Ujio wa wageni Chato ulituletea majanga? Wana usalama hawakuona?

Ujio wa wageni Chato ulituletea majanga? Wana usalama hawakuona?

Kati ya hao waliokwenda Chato wangapi wamekufa? Waziri wa Uchina, Museveni, Kenyatta, aliyekuwa Rais wa Zanzibar na Makamu wake, wamekufa? Au waliupeleka ugonjwa wakawaambukiza wenyeji wao wakabaki salama? Umewataja pia Maalim Sefu na Kijazi. Hivi hawa nao walikwenda Chato? Tusiunganishe mambo bila kuwa na uhakika. Yaliyopita si ndwele. Tugange yaliyopo na yajayo. Huu si wakati wa kupoteza muda kujadili mambo yasiyokuwa na tija.

Mwanzoni mwa mwaka huu tumeshuhudia ugeni mkubwa ukimilinika kuelekea Chato huku tukiona hakuna tahadhali juu ya ugonjwa wa Covid 19 ikichukuliwa. Tulishudia waziri wa mambo ya nje wa China, rais wa Mozambique, rais wa Zanzibar na aliyekuwa makamu wake.

Baada ya muda sio mrefu tukasikia maalim Seif anaumwa na baadae kufariki. Baada ya muda tena aliyekuwa Chief Secretary ndugu Kijazi alifariki. Huku akiacha waziri Mpango akiwa hoi kitandani.

Tukiunga dots tutakuja kuona kuwa kuna tatizo ambalo lililetwa na ugeni uliokuja Chato ila hakuna tahadhari zilizochukuliwa. Hapa kuna jambo la kujifunza. Tuache kuwa tunachukulia kila kitu kwa mazoea.
 
Mwanzoni mwa mwaka huu tumeshuhudia ugeni mkubwa ukimilinika kuelekea Chato huku tukiona hakuna tahadhali juu ya ugonjwa wa Covid 19 ikichukuliwa. Tulishudia waziri wa mambo ya nje wa China, rais wa Mozambique, rais wa Zanzibar na aliyekuwa makamu wake.

Baada ya muda sio mrefu tukasikia maalim Seif anaumwa na baadae kufariki. Baada ya muda tena aliyekuwa Chief Secretary ndugu Kijazi alifariki. Huku akiacha waziri Mpango akiwa hoi kitandani.

Tukiunga dots tutakuja kuona kuwa kuna tatizo ambalo lililetwa na ugeni uliokuja Chato ila hakuna tahadhari zilizochukuliwa. Hapa kuna jambo la kujifunza. Tuache kuwa tunachukulia kila kitu kwa mazoea.
Bado alikuja rais wa Ethiopia
 
@atcl safari zao sidhani kama zitadumu za kwenda chato tena
 
Huyu mzee wetu atakuwa ameuawa na mabeberu kwa sababu ya kupinga chanjo zao hadharani,

Ngoja tuone kama hatutammiss kama tulivyomiss JK
hajauwawa na mabeberu bali kwa mizaa yake mwenyewe. Lazima tu take responsbility ya makosa yetu wenyewe badala ya kuwalaum mabeberu kwa uzembe ambao sisi wenyewr tumefanya.
aliji expose sana akiwa chato huku akikemea wanaotumia barakoa.

Mwl J.K.Nyerere aliwahi kusema huwezi maliza matatatizo kwa kuyafumbia macho.

Viongoz wetu walifumbia macho tatizo kwa kuhisi litapotea lenyewe. wamepotea wao.
 
Umekuja na mada ya hisia mfu, kisha unatoa marking scheme ya kusafishia huo utoto wako. Ngiri mkubwa.
Ndio maana nakuambia uwezo wako wa kufikiri na kug'amua mambo ni mdogo sana.
 
Mwanzoni mwa mwaka huu tumeshuhudia ugeni mkubwa ukimilinika kuelekea Chato huku tukiona hakuna tahadhali juu ya ugonjwa wa Covid 19 ikichukuliwa. Tulishudia waziri wa mambo ya nje wa China, rais wa Mozambique, rais wa Zanzibar na aliyekuwa makamu wake.

Baada ya muda sio mrefu tukasikia maalim Seif anaumwa na baadae kufariki. Baada ya muda tena aliyekuwa Chief Secretary ndugu Kijazi alifariki. Huku akiacha waziri Mpango akiwa hoi kitandani.

Tukiunga dots tutakuja kuona kuwa kuna tatizo ambalo lililetwa na ugeni uliokuja Chato ila hakuna tahadhari zilizochukuliwa. Hapa kuna jambo la kujifunza. Tuache kuwa tunachukulia kila kitu kwa mazoea.
pumbaf kabisa mnaaanza kusaka wachawi. Msivo na akili....

Rais si kafa kwa Heart fibrillation jamani ?au!!! mbona mnajichanganya hamkusoma shule nini??? Sasa mnaanza kuwazodoa wageni wa watu na wao huko wamekufa kwani?
 
Mwanzoni mwa mwaka huu tumeshuhudia ugeni mkubwa ukimilinika kuelekea Chato huku tukiona hakuna tahadhali juu ya ugonjwa wa Covid 19 ikichukuliwa. Tulishudia waziri wa mambo ya nje wa China, rais wa Mozambique, rais wa Zanzibar na aliyekuwa makamu wake.

Baada ya muda sio mrefu tukasikia maalim Seif anaumwa na baadae kufariki. Baada ya muda tena aliyekuwa Chief Secretary ndugu Kijazi alifariki. Huku akiacha waziri Mpango akiwa hoi kitandani.

Tukiunga dots tutakuja kuona kuwa kuna tatizo ambalo lililetwa na ugeni uliokuja Chato ila hakuna tahadhari zilizochukuliwa. Hapa kuna jambo la kujifunza. Tuache kuwa tunachukulia kila kitu kwa mazoea.
Mbona uwanja wa ndege, mbuga ya wanyama na mengine mengi ambayo hamkustahili hamlalamikii? Ukilipenda boga penda na ua lake.
 
Back
Top Bottom