Ujio wa wachina laki 3 Tanganyika uwe na tija kwa Taifa na si kwa ajili ya watu wachache na jamaa zao

Ujio wa wachina laki 3 Tanganyika uwe na tija kwa Taifa na si kwa ajili ya watu wachache na jamaa zao

Sipati picha kwamba miaka michache ijayo wachina watakuwa wameshika sekta zote nyeti. Inakuwaje kwani Wachina wanavamia au ni sisi wenyewe tutawakabidhi hizo Sekta kwa hiari? Hilo jambo ambalo linatakiwa lifanyike ni NANI anatakiwa alifanye?
Wanatumia fursa iliyopo, sasa wao wana viwanda...wanatoa kila bidhaa tunayotaka sisi wa dunia ya 3

Kama nawewe una uwezo nenda kafanye biashara kwao na ufanikiwe

Globalization hiyo
 
Hili ni kweli though kuna wanaosema ni conspiracy theory ila inakuwa backed up na taarifa walizotoa wachina hivi karibuni kwamba walipopima dna za watu wao wamekuta wana vinasaba vya watu waafrika so kuna chokochoko la kutaka kurudi kwenye motherland.
Hakuna kitu kama hicho wala theory kama hiyo kwani hai-make any sense. Sababu sio wachina tu, bali binadamu wote duniani ikiwemo wa kule kwa mpalange, wanashare DNA kwa asilimia 99.9, hiyo moja 0.1 iliyobaki ni utofauti wa rangi na phenotypes nyingine.
 
Weak point china uchumia wake ume fly kutokea third world country miaka ya 50's mpaka kuwa first world country kilichochangia ukuaji huu wa haraka hauwezi kuitoa rapid popullation growth maana watu ni resource moja kubwa sana kwenye ukuaji wa uchumi .

Vivyo hivyo india ina population kubwa lakini uchumi wao hauwezi kuta wa china by big margin , See where i am going? Ishu inayobaki ni sera mbovu labda nikupe challenge hebu niwekee sera za late mwalimu nyerere baada ya kupata uhuru aliweka mikakati gani kukuza uchumi wa nchi na ku manage rasilimali nyingi sana ambazo zilikuwepo zikisubiri kutumiwa ?

And tulinganishe na sera za seretse khama .

N.b
Upo sahihi ya nini nifuatilie siasa ambayo najua kabisa what will happen before it even happened ? Kwa mfano Mwaka 2026 raisi ni samia suluhu hassan for the comming good 5 years then baada ya hapo atakayeshika uongozi atatokea CCM for the upcomming 10 years .

Pin hii comment yangu .

I'm not pinning ish.

Nilisema hapo juu sera zinachangia pamoja na population growth isiyo na tija. Population inayoongezeka exponentially kuliko uwezo wenu ni hasara. Nigeria ina uchumi mkubwa Africa as well as population kubwa, wanapiga mark time tu. Botswana uchumi unakua huku population ipo pale pale wanaendelea, you see the difference? Leo hii DSM ina watu wengi kuliko Chicago, hata serikali ijenge DSM vp miundombinu itazidiwa tu.

I can legitimately argue that Nyerere did a better job economically than any other president, given the challenges he had to navigate. Wengi mnaangalia shortcomings zake bila kuangalia changamoto he faced ambazo wengi mnazijua juu juu tu if mnazijua at all.

Endelea kutofuatilia ili upigwe vizuri na usilalamike pia.
 
Wachina wakiwa wengi nchi yoyote wanaeka police center yao walianza marekan ila kule wanajielewa wakawafatilia,,,wakaja Zambia sasa wanajuta huko baadhi ya restaurant wao wanawabagua waziwazi, hawa watu wanampango wa kuitawala Africa siku moja,,, hawa wafungwa walioletwa kujenga wanaacha damu zao maksud ili baadae iwe rahisi kutawala,,,huko Uganda wanaona sifa kuzaa nao huku pia baadhi ya maeneo kuna blasians
Sahihi 100%
 
Ni ugeni mkubwa mwaka huu.. Maandalizi ni mengi na ni makubwa lakini yanayofanywa kwa siri kubwa sana hasa na wachina wenyewe. Madalali wa kichina tayari wako nchini wakizisaka fursa na kuzishikilia, mashushushu wa kichina pia ni wengi mno

Mahoteli yananunuliwa kwa kasi ya ajabu. Migodi hivyohivyo, Ardhi na kila eneo lenye hela vyote sasa hivi wachina wanajibebea kwa bei sawa na bure. Hawa laki 3 wanaokuja ni ma tycoon tupu.. Watakaobaki ama watakaorudi kuwekeza hawawezi kupungua elfu 5 mpaka 10

Ni wakati wa kulisimamia taifa kizalendo zaidi na kuepuka vizawadi vya tv na simu. Waliopo Tanganyika tayari wanahodhi ma ardhi makubwa ya hekari nyingi sana kwa mkataba wa miaka 99.. Hivi ni vizazi vitatu.. Wanaokuja nao watapita humohumo

Je, baada ya hiyo miaka 99 tutakuwa tumebakiwa, tumebakishiwa nini? Mpango huu wa kuwaleta wachina wengi kiasi hiki kwa ajili ya fursa za uwekezaji na biashara hauna afya sana kwa taifa kama tusipokuwa makini sana

Hawa wanaletana na kuja kufanya makazi ya kudumu huku wakipora kila kitu chetu kizuri.. Baada ya vizazi vitatu tutakuwa na taifa gani?
Lakin watanzania mtalala mpaka lin? Tufunguke
 
Mkuu tulieni dawa iwa ingie kipindi cha magufuli mulijenga chuki juu yake,alijaribu kupambania mali ya inchi akawafinya wakina ACASIA kwa sasa BARRICK na wengine mka muita shetani, Mungu aka mchukua na baadhi yenu mka shelekea kifo chake mkala na kunywa so tulieni kabisa na bado.
Ha ha ha kazi ipo.
 
