Ujue ni kwa nini wasichana wanakuwa na mahusiano na watu wazima

Ujue ni kwa nini wasichana wanakuwa na mahusiano na watu wazima

ebu tuwasubiri mabinti zetu watueleze kwa undani zaidi.

ila kwangu mimi naona hiyo ni laana kwa hawa mabinti,

kuuchungulia uchi wa baba yako / mama yako ni laana mbaya sana.

binafsi binti ninayemzidi zaidi ya miaka 15 siwezi hata kujenga mazoea naye, vile vile mamaa anayenizidi zaidi ya miaka 15 sitaki kabisa hata kumtania kuhusu mambo ya kikubwa.

Mandela kampita Graca Machel zaidi ya miaka 17 na dunia nzima ina appreciate uhusiano wao. wapenzi ya "kweli" hayajalishi umri.
 
hatari kabisa wadada tupeni uzoefu wenu au na sie tuhamie kwa mashugar mamy?
 
Its true na vijana wengi siku hizi they're not mannered hata ukiona mavazi, na maongezi yao hayaoneshi kumjali huyo binti baadae lakini pia kwa kuwa vijana hawataki kufanya kazi mabinti wanaogopa kutegemewa kiuchumi baadae

Kumbe siku hizi ujana unaongelea jinsi moja tu ya kiume? hapo kwenye nyekundu sijakuelewa kabisa japo ulikuja vizuri ukaja kuharibu hapo...kuvaa vimini na manner ya wapi? kutembea bila chupi huku ukiwa na nguo fupi ni manner ya wapi? kutembea na kumvulia nguo mbaba au mmama wa rika ya baba /babu au mama/bibi yako ni manner ya wapi?

Kabila gani inaadvocate hiyo manner unayoitetea? Let us be realistic tusijeshadadia maovu na kusahau ukweli..
 
Ukimpata mtu mzima ataonesha care ya hali ya juu, wengi hawana mambo mengi. Pia hutuchukulia kama mtoto na folen sio kubwa. Pia hawachoshi mkiwa on ze bed. Wanapenda kusikilizwa zaid. Hiyo ndo habar.
 
hawana stress
they give us a lot of care
huwaombi bali wanakupa
they know how a woman means
they are financial stable as they dont have many responsibilities as paying rent,school fees
long live wazee

. Ukweli ni huu.......
 
jamani..tumuogope na Mungu, wababa kama baba yako au wamama kama mama yako sio jambo jema tena na tukome ila na nyie mnaoshindwa kuwatimizia wapenzi wenu mapenzi ya kweli embu jaribuni basi kujirekebishaa na wengine ni hulka tuuuu....AIBU JAMANI
 
Ukimpata mtu mzima ataonesha care ya hali ya juu, wengi hawana mambo mengi. Pia hutuchukulia kama mtoto na folen sio kubwa. Pia hawachoshi mkiwa on ze bed. Wanapenda kusikilizwa zaid. Hiyo ndo habar.

Reymaige;Unajua laana ipo hapa duniani na Inatafuna watu,Ila sema kuna baadhi ya watu wanapuuza tu labda kutokana na tamaa ya kutaka vitu wasivyostahili au umaskini,Ila kimsingi huwa wanajuta sana kutokana na hizi tabia.Madada wenye mabwana wazee hawaishi kwa furaha na amani mioyoni mwao,hata kutoka nae tu inakua shida,maisha yao ni ya kukwepana kwepana tu.Unajua DHAMIRI ina nguvu sana,utazugazuga tu kwa mda ila itaendelea kukueleza ukweli utakaoendelea kukutafuna.(maana yake utakua unajihukumu mwenyewe rohoni mwako)

Madada wenye kujitambua na kuelewa 'NATURE AND CHARACTERISTICS 'ya ujana na kuikubali kuifuata huwa wanabarikiwa sana,na maisha yao huwa yanakua mazuri:Ndo maana hata tunapofanya sala zetu za neno,tunajua tunatakiwa pia kufanya na sala sadaka kwa mungu wetu.Tatizo la wasichana hawataki kufanya sala ya sadaka wao ni ya neno tu.(Achana na baraka kutoka kwa mungu ila mkiwa wote vijana mnaenjoy mambo mengi ya jinsia yenu kisaikolojia,kijamii,na kimaumbile:kunakua balanced na mnaenjoy kupambana na challenge za energy zenu,hakuna mipaka wala uoga ktk mapenzi yenu na yanakubalika mbele ya jamii)

Binti/Msichana lazima atambue kua ujasiri na taaluma ya kukabiliana na maisha kuelekea mafanikio ktk kulea familia yako tarajiwa unapatikana kama ukiwa na kijana mwezio:Namaanisha kua mkiwa wapenzi halafu wote ni vijana maisha yenu yapo kwenye HATUA YA KWANZA ambayo kimsingi hamna kipato kikubwa (wasichana kwa tamaa huwa wanataka kuiruka hatua hii kwa kupenda vitu vya bure kutoka kwa wazee) huku wakisahau kua urembo wao huwa unapotea na hakutakua na mtu wa kumjali baadae.

