The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Mkuu kama hujaridhika hapo achana napo usipoteze muda wako japo ni kweli Mamlaka inatakiwa kuingilia kati issue za mishahara kwa taasisi binafsi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha tu. Ndo ile muhudumu anabisha sijapasua chupa na ww unang'ang'ana umepasua wakati unafungua.😆😂wakisinzia kidogo chupa zinapita kutiwa soda.
Jiongeze angalia furusa nyingine.Hakuna mkataba ukiitaji unafanya siku wiki 1 alafu unaacha hamna tatizo kila siku watu wapya wanaingia maana wanaocha ni wengi.
Nani alimpigia kura Tulia?Kiwanda kikubwa cha uzalishaji soda za Pepsi, Seven Up, Mirinda, Mountain Dew n.k ambacho ni cha kanda ya kusini nyanda za juu SBC Mbeya Plant (Pepsi) kinaudumia takribani mikoa 3 au 4 yani Ruvuma, Iringa, Njombe na Mbeya yenyewe.
Vibarua wa kutwa wanalipwa 4,600/ kwa masaa 12 ya kazi wanaingia saa 07:00 asubuhi na kutoka saa 06:30 jioni.
Majukumu ya vibarua hawa muhimu,
1. Wanakagua na kuchambua chupa iliyotoka sokoni kama inafaa tena kutumika yani kwa walaji kabla ya kuoshwa kwenye mashine.
2. Wanazikagua na kuchambua chupa baada ya kuoshwa kwenye mashine kama zinafaa kutiwa soda tayari kwenda kwa walaji.
3. Wanakagua kila soda inayozalishwa kama ina muhuli wa TRA.
4. Wanakagua na kuchambua soda ambazo zipo tayari zinaoenda sokoni kama ni safi na salama hazina hitilafu kama vile ujazo,uchafu n.k
5. Kupanda kreti za soda kwenye pareti kwa ajili ya kuifadhiwa store.
Hayo ni majukumu muhimu zaidi kwa hawa wanaitwa vibarua wa "Production" bila uwepo wao kazi haziendi ni muhimu sana lakini maslahi yao ni madogo kwa mda wanaofanya kazi.
Wito kwa Mbunge wa jimbo la Mbeya tembelea Kiwandani ujionee wapiga kura wako kwa macho jinsi watu wanavyofanya kazi huku wakilalama si vibarua, si waajiriwa ni ujira wa chini sana hauridhishi, haukidhi kabisa tofauti kabisa viwanda vya jirani kama Cocacola na TBL.
4,600 ukiichambua inatumika hivi 2,000/ kula mchana na jioni,1,000 nauli kwenda na kurudi.
Balance Tsh.1,600/=
Katika organisation structure ya taasisi yoyote ila hakuna mtu muhimu kuzidi mwingine. Kama hao vibarua ni muhimu, je watu wa marketing au wale wachanganya chemicals (Food Engineers) utasemaje?Hayo ni majukumu muhimu zaidi kwa hawa wanaitwa vibarua wa "Production" bila uwepo wao kazi haziendi ni muhimu sana lakini maslahi yao ni madogo kwa mda wanaofanya kazi.
Nani alimpigia kura Tulia?
Jaman nipeni connection za eneo hilo hata kama ni 1000 per dayKiwanda kikubwa cha uzalishaji soda za Pepsi, Seven Up, Mirinda, Mountain Dew n.k ambacho ni cha kanda ya kusini nyanda za juu SBC Mbeya Plant (Pepsi) kinaudumia takribani mikoa 3 au 4 yani Ruvuma, Iringa, Njombe na Mbeya yenyewe.
Vibarua wa kutwa wanalipwa 4,600/ kwa masaa 12 ya kazi wanaingia saa 07:00 asubuhi na kutoka saa 06:30 jioni.
Majukumu ya vibarua hawa muhimu,
1. Wanakagua na kuchambua chupa iliyotoka sokoni kama inafaa tena kutumika yani kwa walaji kabla ya kuoshwa kwenye mashine.
2. Wanazikagua na kuchambua chupa baada ya kuoshwa kwenye mashine kama zinafaa kutiwa soda tayari kwenda kwa walaji.
3. Wanakagua kila soda inayozalishwa kama ina muhuli wa TRA.
4. Wanakagua na kuchambua soda ambazo zipo tayari zinaoenda sokoni kama ni safi na salama hazina hitilafu kama vile ujazo,uchafu n.k
5. Kupanda kreti za soda kwenye pareti kwa ajili ya kuifadhiwa store.
Hayo ni majukumu muhimu zaidi kwa hawa wanaitwa vibarua wa "Production" bila uwepo wao kazi haziendi ni muhimu sana lakini maslahi yao ni madogo kwa mda wanaofanya kazi.
Wito kwa Mbunge wa jimbo la Mbeya tembelea Kiwandani ujionee wapiga kura wako kwa macho jinsi watu wanavyofanya kazi huku wakilalama si vibarua, si waajiriwa ni ujira wa chini sana hauridhishi, haukidhi kabisa tofauti kabisa viwanda vya jirani kama Cocacola na TBL.
4,600 ukiichambua inatumika hivi 2,000/ kula mchana na jioni,1,000 nauli kwenda na kurudi.
Balance Tsh.1,600/=
Mkuu nisaidie connection huko?wewe jamaa acha uongo, cocacola kuna vibarua?
Issue ngumu mkuuuduu?
Halafu mnamshangaa MO kumlipa manara 700,000/= kwa miaka yote hio bila mkataba! Hao ndio Ghabacholi Inc.Kiwanda kikubwa cha uzalishaji soda za Pepsi, Seven Up, Mirinda, Mountain Dew n.k ambacho ni cha kanda ya kusini nyanda za juu SBC Mbeya Plant (Pepsi) kinaudumia takribani mikoa 3 au 4 yani Ruvuma, Iringa, Njombe na Mbeya yenyewe.
Vibarua wa kutwa wanalipwa 4,600/ kwa masaa 12 ya kazi wanaingia saa 07:00 asubuhi na kutoka saa 06:30 jioni.
Majukumu ya vibarua hawa muhimu,
1. Wanakagua na kuchambua chupa iliyotoka sokoni kama inafaa tena kutumika yani kwa walaji kabla ya kuoshwa kwenye mashine.
2. Wanazikagua na kuchambua chupa baada ya kuoshwa kwenye mashine kama zinafaa kutiwa soda tayari kwenda kwa walaji.
3. Wanakagua kila soda inayozalishwa kama ina muhuli wa TRA.
4. Wanakagua na kuchambua soda ambazo zipo tayari zinaoenda sokoni kama ni safi na salama hazina hitilafu kama vile ujazo,uchafu n.k
5. Kupanda kreti za soda kwenye pareti kwa ajili ya kuifadhiwa store.
Hayo ni majukumu muhimu zaidi kwa hawa wanaitwa vibarua wa "Production" bila uwepo wao kazi haziendi ni muhimu sana lakini maslahi yao ni madogo kwa mda wanaofanya kazi.
Wito kwa Mbunge wa jimbo la Mbeya tembelea Kiwandani ujionee wapiga kura wako kwa macho jinsi watu wanavyofanya kazi huku wakilalama si vibarua, si waajiriwa ni ujira wa chini sana hauridhishi, haukidhi kabisa tofauti kabisa viwanda vya jirani kama Cocacola na TBL.
4,600 ukiichambua inatumika hivi 2,000/ kula mchana na jioni,1,000 nauli kwenda na kurudi.
Balance Tsh.1,600/=
I feel u brother, coz am in the same boatJaman nipeni connection za eneo hilo hata kama ni 1000 per day