Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
- Thread starter
-
- #101
Unajua yule waziri wa China alikuja na watu wangapi? Raisa wa msumbiji? Maalim Seif? Kwa hiyo mtu akiwa na Covid akimuambuliza mtu lazima afe?Narudisha swali kwako. Mada ilisema wageni waliokwenda Chato walipeleka ugonjwa na ikaorodhesha majina ya baadhi ya waliokwenda huko. Mimi nimeuliza wangapi kati ya hao waliokwenda Chato wamekufa? Wewe badala ya kujibu swali unaniuliza kama nina akili timamu. Na mimi nakurudishia swali hilo: Jee zinakutosha?
Unauliza au unapigia jibu mstari?Mbona una mawazo mgando we kijana? Mpaka usikie Mchina kafa ndio ujue aliambukiza mtu?
Uwezo wako wa kug'amua mambo ni mdogo sana.Unauliza au unapigia jibu mstari?
Hata mimi nina wasiwasi sana juu ya yule mchina, kumbuka wale wana chanjo au dawa OG kabibisa kwasababu kirusi chenyewe kilianzia kwaoMwanzoni mwa mwaka huu tumeshuhudia ugeni mkubwa ukimilinika kuelekea Chato huku tukiona hakuna tahadhali juu ya ugonjwa wa Covid 19 ikichukuliwa. Tulishudia waziri wa mambo ya nje wa China, rais wa Mozambique, rais wa Zanzibar na aliyekuwa makamu wake.
Baada ya muda sio mrefu tukasikia maalim Seif anaumwa na baadae kufariki. Baada ya muda tena aliyekuwa Chief Secretary ndugu Kijazi alifariki. Huku akiacha waziri Mpango akiwa hoi kitandani.
Tukiunga dots tutakuja kuona kuwa kuna tatizo ambalo lililetwa na ugeni uliokuja Chato ila hakuna tahadhari zilizochukuliwa. Hapa kuna jambo la kujifunza. Tuache kuwa tunachukulia kila kitu kwa mazoea.
Vp ushachanja?Nikikumbuka yule Katibu wa RC alivyofunguka kuhusu vifo vya Mapadre, daa natamani kesho tupewe tu AstraZeneca