Wanatumia fursa iliyopo, sasa wao wana viwanda...wanatoa kila bidhaa tunayotaka sisi wa dunia ya 3Sipati picha kwamba miaka michache ijayo wachina watakuwa wameshika sekta zote nyeti. Inakuwaje kwani Wachina wanavamia au ni sisi wenyewe tutawakabidhi hizo Sekta kwa hiari? Hilo jambo ambalo linatakiwa lifanyike ni NANI anatakiwa alifanye?
Hakuna kitu kama hicho wala theory kama hiyo kwani hai-make any sense. Sababu sio wachina tu, bali binadamu wote duniani ikiwemo wa kule kwa mpalange, wanashare DNA kwa asilimia 99.9, hiyo moja 0.1 iliyobaki ni utofauti wa rangi na phenotypes nyingine.Hili ni kweli though kuna wanaosema ni conspiracy theory ila inakuwa backed up na taarifa walizotoa wachina hivi karibuni kwamba walipopima dna za watu wao wamekuta wana vinasaba vya watu waafrika so kuna chokochoko la kutaka kurudi kwenye motherland.
Sheria ya hovyo kabisa hiyo.Huku industrial areas.. Wananunua kea wenyeji wanalipa cash kisha wanaenda TIC kupata documents za kukodisha kwa miaka 99
Weak point china uchumia wake ume fly kutokea third world country miaka ya 50's mpaka kuwa first world country kilichochangia ukuaji huu wa haraka hauwezi kuitoa rapid popullation growth maana watu ni resource moja kubwa sana kwenye ukuaji wa uchumi .
Vivyo hivyo india ina population kubwa lakini uchumi wao hauwezi kuta wa china by big margin , See where i am going? Ishu inayobaki ni sera mbovu labda nikupe challenge hebu niwekee sera za late mwalimu nyerere baada ya kupata uhuru aliweka mikakati gani kukuza uchumi wa nchi na ku manage rasilimali nyingi sana ambazo zilikuwepo zikisubiri kutumiwa ?
And tulinganishe na sera za seretse khama .
N.b
Upo sahihi ya nini nifuatilie siasa ambayo najua kabisa what will happen before it even happened ? Kwa mfano Mwaka 2026 raisi ni samia suluhu hassan for the comming good 5 years then baada ya hapo atakayeshika uongozi atatokea CCM for the upcomming 10 years .
Pin hii comment yangu .
Sahihi 100%Wachina wakiwa wengi nchi yoyote wanaeka police center yao walianza marekan ila kule wanajielewa wakawafatilia,,,wakaja Zambia sasa wanajuta huko baadhi ya restaurant wao wanawabagua waziwazi, hawa watu wanampango wa kuitawala Africa siku moja,,, hawa wafungwa walioletwa kujenga wanaacha damu zao maksud ili baadae iwe rahisi kutawala,,,huko Uganda wanaona sifa kuzaa nao huku pia baadhi ya maeneo kuna blasians
Lakin watanzania mtalala mpaka lin? TufungukeNi ugeni mkubwa mwaka huu.. Maandalizi ni mengi na ni makubwa lakini yanayofanywa kwa siri kubwa sana hasa na wachina wenyewe. Madalali wa kichina tayari wako nchini wakizisaka fursa na kuzishikilia, mashushushu wa kichina pia ni wengi mno
Mahoteli yananunuliwa kwa kasi ya ajabu. Migodi hivyohivyo, Ardhi na kila eneo lenye hela vyote sasa hivi wachina wanajibebea kwa bei sawa na bure. Hawa laki 3 wanaokuja ni ma tycoon tupu.. Watakaobaki ama watakaorudi kuwekeza hawawezi kupungua elfu 5 mpaka 10
Ni wakati wa kulisimamia taifa kizalendo zaidi na kuepuka vizawadi vya tv na simu. Waliopo Tanganyika tayari wanahodhi ma ardhi makubwa ya hekari nyingi sana kwa mkataba wa miaka 99.. Hivi ni vizazi vitatu.. Wanaokuja nao watapita humohumo
Je, baada ya hiyo miaka 99 tutakuwa tumebakiwa, tumebakishiwa nini? Mpango huu wa kuwaleta wachina wengi kiasi hiki kwa ajili ya fursa za uwekezaji na biashara hauna afya sana kwa taifa kama tusipokuwa makini sana
Hawa wanaletana na kuja kufanya makazi ya kudumu huku wakipora kila kitu chetu kizuri.. Baada ya vizazi vitatu tutakuwa na taifa gani?
