Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Acha kumkuza.Barbara ana kiboko wake mmoja tu duniani, GENTAMYCINE
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kumkuza.Barbara ana kiboko wake mmoja tu duniani, GENTAMYCINE
Mkuu, bado upo? 😁 😁 😁Duniani kote timu zote jezi za timu kuanzia ya wakubwa ya wanawake za vijana hufanana kuanzia dizaini nembo ya mdhamini na mengine. Ili huyu dada kwa ujuaji wake anataka simba queens wavae tofauti na timu ya wakubwa hii ya wapi hii?
Ila wabongo sijui Kuna shida gani. Sasa mkuu matusi ya Nini, kwani ungemjibu Kwa hoja ungepungukiwa Nini mkuu.
Kuna shida sana waTz kuliko tunavyoaminishwa. Hukuwa na sababu hata Moja kumtukana mtoa mada. Ungesema tu si kweli Kwa sababu Moja mbili tatu. Huo ndio uungwana mkuu. Na mtoa mada kutofautiana mawazo na wewe hakumfanyi kuwa Hana akili
Barbara ana kiboko wake mmoja tu duniani, GENTAMYCINE
Jibu hoja; kwa nini simba Queens hawavai jezi zenye nembo ya mdhamini mpya M Bet, kama ilivyo kwa timu ya wanaume!!
Kinyume na hapo, wewe ndiyo utaonekana huna akili.
Hivi sportpesa alitaka kudhamini timu ya wanawake Simba watamruhusu
Si lazima kufanya kila kitu kifanane na wengine.. Sometimes you have to be XcluzivDuniani kote timu zote jezi za timu kuanzia ya wakubwa ya wanawake za vijana hufanana kuanzia dizaini nembo ya mdhamini na mengine.
Ili huyu dada kwa ujuaji wake anataka simba queens wavae tofauti na timu ya wakubwa hii ya wapi hii?
Na anahisi kufanya hivyo jezi hizo pia zitawekwa sokoni wadau wanunue? Yaani jezi ya timu moja iwe sokoni na nembo mbili za wadhamini?
View attachment 2337824View attachment 2337825View attachment 2337826View attachment 2337827
Hebu thibitisha kwamba we sio JuhaMleta mada huna akili.