Huyu dogo alidanganywa sana eti kutosajiliwa timu za ndani.
Kama kuna mchezaji yeyote mwenye ndoto za kucheza ulaya unaachaje kusajiliwa Simba?
Ujinga mnaojazwa na hao madalali unawafanya mjutie maamuzi yenu mara zote.
Hivi sasa huyu kijana aliyepachikwa jina la Messi namuona yupo yupo tu.
Tumieni akili zenu nanyi pia.Ukitaka sifa za kijinga nenda yanga, ukitaka kufanikiwa kimataifa cheza Simba. Simba hawana tabia ya kubania wachezaji na figisu figisu kama za yanga.
Hata hivyo Yanga yenyewe nani anaijua Ulaya?
Kama kuna mchezaji yeyote mwenye ndoto za kucheza ulaya unaachaje kusajiliwa Simba?
Ujinga mnaojazwa na hao madalali unawafanya mjutie maamuzi yenu mara zote.
Hivi sasa huyu kijana aliyepachikwa jina la Messi namuona yupo yupo tu.
Tumieni akili zenu nanyi pia.Ukitaka sifa za kijinga nenda yanga, ukitaka kufanikiwa kimataifa cheza Simba. Simba hawana tabia ya kubania wachezaji na figisu figisu kama za yanga.
Hata hivyo Yanga yenyewe nani anaijua Ulaya?