Ujue ni kwa nini wasichana wanakuwa na mahusiano na watu wazima

Ujue ni kwa nini wasichana wanakuwa na mahusiano na watu wazima

kwamtoro

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2010
Posts
4,922
Reaction score
3,239
Utamuona msichana mbichi kabisa mrembo nadhifu anatoka out na mtu mzima ambaye kimtazamo ni baba yake au babu yake kabisa, watu wanasema labda ni kwasababu gold digger na hawana mapenzi kwa hao watu wazima wengine wanasema ni kwa sababu ya pesa tu za hao watu wazima. Lakini kiukweli kuna kitu tofauti na mawazo ya watu wengi kwa hawa wadada kuwa na mahusiano na watu wazima na wala siyo sababu za pesa za hao watu wazima.

Kitu cha kwanza wasichana wengi wanapenda attention: Wanapenda mwanaume ambaye anaweza kuwajali (Pet them) kuwafanya wao the focus and centre of their lives. Watu wazima wana watreat wasichana namna hii tofauti na vijana wengi wafanyavyo.

Mtu mzima anajisikia proud sana kwa kuwa na msichana mbichi, na anajisikia very appreciative of what he has, kwa hiyo anamtreat with very much reverence. He will pay her all the attention she needs, and pet her, pmoja na kumtreat her kama malkia.

But a younger boyfriend will not give her all the attention or treat her the same way.

Mwana MMU mwenzangu, nakaribisha mawazo yako.
 
ebu tuwasubiri mabinti zetu watueleze kwa undani zaidi.

ila kwangu mimi naona hiyo ni laana kwa hawa mabinti,

kuuchungulia uchi wa baba yako / mama yako ni laana mbaya sana.

binafsi binti ninayemzidi zaidi ya miaka 15 siwezi hata kujenga mazoea naye, vile vile mamaa anayenizidi zaidi ya miaka 15 sitaki kabisa hata kumtania kuhusu mambo ya kikubwa.
 
Njoo kali!!penye njaa hapana amani,kisaikolojia mtoto wa kike anapopevuka tu huwa anavutiwa na vijana wa kiume na sio wazee,kwa upande wetu(Me) ndo tunaweza vutiwa vyotevyote ili mradi tu upate bambucha uichape-Lakini imekuwa viceversa Ke wanamegwa na vibabu ,tena vingine vya kizungu vinaomba hadi 0713 vinapewa mchana kweupe...ukiuliza utaambiwa fasheni lakini rohoni MONEY DEMANDING

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Hawana stress, they give us a lot of care.
Huwaombi bali wanakupa, they know how a woman means.
They are financial stable as they dont have many responsibilities as paying rent, school fees.

Long live wazee
 
I uphold the point and i think it is at home! Ndio maana gf wngu nimemfuma juzi tu na limdingi,dah! Kama n hvyo vijana ha2na haja kuwa na wasichana,ni kutafuta ma_sugar mummy tu kwa kwenda mbele,haisumbui!
 
Sababu kubwa wanapenda "mitwangio" iliyokomaa si hizo zenu bado changa.
 
hawana stress
they give us a lot of care
huwaombi bali wanakupa
they know how a woman means
they are financial stable as they dont have many responsibilities as paying rent,school fees
long live wazee

bibie ameanza kutiririka....
 
Utamuona msichana mbichi kabisa mrembo nadhifu anatoka out na mtu mzima ambaye kimtazamo ni baba yake au babu yake kabisa, watu wanasema labda ni kwasababu gold digger na hawana mapenzi kwa hao watu wazima wengine wanasema ni kwa sababu ya pesa tu za hao watu wazima. Lakini kiukweli kuna kitu tofauti na mawazo ya watu wengi kwa hawa wadada kuwa na mahusiano na watu wazima na wala siyo sababu za pesa za hao watu wazima

Kitu cha kwanza wasichana wengi wanapenda attention: Wanapenda mwanaume ambaye anaweza kuwajali (Pet them) kuwafanya wao the focus and centre of their lives. Watu wazima wana watreat wasichana namna hii tofauti na vijana wengi wafanyavyo.

Mtu mzima anajisikia proud sana kwa kuwa na msichana mbichi, na anajisikia very appreciative of what he has, kwa hiyo anamtreat with very much reverence. He will pay her all the attention she needs, and pet her, pmoja na kumtreat her kama malkia.

But a younger boyfriend will not give her all the attention or treat her the same way. Mwana MMU mwenzangu, nakaribisha mawazo yako.

Kaka unafahamu kuwa huyo mbaba kamuacha mama yake huyo mdada nyumbani?Pia unafahamu kuwa huyo mababa ana watoto wa kike kama huyo mdada?au unaangalia na kuongelea upande mmoja...?
 
hawana stress
they give us a lot of care
huwaombi bali wanakupa
they know how a woman means
they are financial stable as they dont have many responsibilities as paying rent,school fees
long live wazee

Unafahamu kuwa kamuacha nyumbani Mama yako?Unafahamu kuwa ana watoto wakike wa umri wako ambao wanastahili kutunzwa kwa hela unazoziomba kwa huyo mbaba?Shame
 
Hapo swala ni hela tu. Kama watu wazima wanajua kucare sana kwann mabinti wasitoke na wazee ambao hawana mkwanja?!
 
kila mtu anapenda attention kutoka kwa mtu anaempenda
 
Hapo swala ni hela tu. Kama watu wazima wanajua kucare sana kwann mabinti wasitoke na wazee ambao hawana mkwanja?!

kwani huyo binti si ana baba yake ambaye ni mzee atoke na baba yake..Umalaya mwingine unadhihirisha kwa uongo. Kwa hiyo huyo binti anafurahia baba yake kumuacha mama yake na kwenda kutembea na shost wake? au siku hizi makuwadi wa baba zao ni mabinti.

Myopia mbaya
 
kila mtu anapenda attention kutoka kwa mtu anaempenda

Sasa Mimisa kweli utasema unataka attention kwa mtu mwenye umri wa baba yako? ambaye amemuacha mtu kama mama yako nyumbani na kuja kwako?is how you define love attention nowdays?
 
Sasa Mimisa kweli utasema unataka attention kwa mtu mwenye umri wa baba yako? ambaye amemuacha mtu kama mama yako nyumbani na kuja kwako?is how you define love attention nowdays?

kama hana mke?
 
ooh..si kwa mtu wa umri wa babayo..tena mwenye mke..hapana..
binafsi sisapoti mpz ya aina hiyo..
Sasa Mimisa kweli utasema unataka attention kwa mtu mwenye umri wa baba yako? ambaye amemuacha mtu kama mama yako nyumbani na kuja kwako?is how you define love attention nowdays?
 
kama hana mke?

hahahaha bora umejihami lakini ushahidi unaonyesha kuwa hao unawalenga ni baba zenu kwa dada wa rika zenu..Pia wana wama zenu wa rika kama za mama za huyo mdada..Tuachane na hulka ya tabia hii
 
ooh..si kwa mtu wa umri wa babayo..tena mwenye mke..hapana..
binafsi sisapoti mpz ya aina hiyo..

Fuatilia uniambie hao mnaosema kuwa wanawapa attention kama hawana wake zao..hawana mabinti kama ninyi?
 
Back
Top Bottom