Ujio wa wageni Chato ulituletea majanga? Wana usalama hawakuona?

Ujio wa wageni Chato ulituletea majanga? Wana usalama hawakuona?

Foe national interest inakuwa justified,,tukio halikutarajiwa na haijawahi kutokea kiongozi wa nchi kufia madarakani
What kind of national interest? If at all he was a leader of people, elected by people? Mbona Mkapa na Kikwete tuliambiwa wanaumwa na tukaingioa kwenye maombi?
 
Mwanzoni mwa mwaka huu tumeshuhudia ugeni mkubwa ukimilinika kuelekea Chato huku tukiona hakuna tahadhali juu ya ugonjwa wa Covid 19 ikichukuliwa. Tulishudia waziri wa mambo ya nje wa China, rais wa Mozambique, rais wa Zanzibar na aliyekuwa makamu wake.

Baada ya muda sio mrefu tukasikia maalim Seif anaumwa na baadae kufariki. Baada ya muda tena aliyekuwa Chief Secretary ndugu Kijazi alifariki. Huku akiacha waziri Mpango akiwa hoi kitandani.

Tukiunga dots tutakuja kuona kuwa kuna tatizo ambalo lililetwa na ugeni uliokuja Chato ila hakuna tahadhari zilizochukuliwa. Hapa kuna jambo la kujifunza. Tuache kuwa tunachukulia kila kitu kwa mazoea.
Daah kweli ule ugeni umeleta shida
 
Kusikia kwa kenge ni mpaka damu imtoke masikioni. Tatizo alitaka wote tuwe careless kama yeye. Alichukia watu waliochukuwa tahadhali kwa kuvaa barakoa... "Ni kosa la marehemu, hakutumia condom" - wimbo maarufu.
Aisee!
 
Mwanzoni mwa mwaka huu tumeshuhudia ugeni mkubwa ukimilinika kuelekea Chato huku tukiona hakuna tahadhali juu ya ugonjwa wa Covid 19 ikichukuliwa. Tulishudia waziri wa mambo ya nje wa China, rais wa Mozambique, rais wa Zanzibar na aliyekuwa makamu wake.

Baada ya muda sio mrefu tukasikia maalim Seif anaumwa na baadae kufariki. Baada ya muda tena aliyekuwa Chief Secretary ndugu Kijazi alifariki. Huku akiacha waziri Mpango akiwa hoi kitandani.

Tukiunga dots tutakuja kuona kuwa kuna tatizo ambalo lililetwa na ugeni uliokuja Chato ila hakuna tahadhari zilizochukuliwa. Hapa kuna jambo la kujifunza. Tuache kuwa tunachukulia kila kitu kwa mazoea.
Sahihi kabisa naamini mazoea yanaweza kukuondoa duniani kizembe tu
 
Mwanzoni mwa mwaka huu tumeshuhudia ugeni mkubwa ukimilinika kuelekea Chato huku tukiona hakuna tahadhali juu ya ugonjwa wa Covid 19 ikichukuliwa. Tulishudia waziri wa mambo ya nje wa China, rais wa Mozambique, rais wa Zanzibar na aliyekuwa makamu wake.

Baada ya muda sio mrefu tukasikia maalim Seif anaumwa na baadae kufariki. Baada ya muda tena aliyekuwa Chief Secretary ndugu Kijazi alifariki. Huku akiacha waziri Mpango akiwa hoi kitandani.

Tukiunga dots tutakuja kuona kuwa kuna tatizo ambalo lililetwa na ugeni uliokuja Chato ila hakuna tahadhari zilizochukuliwa. Hapa kuna jambo la kujifunza. Tuache kuwa tunachukulia kila kitu kwa mazoea.
Kati ya hao waliokwenda Chato wangapi wamekufa? Waziri wa Uchina, Museveni, Kenyatta, aliyekuwa Rais wa Zanzibar na Makamu wake, wamekufa? Au waliupeleka ugonjwa wakawaambukiza wenyeji wao wakabaki salama? Umewataja pia Maalim Sefu na Kijazi. Hivi hawa nao walikwenda Chato? Tusiunganishe mambo bila kuwa na uhakika. Yaliyopita si ndwele. Tugange yaliyopo na yajayo. Huu si wakati wa kupoteza muda kujadili mambo yasiyokuwa na tija.
 
