Tafadhali mkuu kama umeishapata tiba nielekeze ulikoipata maana tatizo lako ni sawa na langu kwa 100%. Mimi nanyoa kila baada ya wiki mbili....nywele zikishaota tu ni shida, kichwa kinawasha ni balaa!Salaam wanajamii.
Nina matitizo ya kichwa kuwasha kwa muda mrefu sana(miaka 5). Nywele zikiwa ndefu ndio kichwa kinavyozidi kuwasha. muwasho huambatana na maumivu makali. Nikinyoa nywele afadhali hupatikana kidogo. Je huu ni ugonjwa gani? nini tiba yake?
Ndio inaanzaKama ni tatizo sugu fanya check up ya diabetis na HIV test. Mwili wa binadamu imeubwa na protection nzuri sana, fungus wanaosabisha utango tango na mba wanaweza kutokomezwa na pH inayotoka kwenye jasho. Kama immune level uko chini au damu inasukari ndiyo wanaendelea kukushambulia.
Pharmasist anaweza kukushauri antifungal cream ya kutumiaNdio inaanza
Dawa ninayo ni locally made tena ya uhakika kabisa na inamaliza na ataumwa tena Mba katika maisha yake. Uzuri wa hii dawa mabadiliko ni ndani ya siku nne tu.
Na in case kama hatapona narudisha hela yake. Sema bahati mbaya upo Dsm ila kama ungekuwa mwanza ambapo ndipo ninapopatikana ungefurahia sana huduma zangu
upo mwanza sehemu gani?. Na je ni lazima nije na mgonjwa?Dawa ninayo ni locally made tena ya uhakika kabisa na inamaliza na ataumwa tena Mba katika maisha yake. Uzuri wa hii dawa mabadiliko ni ndani ya siku nne tu.
Na in case kama hatapona narudisha hela yake. Sema bahati mbaya upo Dsm ila kama ungekuwa mwanza ambapo ndipo ninapopatikana ungefurahia sana huduma zangu mkuu.
Tabibu wa jf wababe hao,ukikakaa vibaya unakula vibaohali itarudi kawaida ya kutosikia kutotapika na kichefuchefu kiswahili wewe kinakugonga nini? unatoka mji gani hapo Tanzania? Dawa unatakiwa utumie siku 3 au siku 7 sio siku moja. kuna dawa gani ukatumia siku 1 ukapona? Kama huelewi kwanini huulizi Maswali? umekatazwa usiulize kwani Maswali?
Utaua wenzio hadi chini kupaka hiyo makituMba mba tu mkuu, hata za chini unaweza tumia huo mseto.
yes ndo huo huo .ungejaribu kuweka picha hivyo sio rahisi mtu kuelewa mkuu au ni matango tango
Pole.pakaa Alovera jelly ya asili usinunue dukaniKhali yangu kimwili so nzuri usiku mwili wangu unapata joto si kawaida pia ninaumwa umba joto likiwepo nawasha sehemu umba walipotanda nimetumia mafuta ya brake bila kupata tiba .naomba mwenye kujua dawa au tiba yake anisaidie kwa hili .
Mba//Umba ni ugonjwa gani
aisee asante kwa kunijuza atume utomvu wa mgomba na yeye labda vitamsaidiaMba//
Yeah akiona matokeo sio mazuri acheck na hiyo natural alovera gelly ambayo wadau hapo juu wame suggest.aisee asante kwa kunijuza atume utomvu wa mgomba na yeye labda vitamsaidia