Ila wabongo sijui Kuna shida gani. Sasa mkuu matusi ya Nini, kwani ungemjibu Kwa hoja ungepungukiwa Nini mkuu.mleta mada huna akili.
Na yeye hakukuwa na sababu ya kumtukana Barbra angeuliza aelekezwe.Ila wabongo sijui Kuna shida gani. Sasa mkuu matusi ya Nini, kwani ungemjibu Kwa hoja ungepungukiwa Nini mkuu.
Kuna shida sana waTz kuliko tunavyoaminishwa. Hukuwa na sababu hata Moja kumtukana mtoa mada. Ungesema tu si kweli Kwa sababu Moja mbili tatu. Huo ndio uungwana mkuu. Na mtoa mada kutofautiana mawazo na wewe hakumfanyi kuwa Hana akili
basi tusiseme hana akili ila tuseme ni mjingaIla wabongo sijui Kuna shida gani. Sasa mkuu matusi ya Nini, kwani ungemjibu Kwa hoja ungepungukiwa Nini mkuu.
Kuna shida sana waTz kuliko tunavyoaminishwa. Hukuwa na sababu hata Moja kumtukana mtoa mada. Ungesema tu si kweli Kwa sababu Moja mbili tatu. Huo ndio uungwana mkuu. Na mtoa mada kutofautiana mawazo na wewe hakumfanyi kuwa Hana akili
Yanga kahusikaje hapa?katika mashabaki wa yanga ukimtoa baba yangu (Mzee sunday manara ) na kikwete waliobak wote hawana akili
mwisho wa kunukuu
Ac milan
Barecelona
Dortmund
Olimpic lyon
Ajax
hizo zote n team za wanawake lakin kits zao n tofaut na na za wanaumeView attachment 2337846
ndo walalamikaji wakuu kwenye soka la TZVodacom wanakaribia kuwa wadhamini. Ndio maana nafasi ipo wazi.
Mweh huyo mchezaji jezi no 18 wa Man UTD queens ata nikipewa Bure sintokubali ....😀😀 Utazaji jambawaziDuniani kote timu zote jezi za timu kuanzia ya wakubwa ya wanawake za vijana hufanana kuanzia dizaini nembo ya mdhamini na mengine.
Ili huyu dada kwa ujuaji wake anataka simba queens wavae tofauti na timu ya wakubwa hii ya wapi hii?
Na anahisi kufanya hivyo jezi hizo pia zitawekwa sokoni wadau wanunue? Yaani jezi ya timu moja iwe sokoni na nembo mbili za wadhamini?
View attachment 2337824View attachment 2337825View attachment 2337826View attachment 2337827