Ujuaji wa hovyo na tamaa ya Babra unazua sintofahamu nje ya nchi

Ujuaji wa hovyo na tamaa ya Babra unazua sintofahamu nje ya nchi

Ila wabongo sijui Kuna shida gani. Sasa mkuu matusi ya Nini, kwani ungemjibu Kwa hoja ungepungukiwa Nini mkuu.

Kuna shida sana waTz kuliko tunavyoaminishwa. Hukuwa na sababu hata Moja kumtukana mtoa mada. Ungesema tu si kweli Kwa sababu Moja mbili tatu. Huo ndio uungwana mkuu. Na mtoa mada kutofautiana mawazo na wewe hakumfanyi kuwa Hana akili
Mashabiki wa simba hao
 
Na yeye hakukuwa na sababu ya kumtukana Barbra angeuliza aelekezwe.
Ukija hovyo, watu waliohovyo kama wewe ( yeye ) watakupokea.
Mleta mada ni mjuaji wa vitu ambavyo havijui na anaonekana hapendi kujifunza.
Mbona ya barcelona hajaleta?
Ac milan je'm
Kolo bhana! Ujuaji ni tusi?
 
Mleta mada huna akili.
Jibu hoja; kwa nini simba Queens hawavai jezi zenye nembo ya mdhamini mpya M Bet, kama ilivyo kwa timu ya wanaume!!

Kinyume na hapo, wewe ndiyo utaonekana huna akili.
 
katika mashabaki wa yanga ukimtoa baba yangu (Mzee sunday manara ) na kikwete waliobak wote hawana akili
mwisho wa kunukuu

Ac milan
Barecelona
Dortmund
Olimpic lyon
Ajax
hizo zote n team za wanawake lakin kits zao n tofaut na na za wanaumeView attachment 2337846
Pole sana. Ulikuwa na hoja nzuri, ila sasa hayo maelezo yako ya kunukuu yamekuondolea credits nyingi sana.

Maana umeonekana akili yako imeshikiliwa na huyo uliye mnukuu, kama walivyo baadhi ya wenzako humu jukwaani.
 
Duniani kote timu zote jezi za timu kuanzia ya wakubwa ya wanawake za vijana hufanana kuanzia dizaini nembo ya mdhamini na mengine. Ili huyu dada kwa ujuaji wake anataka simba queens wavae tofauti na timu ya wakubwa hii ya wapi hii?
Na anahisi kufanya hivyo jezi hizo pia zitawekwa sokoni wadau wanunue? Yaani jezi ya timu moja iwe sokoni na nembo mbili za wadhamini?

Soma hii hapa uongeze maarifa ya biashara. Barbra ana akili za kuzaliwa na kusoma, usijitie mjuaji wakati kichwani hakuna kitu:

Same club, different sponsor : Splitting deals for men and women teams​

The last contender on UEFA Women’s Champions League was FC Barcelona. When Rakuten became the main sponsor for the male’s team jersey (2017), the club decided to stop offering the female teams as a plus feature. So Stanley, provider of tools and storage, got on board with a sponsorship deal that covers all the expenses for FC Barcelona women’s football team. Stanley also works with the male’s team as a partner.
........................................................................................................................................................................................................
........................................................................................................................................................................................................

In Germany, FC Bayern München works with T-Mobile as their main sponsor for the male’s team, and Allianz for their female’s team. In Frauen-Bundesliga (also sponsored by Allianz), FC Bayern München is a top competitor, coming second place because of Vfl Wolfsburg performance, after a two season winning streak.

The lesson learned from these top tier clubs is that there is an opportunity to have independent income for women’s football teams through sponsorship. Most of these clubs use this income to continue developing their women’s team and get more results, recognition and sponsors. A virtuous circle that keeps growing in Europe.
 
Hivi shule zinafunguliwa lini? Tumewachoka, nendeni mkasome mpate Maarifa!
 
  • Kicheko
Reactions: EEX
Ila wabongo sijui Kuna shida gani. Sasa mkuu matusi ya Nini, kwani ungemjibu Kwa hoja ungepungukiwa Nini mkuu.

Kuna shida sana waTz kuliko tunavyoaminishwa. Hukuwa na sababu hata Moja kumtukana mtoa mada. Ungesema tu si kweli Kwa sababu Moja mbili tatu. Huo ndio uungwana mkuu. Na mtoa mada kutofautiana mawazo na wewe hakumfanyi kuwa Hana akili
M-Bet wamedhamini timu zote za simba?
 
Hao wa wadada wa ulaya wana miili mikubwa sana,
 
Ila wabongo sijui Kuna shida gani. Sasa mkuu matusi ya Nini, kwani ungemjibu Kwa hoja ungepungukiwa Nini mkuu.

Kuna shida sana waTz kuliko tunavyoaminishwa. Hukuwa na sababu hata Moja kumtukana mtoa mada. Ungesema tu si kweli Kwa sababu Moja mbili tatu. Huo ndio uungwana mkuu. Na mtoa mada kutofautiana mawazo na wewe hakumfanyi kuwa Hana akili
Atengue maneno yake aliyoandika hapo yenye matusi
 
Barbara kakosea sana mbaya zaidi kawadanganya hadi barcelona nao wamemsikiliza
barca ladies.JPG
barca.JPG
 
katika mashabaki wa yanga ukimtoa baba yangu (Mzee sunday manara ) na kikwete waliobak wote hawana akili
mwisho wa kunukuu

Ac milan
Barecelona
Dortmund
Olimpic lyon
Ajax
hizo zote n team za wanawake lakin kits zao n tofaut na na za wanaumeView attachment 2337846
"Simba imejaza mambumbumbu" mwisho wa kunukuu, haya yalisemwa na Aden Rage,aliyekuwa mwenyekiti wa Simba.
 
Back
Top Bottom