Kati ya hao waliokwenda Chato wangapi wamekufa? Waziri wa Uchina, Museveni, Kenyatta, aliyekuwa Rais wa Zanzibar na Makamu wake, wamekufa? Au waliupeleka ugonjwa wakawaambukiza wenyeji wao wakabaki salama? Umewataja pia Maalim Sefu na Kijazi. Hivi hawa nao walikwenda Chato? Tusiunganishe mambo bila kuwa na uhakika. Yaliyopita si ndwele. Tugange yaliyopo na yajayo. Huu si wakati wa kupoteza muda kujadili mambo yasiyokuwa na tija.
Una akili timamu?
 
Una akili timamu?
Narudisha swali kwako. Mada ilisema wageni waliokwenda Chato walipeleka ugonjwa na ikaorodhesha majina ya baadhi ya waliokwenda huko. Mimi nimeuliza wangapi kati ya hao waliokwenda Chato wamekufa? Wewe badala ya kujibu swali unaniuliza kama nina akili timamu. Na mimi nakurudishia swali hilo: Jee zinakutosha?
 
Mwanzoni mwa mwaka huu tumeshuhudia ugeni mkubwa ukimilinika kuelekea Chato huku tukiona hakuna tahadhali juu ya ugonjwa wa Covid 19 ikichukuliwa. Tulishudia waziri wa mambo ya nje wa China, rais wa Mozambique, rais wa Zanzibar na aliyekuwa makamu wake.

Baada ya muda sio mrefu tukasikia maalim Seif anaumwa na baadae kufariki. Baada ya muda tena aliyekuwa Chief Secretary ndugu Kijazi alifariki. Huku akiacha waziri Mpango akiwa hoi kitandani.

Tukiunga dots tutakuja kuona kuwa kuna tatizo ambalo lililetwa na ugeni uliokuja Chato ila hakuna tahadhari zilizochukuliwa. Hapa kuna jambo la kujifunza. Tuache kuwa tunachukulia kila kitu kwa mazoea.
Poleni kwa msiba watanzania wenzangunna wazalendo wote wa nchi yetu.

Tusichukue nagasi kutoa lawama. Maji yamesja mwagika hatuwezi kuyazoa ila kilichobakia ninkumwombea kwa Mungu ailaze roho ya Rais wetu kipenzi peponi, Amen!

Na kikubwa ni kumwombea Makamu wetu wa Rais Mama Samia Suluhu Hassan awe na ujasiri ule ule wa jemedari wetu wa kutekeleza miradi aliyo ianzisha ili tuweze kuvuka na kuingia kwenye uchimi wa kwanza.

Mama Samia watanzania tunakutegemea. Usituangushe Mama!
 
Mwanzoni mwa mwaka huu tumeshuhudia ugeni mkubwa ukimilinika kuelekea Chato huku tukiona hakuna tahadhali juu ya ugonjwa wa Covid 19 ikichukuliwa. Tulishudia waziri wa mambo ya nje wa China, rais wa Mozambique, rais wa Zanzibar na aliyekuwa makamu wake.

Baada ya muda sio mrefu tukasikia maalim Seif anaumwa na baadae kufariki. Baada ya muda tena aliyekuwa Chief Secretary ndugu Kijazi alifariki. Huku akiacha waziri Mpango akiwa hoi kitandani.

Tukiunga dots tutakuja kuona kuwa kuna tatizo ambalo lililetwa na ugeni uliokuja Chato ila hakuna tahadhari zilizochukuliwa. Hapa kuna jambo la kujifunza. Tuache kuwa tunachukulia kila kitu kwa mazoea.
Wewe hitakii mema nchi yetu wewe. Unaleta taharuki bila sababu? Tangu lini mafua yakawa ishio kwa MAGUFULI? Acha kutumika na kina armstadam wewe.
Hahahahha
 
Kama atazikwa baada ( ndani ) ya Siku 14 kukiwa na Uratibu mzuri na wa Kiushirikiano wa Jeshi na Watu wa Usalama hakutokuwa na tatizo lolote lile la Kiusalama na Tukio lote litakamilika vyema na Kimedani kabisa.

Nasi Raia tuendelee kutoa Mawazo yote ili Kuwasaidia Wahusika kwani hata Sisi Msiba unatuhusu hata kama baadhi yetu tuna Visununu vyetu Moyoni dhidi ya Marehemu ( Hayati )
 
Cha msingi msiba usiwe sababu ya mambo mazuri kuharibika au kupotea na kutotokea,wakati mwingine binadamu anafariki kwa wakati sahihi kabisa ili kuongeza jambo zuri au kupunguza jambo baya na litakalo tokea nje ya mambo hayo mawili ni nadharia njama tu kama nadharia nyingine...
 
Back
Top Bottom