Nyie si mnafanganywa mko wengi msizae hovyo na mnachekelea kama mazuzu!Mpango wa China ni kuhakikisha by 2050 Afrika iwe na Wachia milioni 500 wakati ninyi hamna mkakati wowote ule wakuhakikisha mna exist
Sasa ni hatua gani za kuchukua ikiwa Kuna kupotezwa na hakuna atakae wajibika kupotea kwako hauoni Kuna mateso zaidi ya familia ukipotezwa?Kumbuka mateso watakayopata vizazi vyako kabla ya kuwa mifupa
Ha ha ha kazi ipo.Mkuu tulieni dawa iwa ingie kipindi cha magufuli mulijenga chuki juu yake,alijaribu kupambania mali ya inchi akawafinya wakina ACASIA kwa sasa BARRICK na wengine mka muita shetani, Mungu aka mchukua na baadhi yenu mka shelekea kifo chake mkala na kunywa so tulieni kabisa na bado.
Unaanzisha kiwanda halafu watching wanaleta bidhaa hiyo hiyo japo feki kwa bei ta kutupa na hawalipi kodi stahikiHapa kuna kikwazo kingine,ila sisi tuna vipaumbele vya kipuuzi.Badala tuchangiane kuanzisha viwanda tunachangishana harusi na sherehe.Pia hatuna ubunifu zaidi ya kuwekeza kwenye vitu vilivyo tayari.
Na hata wakizaliana hawana mpango wowotw wa ku empower raia wao. Wanabaki kuita wawekezaji wawafanyieNyie si mnafanganywa mko wengi msizae hovyo na mnachekelea kama mazuzu!
Mshana kwema,Nadharia ya "nadharia ya DNA ya Kiafrika ya Uchina" inasema kwamba asili nyingi za kijenetiki za watu wa kisasa wa China zinaweza kufuatiliwa kutoka Afrika.
ikimaanisha kwamba mababu wa Wachina wa kisasa walihama kutoka Afrika na kuishi China, na maumbile yao mengi yanatokana na asili hii ya Kiafrika; hii inaungwa mkono na tafiti nyingi za uchanganuzi wa DNA ambazo zinaonyesha mchango mkubwa wa Kiafrika kwenye mkusanyiko wa jeni wa Kichina.
Mambo muhimu kuhusu nadharia hii:
"Nje ya Afrika" hypothesis:
Nadharia hii inawiana na dhana inayokubalika na watu wengi ya "Nje ya Afrika", ambayo inathibitisha kwamba wanadamu wa kisasa walianzia Afrika na kisha kuenea duniani kote.
Ushahidi wa maumbile:
Uchunguzi wa kulinganisha DNA kutoka kwa watu mbalimbali duniani kote, ikiwa ni pamoja na Uchina, umeonyesha kiungo kikubwa cha maumbile kwa wakazi wa Afrika.
Athari:
Nadharia hii inapendekeza kwamba ingawa kunaweza kuwa na kuzaliana kwa ndani na idadi ya awali ya hominin nchini Uchina, muundo mwingi wa kisasa wa Kichina umechukuliwa kutoka kwa mababu wa Kiafrika.
Jinsi China Inavyoandika Upya Kitabu cha Asili ya Binadamu -...
13 Jul 2016 Uchunguzi wa idadi ya watu wa China unaonyesha kuwa 97.4% ya ...
Mmarekani wa kisayansi
Jifunze zaidi
DNA Yathibitisha Uchina DIRECT Africa Kushuka
29 Jul 2023-hadithi ya uhamaji wa binadamu ni tamthilia ya ajabu
YouTube Black Journals
:
Generative Al ni ya majaribio.
Uchunguzi wa idadi ya watu wa China unaonyesha kuwa 97.4% ya maumbile yao yanatoka kwa mababu wa kisasa kutoka Afrika, na wengine wanatoka kwa fomu zilizopotea kama vile.
Neanderthals na Denisovans. 13 Julai 2016
Scientific American
Scientific American is the essential guide to the most awe-inspiring advances in science and technology, explaining how they change our understanding of the world and shape our lives.www.scientificamerican.com
Jinsi Uchina Inaandika Upya Kitabu cha Asili ya Binadamu - Sayansi ya Amerika
Hili ni kweli though kuna wanaosema ni conspiracy theory ila inakuwa backed up na taarifa walizotoa wachina hivi karibuni kwamba walipopima dna za watu wao wamekuta wana vinasaba vya watu waafrika so kuna chokochoko la kutaka kurudi kwenye motherland.
Sisi tuko hapa wao wako huku.. Nani wa kulaumiwaSasa ni hatua gani za kuchukua ikiwa Kuna kupotezwa na hakuna atakae wajibika kupotea kwako hauoni Kuna mateso zaidi ya familia ukipotezwa?