Ujira mdogo wa Tsh 4,600/ kutwa kwa vibarua muhimu kiwanda cha PEPSI Mbeya plant. Dkt. Tulia nakuomba tembelea Kiwandani kuna wapiga kura wako

Ujira mdogo wa Tsh 4,600/ kutwa kwa vibarua muhimu kiwanda cha PEPSI Mbeya plant. Dkt. Tulia nakuomba tembelea Kiwandani kuna wapiga kura wako

Hata hapa dar kuna watu viwandani wanalamba buku 6 kwa kutwa kwa kazi za viwandani, hamna kupumzika hapo. Unakuta wewe una usingizi but mashine inazunguka tu.
Hahahah naskia kwa Mo hapo
 
Katika viwanda vinavyolipa vizuri wafanyakazi wake mbeya ni Cocacola kwanza. Hao wengine ni wezi na matapeli tu hasahasa hao pepsi ni wanyonyaji sana hao wahindi hawafai
Coca Cola kwanza ni kile cha Mikocheni?
 
Mpaka leo bado wanakagua chupa kwa macho ya binadamu? PEPSI wekezeni kwenye mashine zina ufanisi.
Mteja alikuja dukani kununua soda ya hiyo kampuni. Dada akaifungua, yule mteja na dada wakagundua kwenye chupa kuna condom
 
Kiwanda kikubwa cha uzalishaji soda za Pepsi, Seven Up, Mirinda, Mountain Dew n.k ambacho ni cha kanda ya kusini nyanda za juu SBC Mbeya Plant (Pepsi) kinaudumia takribani mikoa 3 au 4 yani Ruvuma, Iringa, Njombe na Mbeya yenyewe.

Vibarua wa kutwa wanalipwa 4,600/ kwa masaa 12 ya kazi wanaingia saa 07:00 asubuhi na kutoka saa 06:30 jioni.

Majukumu ya vibarua hawa muhimu,

1. Wanakagua na kuchambua chupa iliyotoka sokoni kama inafaa tena kutumika yani kwa walaji kabla ya kuoshwa kwenye mashine.

2. Wanazikagua na kuchambua chupa baada ya kuoshwa kwenye mashine kama zinafaa kutiwa soda tayari kwenda kwa walaji.

3. Wanakagua kila soda inayozalishwa kama ina muhuli wa TRA.

4. Wanakagua na kuchambua soda ambazo zipo tayari zinaoenda sokoni kama ni safi na salama hazina hitilafu kama vile ujazo,uchafu n.k

5. Kupanda kreti za soda kwenye pareti kwa ajili ya kuifadhiwa store.

Hayo ni majukumu muhimu zaidi kwa hawa wanaitwa vibarua wa "Production" bila uwepo wao kazi haziendi ni muhimu sana lakini maslahi yao ni madogo kwa mda wanaofanya kazi.

Wito kwa Mbunge wa jimbo la Mbeya tembelea Kiwandani ujionee wapiga kura wako kwa macho jinsi watu wanavyofanya kazi huku wakilalama si vibarua, si waajiriwa ni ujira wa chini sana hauridhishi, haukidhi kabisa tofauti kabisa viwanda vya jirani kama Cocacola na TBL.

4,600 ukiichambua inatumika hivi 2,000/ kula mchana na jioni,1,000 nauli kwenda na kurudi.
Balance Tsh.1,600/=
Ndio kawaida ya viwandani hasa vya wahindi,wachina na waafrica.

Kiwanda bora cha mzungu,wahindi wanalipa 3,000
 
Kiwanda kikubwa cha uzalishaji soda za Pepsi, Seven Up, Mirinda, Mountain Dew n.k ambacho ni cha kanda ya kusini nyanda za juu SBC Mbeya Plant (Pepsi) kinaudumia takribani mikoa 3 au 4 yani Ruvuma, Iringa, Njombe na Mbeya yenyewe.

Vibarua wa kutwa wanalipwa 4,600/ kwa masaa 12 ya kazi wanaingia saa 07:00 asubuhi na kutoka saa 06:30 jioni.

Majukumu ya vibarua hawa muhimu,

1. Wanakagua na kuchambua chupa iliyotoka sokoni kama inafaa tena kutumika yani kwa walaji kabla ya kuoshwa kwenye mashine.

2. Wanazikagua na kuchambua chupa baada ya kuoshwa kwenye mashine kama zinafaa kutiwa soda tayari kwenda kwa walaji.

3. Wanakagua kila soda inayozalishwa kama ina muhuli wa TRA.

4. Wanakagua na kuchambua soda ambazo zipo tayari zinaoenda sokoni kama ni safi na salama hazina hitilafu kama vile ujazo,uchafu n.k

5. Kupanda kreti za soda kwenye pareti kwa ajili ya kuifadhiwa store.

Hayo ni majukumu muhimu zaidi kwa hawa wanaitwa vibarua wa "Production" bila uwepo wao kazi haziendi ni muhimu sana lakini maslahi yao ni madogo kwa mda wanaofanya kazi.

Wito kwa Mbunge wa jimbo la Mbeya tembelea Kiwandani ujionee wapiga kura wako kwa macho jinsi watu wanavyofanya kazi huku wakilalama si vibarua, si waajiriwa ni ujira wa chini sana hauridhishi, haukidhi kabisa tofauti kabisa viwanda vya jirani kama Cocacola na TBL.

