Ujue ni kwa nini wasichana wanakuwa na mahusiano na watu wazima

Ujue ni kwa nini wasichana wanakuwa na mahusiano na watu wazima

am trying my best i hope one day i will manage those two together
wewe ni mkongo??maana kiingereza chako kama kiswahili chako......
Gold is sound cheap......GOLD SOUNDS CHEAP.......
But platinum it include a lot.....BUT PLATINUM INCLUDES A LOT.....

samahani lakini.......
 
Utamuona msichana mbichi kabisa mrembo nadhifu anatoka out na mtu mzima ambaye kimtazamo ni baba yake au babu yake kabisa, watu wanasema labda ni kwasababu gold digger na hawana mapenzi kwa hao watu wazima wengine wanasema ni kwa sababu ya pesa tu za hao watu wazima. Lakini kiukweli kuna kitu tofauti na mawazo ya watu wengi kwa hawa wadada kuwa na mahusiano na watu wazima na wala siyo sababu za pesa za hao watu wazima.

Kitu cha kwanza wasichana wengi wanapenda attention: Wanapenda mwanaume ambaye anaweza kuwajali (Pet them) kuwafanya wao the focus and centre of their lives. Watu wazima wana watreat wasichana namna hii tofauti na vijana wengi wafanyavyo.

Mtu mzima anajisikia proud sana kwa kuwa na msichana mbichi, na anajisikia very appreciative of what he has, kwa hiyo anamtreat with very much reverence. He will pay her all the attention she needs, and pet her, pmoja na kumtreat her kama malkia.

But a younger boyfriend will not give her all the attention or treat her the same way.
Mwana MMU mwenzangu, nakaribisha mawazo yako.

for every general rule there is an exception
 
Utamuona msichana mbichi kabisa mrembo nadhifu anatoka out na mtu mzima ambaye kimtazamo ni baba yake au babu yake kabisa, watu wanasema labda ni kwasababu gold digger na hawana mapenzi kwa hao watu wazima wengine wanasema ni kwa sababu ya pesa tu za hao watu wazima. Lakini kiukweli kuna kitu tofauti na mawazo ya watu wengi kwa hawa wadada kuwa na mahusiano na watu wazima na wala siyo sababu za pesa za hao watu wazima.

Kitu cha kwanza wasichana wengi wanapenda attention: Wanapenda mwanaume ambaye anaweza kuwajali (Pet them) kuwafanya wao the focus and centre of their lives. Watu wazima wana watreat wasichana namna hii tofauti na vijana wengi wafanyavyo.

Mtu mzima anajisikia proud sana kwa kuwa na msichana mbichi, na anajisikia very appreciative of what he has, kwa hiyo anamtreat with very much reverence. He will pay her all the attention she needs, and pet her, pmoja na kumtreat her kama malkia.

But a younger boyfriend will not give her all the attention or treat her the same way.
Mwana MMU mwenzangu, nakaribisha mawazo yako.


Its very true, we need attension. Vijana wengi hawajui kucare wenyewe ni kuulizia K tu. Akimwagwa analalamika kuwa wasichana wa siku hizi vicheche. Badilikeni jamani.
 
Bila kuwasahau beyonce na jigga
Na hata kwenye biblia ksa cha abraham na wengne kibaooo

We kuwa na akili...abrahamu alikuwa na shida na mtoto ambaye mkewe alikuwa hana uwezo wa kuzaa hivyo ilimbidi kutafuta uzao kwa Hajiri....hawa malaya na wakosefu wa adabu wa sasa hawasemi ukweli wa njaa yao ya fedha wanasingizia mapenzi na care.....usitoe maneno ya Mungu bila kutafakari kwa kina........
 
We kuwa na akili...abrahamu alikuwa na shida na mtoto ambaye mkewe alikuwa hana uwezo wa kuzaa hivyo ilimbidi kutafuta uzao kwa Hajiri....hawa malaya na wakosefu wa adabu wa sasa hawasemi ukweli wa njaa yao ya fedha wanasingizia mapenzi na care.....usitoe maneno ya Mungu bila kutafakari kwa kina........

sikuhit tatizo la watoto nilihit their age difference na ninasupport real marriages sio haya mahusiano ya ajabu ya vijana wa siku hizi.
 
Acha kutetea upuuzi
Nyinyi ndio mnamengi sana yakujibu
Umalaya na tamaa tu hamna kingine mbona ipo wazi
 
Utamuona msichana mbichi kabisa mrembo nadhifu anatoka out na mtu mzima ambaye kimtazamo ni baba yake au babu yake kabisa, watu wanasema labda ni kwasababu gold digger na hawana mapenzi kwa hao watu wazima wengine wanasema ni kwa sababu ya pesa tu za hao watu wazima. Lakini kiukweli kuna kitu tofauti na mawazo ya watu wengi kwa hawa wadada kuwa na mahusiano na watu wazima na wala siyo sababu za pesa za hao watu wazima.

Kitu cha kwanza wasichana wengi wanapenda attention: Wanapenda mwanaume ambaye anaweza kuwajali (Pet them) kuwafanya wao the focus and centre of their lives. Watu wazima wana watreat wasichana namna hii tofauti na vijana wengi wafanyavyo.

Mtu mzima anajisikia proud sana kwa kuwa na msichana mbichi, na anajisikia very appreciative of what he has, kwa hiyo anamtreat with very much reverence. He will pay her all the attention she needs, and pet her, pmoja na kumtreat her kama malkia.

But a younger boyfriend will not give her all the attention or treat her the same way.

Mwana MMU mwenzangu, nakaribisha mawazo yako.
Naona gold diggers wamepata mtetezi.
 
Kitu cha kwanza wasichana wengi wanapenda attention: Wanapenda mwanaume ambaye anaweza kuwajali (Pet them) kuwafanya wao the focus and centre of their lives. Watu wazima wana watreat wasichana namna hii tofauti na vijana wengi wafanyavyo.

Mtu mzima anajisikia proud sana kwa kuwa na msichana mbichi, na anajisikia very appreciative of what he has, kwa hiyo anamtreat with very much reverence. He will pay her all the attention she needs, and pet her, pmoja na kumtreat her kama malkia.
Umesema ukweli mtupu upo sahihi 100%
Age mates wana tabia ya kuwaharass lovers wao, kama ni mwanamke anamharass mwanaume and vicevesaila with huge age gape kuna viini vingi vya kuthaminiana
 
Nilimkuta mnene mmoja hotelini Dodoma akiwa Waziri anaogopwa na kila mtumishi, ila siku hiyo nimepishana naye koridoni anakokota table tenis sikuamini
 
Back
Top Bottom