika mambo ilimradi umeandika bali andika kile unachostahiki kuandika, matokeo yake ndiyo haya kukimbia kivuli chako.
Nipi .....
Umeumia eeh!Acha upoyoyo, toa mfano wa rais mmoja aliyefanya hivyo! Ukiitwa utoe ushahidi wa kuhusika kwa Makonda utatoa ! Ujinga na chuki za kipumbavu ni vya hivyo Sana!
Poa, kutokuona kwako hoja ya msingi hakumaanishi kwamba nilicho kiandika si hoja ya msingi, mpaka utakapo thibtisha hilo, ndiyo maana hata mwenzako ameshindwa kufanya hivyo, kadhalika na wewe nikikuomba uthibitishe hilo najua hutaweza.Binafsi nimesoma ulichoandika sijaona hoja ya msingi
Hakuna hoja uliyojenga, unajaza maneno tu ya kujifariji, na wewe huwezi kuthibitisha kwamba Mimi sina hoja,Poa, kutokuona kwako hoja ya msingi hakumaanishi kwamba nilicho kiandika si hoja ya msingi, mpaka utakapo thibtisha hilo, ndiyo maana hata mwenzako ameshindwa kufanya hivyo, kadhalika na wewe nikikuomba uthibitishe hilo najua hutaweza.
Ahsante
Poa.Hakuna hoja uliyojenga, unajaza maneno tu ya kujifariji, na wewe huwezi kuthibitisha kwamba Mimi sina hoja,
Kwa hio hukusikia akitajwa kuwepo dodoma ku-coordinate tukio???Mkuu Mshana, hii haijakaa vizuri kwasababu kwenye shambulio la Lissu, ukiondoa uzushi wa mitaani na ramli chonganishi, hakuna mtuhumiwa yoyote rasmi, kufuatia shambulio hilo kufanywa na watu wasiojulikana, hivyo kitendo cha wewe kusema kuna mtuhumiwa, huku sheria zetu ziko wazi kabisa, kukitokea tukio lolote la jinai, kama kuna mtu yoyote mwenye taarifa zozote za mhusika au wahusika wa tukio hilo, anapaswa kuripoti kunakohusika na sio kutegenea uzushi wa mitaani na mitandaoni, vinginevyo na mada yako hii ni ramli chonganishi!
Tuacheni Ramli Chonganishi: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!
P
Hiyo ndio lugha ya sisiemKwenye crime investigation pale ambapo third part alifanikiwa kufanya jambo na ghafla alipofanya tukawaza au kumsingizia fulani ambaye hakuwahi kuthibitishwa..huyu mtu wa tatu atakuwa huru, yuko huru, was never suspected..he worn that easily
Kama yupo huyo third part na yuko huru na hakuwahi kuwaziwa, ATAFANYA TENA, and this time, kama aliyefanya mwanzo alifanya kugombanisha wananchi na serikali...safari hii akifanya tena, hali itakuwa mbaya, kwanza wanaweza wasimwache hai
Kuanzia mwanzo wa swala hili, ulinzi pekee wa kumlinda Lissu ulitakuwa Lissu ajibanze au kukimbilia kwa rais!!! Hii inahitaji IQ ya hali ya juu sana
Rais angemlinda dhidi ya watesi wake.Naam kama rais ndie anahusika kumshambulia Lissu BADO STILL ingekuwa mpe mchawi amlelee mwanao, bado angepona. Rais asingekubali mtu apotee ambaye kaja kwake kwa ulinzi, we only live once.
Kama huyu third part yuko mtaani, anadunda hakuwahi kudhaniwa wala kutajwa.he will surely atrike it again
Kwa akili zangu za assassination, shambulio la Lissu was never planned na serikali, eti wauaji wamfuatilie kutoka dsm kwenda dodoma, wapige risasi 32 mchana kweupe kutisha watu...apelekwe hospitali ya serikali, apate kibali cha anga ndege impeleke Kenya, common.Kama ingekuwa ni Rais kasema afe, angekufa tu.
Rais wa Tanzania sio uchebe mme wa shilole
The one who did it is out there, probably very close to Lissu, na wakimuua watapata sympathy za kisiasa, au kuvuruga nchi
Mkubwa kuna wakati huwa acc yako anachangia robot maana unaenda kinyume na kanuni za wasiojulikanaMkuu Mshana, hii haijakaa vizuri kwasababu kwenye shambulio la Lissu, ukiondoa uzushi wa mitaani na ramli chonganishi, hakuna mtuhumiwa yoyote rasmi, kufuatia shambulio hilo kufanywa na watu wasiojulikana, hivyo kitendo cha wewe kusema kuna mtuhumiwa, huku sheria zetu ziko wazi kabisa, kukitokea tukio lolote la jinai, kama kuna mtu yoyote mwenye taarifa zozote za mhusika au wahusika wa tukio hilo, anapaswa kuripoti kunakohusika na sio kutegenea uzushi wa mitaani na mitandaoni, vinginevyo na mada yako hii ni ramli chonganishi!
