Ujue ugonjwa wa Mba na tiba yake

Ujue ugonjwa wa Mba na tiba yake

Paka mafuta ya break, hayo ni mwisho wa reli.

Au nunua vidonge kumi vya septrin, halafu visage mpaka viwe unga/poda; halafu fanya mchanganyo na mafuta ya mgando ya mia tatu(baby care, boss, vestrine,n.k).

Mchanganyo huo upake mara mbili kwa siku, asubuhi ukimaliza kuoga, na ucku baada ya kuoga kabla ya kulala.

Asante!
 
ulizia kwa wale watu wanaotembeza sumu za panya mitaani huwa wanauza na dawa ya utangotango unachanganya kwenye mafuta ya mgando kma baby care
 
Tafuta sabuni ya ZOA ZOA Nackia Huo Utango Ukifika Kwenye Kamanda O Unanyanyua
 
Angalia lakini usije pakwa Upupu na kulishwa nnya kwa sababu ya huo utango sjui ubogaboga....!! Hawashindwi hawa ....!!

Hahahh,, pole lkn..
 
Angalia lakini usije pakwa Upupu na kulishwa nnya kwa sababu ya huo utango sjui ubogaboga....!! Hawashindwi hawa ....!!

Hahahh,, pole lkn..
 
Humu utauwawa kwa sumu maana kila mtu ni daktari, nakusihi ujongee mpaka zahanati / kituo cha Afya / Hospitali iliyo karibu nawe vinginevyo utalishwa mpaka vibashite
[emoji23][emoji23][emoji23]
lakini hata hosp nako sipaamini
ila ntaenda
 
Back
Top Bottom