Vijana waliotumia ujana wao pamoja kwa uaminifu maisha yao na familia zao zinakua na baraka.Ndo maana wale watu waliooana wakiwa vijana na waka enjoy ujana wao pamoja hata baadae mwanamke/ mwanaume akibadilika maumbile huwa wanaendelea kuthaminiana sana;mapenzi yao yanadumu kuliko wale wa kudandia treni kwa mbele.
 
Mtasema mengi sana ila all in all ni hela tu zinawatuma kuingia kwenye mahusiano na wazee ukitaka kuamini fuatilia uone kama wale wazee wasiojiweza kifedha kama wanakuwa na vijibint vidogovidogo kama hivyo
 
Utamuona msichana mbichi kabisa mrembo nadhifu anatoka out na mtu mzima ambaye kimtazamo ni baba yake au babu yake kabisa, watu wanasema labda ni kwasababu gold digger na hawana mapenzi kwa hao watu wazima wengine wanasema ni kwa sababu ya pesa tu za hao watu wazima. Lakini kiukweli kuna kitu tofauti na mawazo ya watu wengi kwa hawa wadada kuwa na mahusiano na watu wazima na wala siyo sababu za pesa za hao watu wazima.

Kitu cha kwanza wasichana wengi wanapenda attention: Wanapenda mwanaume ambaye anaweza kuwajali (Pet them) kuwafanya wao the focus and centre of their lives. Watu wazima wana watreat wasichana namna hii tofauti na vijana wengi wafanyavyo.

Mtu mzima anajisikia proud sana kwa kuwa na msichana mbichi, na anajisikia very appreciative of what he has, kwa hiyo anamtreat with very much reverence. He will pay her all the attention she needs, and pet her, pmoja na kumtreat her kama malkia.

But a younger boyfriend will not give her all the attention or treat her the same way. Mwana MMU mwenzangu, nakaribisha mawazo yako.
Kuna rafiki ake cster angu mmoja hivi alikua chuo flan hivi hapa dar ila kwa sasa kesha olewa aisee kiukweli aliwahi admit kwamba alikua na uhusiano na waume za watu wengi hiyo care mnayoiita ni ya kifedha zaidi ila aliadmit pia hakuwahi mpenda huyo mbaba ni hela tu maana kimsingi mdingi huyo alikua hamridhishi kimoja tu mshua anahema juu juu

Pia manzi alikua anapata fedheha sana anapowaona vijana wenzie wako na mamanzi wao size yao yeye yuko na mshua tena huwa anatamanigi ardhi ipasuke kimsingi wale wazoefu wa michongo hii hapa watajibaruguza kwa kila aina ya maneno ila moyoni mwao wanajua kwamba ni fedheha kubwa dunia nzima..over..!! + manzi alizimikia manpocket money jiwe 3 mpaka 4 mahoteli nin ila alikua hapendi kwenda nae sehemu ila inambidi ti coz hana jinsi..overrrr...!!!
 
True, nimekumbana na mmoja anasema hataki vidume saa hizi yake ( she 23yrs old) kwa sababu kikikununulia chips kuku kinaona kimeibiwa kishenzi halafu kinakuwa na wivuuuuu! Full kukufuatilia. Watu wazima hawana hiyo time, mradi upatikane anapokuhitaji. Nikaona true kabisa.
 
We hutaki kukubali ukweli kwa kuwa umeshakua addicated na kutembea na wame za watu Period..huwezi kutembea na kumvulia nguo mtu mwenye umri na baba yako ukasema unahitaji attention?Attention is not something you can shop..attention is two way traffic.....

Una uhakika gani that I'm not a virgin?

Last time I checked, I've never been with a guy that's more than 3yrs older than I.

Don't make silly comments about other people like that.

BTW, my dream husband is 12+ yrs older. Umuhimu wa age difference unaonekana a man akifika middle age.
Other women just feel safer with a man way older than them.

Na si men wote wana wake embu acheni kugeneralise like that.

I really don't understand what everybody is fussing about.

Age is such a small issue so don't sweat it man
 
Utamuona msichana mbichi kabisa mrembo nadhifu anatoka out na mtu mzima ambaye kimtazamo ni baba yake au babu yake kabisa, watu wanasema labda ni kwasababu gold digger na hawana mapenzi kwa hao watu wazima wengine wanasema ni kwa sababu ya pesa tu za hao watu wazima. Lakini kiukweli kuna kitu tofauti na mawazo ya watu wengi kwa hawa wadada kuwa na mahusiano na watu wazima na wala siyo sababu za pesa za hao watu wazima.

Kitu cha kwanza wasichana wengi wanapenda attention: Wanapenda mwanaume ambaye anaweza kuwajali (Pet them) kuwafanya wao the focus and centre of their lives. Watu wazima wana watreat wasichana namna hii tofauti na vijana wengi wafanyavyo.

Mtu mzima anajisikia proud sana kwa kuwa na msichana mbichi, na anajisikia very appreciative of what he has, kwa hiyo anamtreat with very much reverence. He will pay her all the attention she needs, and pet her, pmoja na kumtreat her kama malkia.

But a younger boyfriend will not give her all the attention or treat her the same way. Mwana MMU mwenzangu, nakaribisha mawazo yako.

Acha wewe....mbona wanatoka na watu wazima wenye mshiko tu? ushaona yeyote anatoka na kibabu arosto? pesa inaonea hakuna kupet wala nini...........
 
Back
Top Bottom