monopoly inc
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 5,256
- 11,377
Unamjua dominic salamba?Tatizo ambalo naliona bado lipo Hadi mwaka 2023 maana nilidhani lingeisha 2022 baada ya kujifunza Kwa matukio ya Manzoki na Bigirimana ni kitendo cha timu kusajili ili ipate VIBE la mashabiki badala ya kusajili Kwa mahitaji. Timu za wenzetu zinashow interest Kwa mchezaji hata kama kuna timu nyingine nayo imetangaza nia. Lakini kwetu eti timu inaweza kutangaza imeiba mchezaji Airport na mashabiki wakashangilia.
Kwa wenzetu Hakuna usajili wa kukomoa Mpinzani, lakini kwetu timu inaweza kusajili mchezaji isiyemuhitaji ilimradi mpinzani wake asimpate (Refer Dominic Salamba na Denis Nkane).
Au ulitak kusema Adam salamba