4,600 ukiichambua inatumika hivi 2,000/ kula mchana na jioni,1,000 nauli kwenda na kurudi.
Balance Tsh.1,600/=
Ajira milioni 43 ndiyo hizo
 
Kiwanda kikubwa cha uzalishaji soda za Pepsi, Seven Up, Mirinda, Mountain Dew n.k ambacho ni cha kanda ya kusini nyanda za juu SBC Mbeya Plant (Pepsi) kinaudumia takribani mikoa 3 au 4 yani Ruvuma, Iringa, Njombe na Mbeya yenyewe.

Vibarua wa kutwa wanalipwa 4,600/ kwa masaa 12 ya kazi wanaingia saa 07:00 asubuhi na kutoka saa 06:30 jioni.

Majukumu ya vibarua hawa muhimu,

1. Wanakagua na kuchambua chupa iliyotoka sokoni kama inafaa tena kutumika yani kwa walaji kabla ya kuoshwa kwenye mashine.

2. Wanazikagua na kuchambua chupa baada ya kuoshwa kwenye mashine kama zinafaa kutiwa soda tayari kwenda kwa walaji.

3. Wanakagua kila soda inayozalishwa kama ina muhuli wa TRA.

4. Wanakagua na kuchambua soda ambazo zipo tayari zinaoenda sokoni kama ni safi na salama hazina hitilafu kama vile ujazo,uchafu n.k

5. Kupanda kreti za soda kwenye pareti kwa ajili ya kuifadhiwa store.

Hayo ni majukumu muhimu zaidi kwa hawa wanaitwa vibarua wa "Production" bila uwepo wao kazi haziendi ni muhimu sana lakini maslahi yao ni madogo kwa mda wanaofanya kazi.

Wito kwa Mbunge wa jimbo la Mbeya tembelea Kiwandani ujionee wapiga kura wako kwa macho jinsi watu wanavyofanya kazi huku wakilalama si vibarua, si waajiriwa ni ujira wa chini sana hauridhishi, haukidhi kabisa tofauti kabisa viwanda vya jirani kama Cocacola na TBL.

4,600 ukiichambua inatumika hivi 2,000/ kula mchana na jioni,1,000 nauli kwenda na kurudi.
Balance Tsh.1,600/=
its just 2 dollars per day 12hrs daadekiii kwiyoooo
 
Serikali imefunga macho na hawa watu wanatumia mlango wa vibarua ili wasiwalipe kima cha chini cha mshahara na benefits kama mafao NSSF, overtime na likizo. Serikali imelala tu yaani mtu anatengeneza soda na yule mtengeneza soda mwenyewe anamuita kibarua... What the hell...
 
Serikali kupitia wizara husika sasa wanafanya kazi gani?

Waziri, naibu waziri, katibu wa wizara, naibu katibu huko ofisini hufanya nini?
Kwanini kila kitu cha hovyo ni Tanzania tu.
 
Kiwanda kikubwa cha uzalishaji soda za Pepsi, Seven Up, Mirinda, Mountain Dew n.k ambacho ni cha kanda ya kusini nyanda za juu SBC Mbeya Plant (Pepsi) kinaudumia takribani mikoa 3 au 4 yani Ruvuma, Iringa, Njombe na Mbeya yenyewe.

Vibarua wa kutwa wanalipwa 4,600/ kwa masaa 12 ya kazi wanaingia saa 07:00 asubuhi na kutoka saa 06:30 jioni.

Majukumu ya vibarua hawa muhimu,

1. Wanakagua na kuchambua chupa iliyotoka sokoni kama inafaa tena kutumika yani kwa walaji kabla ya kuoshwa kwenye mashine.

2. Wanazikagua na kuchambua chupa baada ya kuoshwa kwenye mashine kama zinafaa kutiwa soda tayari kwenda kwa walaji.

3. Wanakagua kila soda inayozalishwa kama ina muhuli wa TRA.

4. Wanakagua na kuchambua soda ambazo zipo tayari zinaoenda sokoni kama ni safi na salama hazina hitilafu kama vile ujazo,uchafu n.k

5. Kupanda kreti za soda kwenye pareti kwa ajili ya kuifadhiwa store.

Hayo ni majukumu muhimu zaidi kwa hawa wanaitwa vibarua wa "Production" bila uwepo wao kazi haziendi ni muhimu sana lakini maslahi yao ni madogo kwa mda wanaofanya kazi.

Wito kwa Mbunge wa jimbo la Mbeya tembelea Kiwandani ujionee wapiga kura wako kwa macho jinsi watu wanavyofanya kazi huku wakilalama si vibarua, si waajiriwa ni ujira wa chini sana hauridhishi, haukidhi kabisa tofauti kabisa viwanda vya jirani kama Cocacola na TBL.

4,600 ukiichambua inatumika hivi 2,000/ kula mchana na jioni,1,000 nauli kwenda na kurudi.
Balance Tsh.1,600/=
wairi wa ajira na vijana yuko usingizini viwanda viote nchii wanakandamiza watu serikali inacho jali ni kodi tu ukichunguza vizuli viwandani bado kuna utumwa tatio ss wabunge tunao wachagua ni mazezete hawana uwezo kabisa wa kutetea watu
 
Kabla ya kuanza kazi kuna mkataba kama ulisaini mkataba fanya kazi za watu.wewe unafikiri kwanini wanasema kazi za watu.@mitano tena.
mita 5 tena [emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30]
 
Back
Top Bottom