Ujio wa Yesu mara 2

Ujio wa Yesu mara 2

Masalu Jacob

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2017
Posts
1,013
Reaction score
1,183
1. Yesu alijulikana kuzaliwa kwake itakuwa wapi, atakavyofanyakazi zake na kuondoka hapa duniani itakuwaje kwake kupitia maandiko (Biblia).

2. Hata ujio wake wa mara ya pili, utakuwa ni ule ule kupitia maandiko. Maandiko yameandika namna atakavyokuja itakuwaje na uzuri kila mmoja atamuona.

3. Changamoto itakayowapata watu wengi ni namna ya kuamini maandiko; maana wapo wanaoamini kutokana na mawazo yao binafsi na sio maandiko.

Hitimisho
Watakaomuona Yesu, watamuona kupitia maandiko na sio kinyume chake. Usidanganyike changamka chap kwa haraka.
 
Uzuri hata zamani (kale) watu wengi waliupinga ukweli kwa kuhisi wanajua maandiko ila muda ulivyofika imekuwa halisi ulimwenguni kote.

Hata Yesu walishamuita watu muongo na mzushi. Hii dunia haipendi ukweli ila muda upo na kila mmoja atasikia ukweli wa ujio wake wa mara ya 2 iwe unataka au hautaki.
 
Uzuri mada hapa jukwaani zipo nyingi sana. Kila mtu anavutiwa na mada inayogusa moyo wake. Usijipe umuhimu na ikiwa kuna jambo (mada) fulani hupendezwi nayo waweza ipuuza tu hutapungukiwa na kitu rafiki.
 
1. Yesu alijulikana kuzaliwa kwake itakuwa wapi, atakavyofanyakazi zake na kuondoka hapa duniani itakuwaje kwake kupitia maandiko (Biblia).

2. Hata ujio wake wa mara ya pili, utakuwa ni ule ule kupitia maandiko. Maandiko yameandika namna atakavyokuja itakuwaje na uzuri kila mmoja atamuona.

3. Changamoto itakayowapata watu wengi ni namna ya kuamini maandiko; maana wapo wanaoamini kutokana na mawazo yao binafsi na sio maandiko.

Hitimisho
Watakaomuona Yesu, watamuona kupitia maandiko na sio kinyume chake. Usidanganyike changamka chap kwa haraka.
Mimi naomba unijuze , mamajusi walipoenda kumuona wakati anazaliwa walikwenda zawadi, dhahabu , ubani na manemane ambayo ni dawa yakienyeji walinda kuzifanyia nini? Zilitumikaje hizo zawadi? Msiojua manemane ni dawa za kienyeji maarufu sana uarabuni na zinaletwa sana kwenye maduka ya dawa za kiarabu zipo .
 
Mimi naomba unijuze , mamajusi walipoenda kumuona wakati anazaliwa walikwenda zawadi, dhahabu , ubani na manemane ambayo ni dawa yakienyeji walinda kuzifanyia nini? Zilitumikaje hizo zawadi? Msiojua manemane ni dawa za kienyeji maarufu sana uarabuni na zinaletwa sana kwenye maduka ya dawa za kiarabu zipo .
Hujui matumizi ya zawadi rafiki? Ulitaka maandiko yaseme ubani ulitumiki hivi; na manemane ilitumika hivyo; na dhahabu vile? Lengo la maandiko ni kutuongoza kiroho kumjua Mungu wa kweli na sio matumizi ya zawadi!
 
Uzuri hata zamani (kale) watu wengi waliupinga ukweli kwa kuhisi wanajua maandiko ila muda ulivyofika imekuwa halisi ulimwenguni kote.

Hata Yesu walishamuita watu muongo na mzushi. Hii dunia haipendi ukweli ila muda upo na kila mmoja atasikia ukweli wa ujio wake wa mara ya 2 iwe unataka au hautaki.
Thibitisha kuwa ni kweli.
 
1. Yesu alijulikana kuzaliwa kwake itakuwa wapi, atakavyofanyakazi zake na kuondoka hapa duniani itakuwaje kwake kupitia maandiko (Biblia).

2. Hata ujio wake wa mara ya pili, utakuwa ni ule ule kupitia maandiko. Maandiko yameandika namna atakavyokuja itakuwaje na uzuri kila mmoja atamuona.

3. Changamoto itakayowapata watu wengi ni namna ya kuamini maandiko; maana wapo wanaoamini kutokana na mawazo yao binafsi na sio maandiko.

Hitimisho
Watakaomuona Yesu, watamuona kupitia maandiko na sio kinyume chake. Usidanganyike changamka chap kwa haraka.
Kurudi kwa Yesu kuna hatua (phase) mbili. Phase ya kwanza atarudi kwa siri kuwachukuwa watu wake waliomwamini kwa kumaanisha. Hiyo inaitwa Kunyakuliwa kwa kanisa! Kisha dunia itatawaliwa na Ibilisi kwa miaka 7 na wanadamu hakuna rangi wataacha kuona. Baada ya miaka 7 Yesu atarudi akiwa na mamilioni ya watu wake na Malaika. Hapo kila aliye hai duniani atamwona maana atakuja kwa utukufu mwingi sana. Kimsingi mngao wake utakuwa zaidi ya jua hivyo jua litazimwa kwanza na Yesu na watu wake ndio watakaoangaza dunia. Heri ni yule aliye na sehemu katika ufufuo wa kwanza maana mauti ya pili haitakuwa na nguvu kwake. (Biblia imeeleza mambo hayo yote).
 
Yesu anakuja mara 3
Io ya mara ya pili sio kila jicho litamuona.
Wawili watakuwa shmbani,chumban,wengine wakisaga mmoja mmoja atatwaliwa mwingine ataachwa.
Hio si kila mtu atamuona
Ni waliokombolewa tuu.
Wataenda kumlaki hewani
Na wengi hawatakuwa wanajua kinachoendelea
Makanisa yataendelea kucheza rege na singeli,wakihubiri mafanikio na pesa na kucheza segere.
Na kama ilivyokuwa kwa mariam alipodhani yupo na yesu kumbe hakuwa nae.
Baada ya unyakuo mkuu,biblia inasema injili itarudi kwa israel na watu 144000 wataiamini watalia na kuomboleza kwa kumuua masihi
Wakati huo huku kwetu mataifa ni ushetani unaendelea makanisani,kama tulipofikia sasa.

Kama ilivyokuwa kipindi cha nuhu na sodoma na gomora ndivyo itakavyokuwa wakati wakuja kwake.
Ilikuwaje,ibrahim aliwekwa mbali na sodoma aliepushiwa,
Na enock alitwaliwa hewani kabla ya gharika.
Nuhu akawa mwanamwali mpumbavu,akaingia kwenye dhiki kuu ya gharika.
Na bibi arusi atatwaliwa kisha kanisa litaingia kwenye dhiki kuu ya vita ya dunia.

Ila mara ya tatu ajapo kwajin ala daudi,ni kwa ajil ya hukumu.
Hapo ndipo kila jicho litamuona
 
Zingepelekwa huko majukwa ya dini wajadili kondoo wenyewe tu🤔
Kabisa mkuu, hizi threads za dini nimefuatilia sana, nimeona Kuna uchochezi fulani pamoja na chuki ndani yake. ( wapewe access maada za dini wale verified, ila hawa wenye IDS fake zaidi ya tatu hapa Jf haifai...)
 
Back
Top Bottom