Tuacheni Ramli Chonganishi: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!
P
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Huku radi inauzwa kwa vipimo, kuna ndonya ya kupyanga, ndonya ya kawaida, kisado, debe na gunia. Halafu inategemea na radi imetengenezwa wapi. Hamna bei elekezi.
Hua unatema point sana mzee nakukubali sana kwa hoja zako hapa jukwaaniWafipa tuna misemo yetu miwili inafanana sana
1. Time will tell
2. Time will heal all the wounds.
Sio kila mbwa Koko anayebweka mbele yako umpige kwa mawe, wengine ni wa kuwaacha tu wabweke wewe upite zako.
Ntafurahi sana iwapo Tundu Lissu atawasamehe watesi wake wote na kuuachia muda na karma viwahukumu.
Ujio wa lissu ni sawa kwa mapana yake na marefu yake kwangu naona sawa.
Mshana Jr je, umewekewa uvuli wa mauti au akili zimecheza? Ni nani aliyekudanganya kwamba wana wanadhoofika?
Nikikuamini kama msomi na mtafiti mbobevu ni wapi umefeli mtani wangu?
Weka vidhibiti mwendo my dear, mwana saa hii ndo yuko huru anatembea kama kondoo aliyelowa ili ajiokotee mawindo ya kushiba.
Wakati huu waweza kuwa nyakati mbaya kuliko zote huko mbeleni, tena aweza anza kazi ya kuuza vikombe na visahani mtaani kwako mtatia story ila siku ya tatu historia yako itakoma.
Note me.
Kumbuka watuhumiwa walikuwa Lissu na dereva wake! Polisi walikwishasema wanamsubiri Lissu arudi wamkamate akatoe maelezo juu ya shambulio lake!Mkuu Mshana, hii haijakaa vizuri kwasababu kwenye shambulio la Lissu, ukiondoa uzushi wa mitaani na ramli chonganishi, hakuna mtuhumiwa yoyote rasmi, kufuatia shambulio hilo kufanywa na watu wasiojulikana, hivyo kitendo cha wewe kusema kuna mtuhumiwa, huku sheria zetu ziko wazi kabisa, kukitokea tukio lolote la jinai, kama kuna mtu yoyote mwenye taarifa zozote za mhusika au wahusika wa tukio hilo, anapaswa kuripoti kunakohusika na sio kutegenea uzushi wa mitaani na mitandaoni, vinginevyo na mada yako hii ni ramli chonganishi!
Tuacheni Ramli Chonganishi: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!
P
Kipindi cha nyuma nilikua nakuchukulia kama mtu muelewa kumbe hobela hobela tuKuna vitu vinatokea kwa namna ya kipekee na ajabu kabisa. Ujio wa Lissu kurejea nyumbani akiwa bukheri wa afya una mengi ya kusimulia
Lissu aliyeondoka mahututi hajitambui kwenye machela baada ya kunusurika kifo cha risasi 36, anarejea nchini akiwa mwenye tabasamu na matumaini mengi.
Mtuhumiwa wake kwenye shambulio husika wakati huo alikuwa mwenye mamlaka na nguvu nyingi akiivinjari nchi atakavyo huku akifanya atakayo bila kuguswa na yeyote yule.
Leo hii Lissu anaporejea nchini mtuhumiwa wake si lolote si chochote tena(labda huko mbeleni) mtuhumiwa wake sasa ni mwananchi wa kawaida kabisa mwenye msongo wa mawazo huku sintofahamu ikimtawala kuhusu future yake. Anachosubiri kwasasa ni huruma ya mkulu kama kwa bahati mbaya wakiweza kufanya figisu.
Imagine leo hii Lissu anapokaribia kabisa kurudi mwana bado angekuwa na yale maguvu yake, sipati picha ingekuwaje. Kuna maanguko huja kwa hatua. Wazungu wanasema: A day when everything went wrong. Waswahel wanasema siku imeanza vibaya, na siku ya kufa nyani miti yote huteleza.
Umeteleza wa ubunge kwenye kura za wajumbe, unaweza kuteleza kwenye uteuzi, ama kwenye viti maalum.
Mambo huja kinyume. Wakati Lissu atakapokuwa kwenye msafara wa hiari, mwana atakuwa kajificha mahali na remote mkononi akiangalia kwa uchungu live updates za mbaya wake mwenye na uso wa tabasamu kubwa.