Hapa kuna kikwazo kingine,ila sisi tuna vipaumbele vya kipuuzi.Badala tuchangiane kuanzisha viwanda tunachangishana harusi na sherehe.Pia hatuna ubunifu zaidi ya kuwekeza kwenye vitu vilivyo tayari.
Unaanzisha kiwanda halafu watching wanaleta bidhaa hiyo hiyo japo feki kwa bei ta kutupa na hawalipi kodi stahiki
 
Nadharia ya "nadharia ya DNA ya Kiafrika ya Uchina" inasema kwamba asili nyingi za kijenetiki za watu wa kisasa wa China zinaweza kufuatiliwa kutoka Afrika.

ikimaanisha kwamba mababu wa Wachina wa kisasa walihama kutoka Afrika na kuishi China, na maumbile yao mengi yanatokana na asili hii ya Kiafrika; hii inaungwa mkono na tafiti nyingi za uchanganuzi wa DNA ambazo zinaonyesha mchango mkubwa wa Kiafrika kwenye mkusanyiko wa jeni wa Kichina.

Mambo muhimu kuhusu nadharia hii:

"Nje ya Afrika" hypothesis:

Nadharia hii inawiana na dhana inayokubalika na watu wengi ya "Nje ya Afrika", ambayo inathibitisha kwamba wanadamu wa kisasa walianzia Afrika na kisha kuenea duniani kote.

Ushahidi wa maumbile:

Uchunguzi wa kulinganisha DNA kutoka kwa watu mbalimbali duniani kote, ikiwa ni pamoja na Uchina, umeonyesha kiungo kikubwa cha maumbile kwa wakazi wa Afrika.

Athari:

Nadharia hii inapendekeza kwamba ingawa kunaweza kuwa na kuzaliana kwa ndani na idadi ya awali ya hominin nchini Uchina, muundo mwingi wa kisasa wa Kichina umechukuliwa kutoka kwa mababu wa Kiafrika.

Jinsi China Inavyoandika Upya Kitabu cha Asili ya Binadamu -...

13 Jul 2016 Uchunguzi wa idadi ya watu wa China unaonyesha kuwa 97.4% ya ...

Mmarekani wa kisayansi

Jifunze zaidi

DNA Yathibitisha Uchina DIRECT Africa Kushuka

29 Jul 2023-hadithi ya uhamaji wa binadamu ni tamthilia ya ajabu

YouTube Black Journals

:

Generative Al ni ya majaribio.

Uchunguzi wa idadi ya watu wa China unaonyesha kuwa 97.4% ya maumbile yao yanatoka kwa mababu wa kisasa kutoka Afrika, na wengine wanatoka kwa fomu zilizopotea kama vile.

Neanderthals na Denisovans. 13 Julai 2016


Jinsi Uchina Inaandika Upya Kitabu cha Asili ya Binadamu - Sayansi ya Amerika
Mshana kwema,

Aisee leo ndo nimemuelewa yule mmama niliyekutana nae ughaibuni. Tulikuwa na fellowship ambayo ilitukutanisha raia kutoka nchi mbalimbali, sasa baada ya kujitambulisha mimi natoka ukanda wa ziwa Victoria TZ, yule mama alikuwa karib na mimi mno, yeye utambulisho wake alisema ni mchina lakin origin ya mabab zake ni kutoka Ziwa Victoria, amaani orign yake ni EA ukanda wa ziwa.

Alishawahi kuja na mme wake wakaishi visiwa vya ziwa Victoria kwa upande wa Kenya, walifanya kazi za kujitolewa kwa kuamini wanawasaidia ngd zao wa dam maana huko ndo origin yake,

Alitoa nafasi nikaishi kwake kama ntataka kukaa zaidi ughaibuni maana yeye na familia yake wanaishi huko, so hakutaka niingie gharama, binafsi nilishabook hotel kwa siku za zianda ambazo nilipanga kukaa so nikamwambia asante.

Muda wote wa ile program yangu yule mama wa kichina alionekana kunicare mno, skutilia maanani ule usemi wake wa orign yake hadi leo nilipofungua uzi huu.

Thanks for sharing
 
Now nimemuelewa vizuri yule mama wa kichina.

Thanks for sharing
Hili ni kweli though kuna wanaosema ni conspiracy theory ila inakuwa backed up na taarifa walizotoa wachina hivi karibuni kwamba walipopima dna za watu wao wamekuta wana vinasaba vya watu waafrika so kuna chokochoko la kutaka kurudi kwenye motherland.
 
Back
Top Bottom