Watu wanataka kupelekeana motrooo, nhif wakalione hili na walifanyie Kazi🤣🤣Daaaaahhhhhh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wanataka kupelekeana motrooo, nhif wakalione hili na walifanyie Kazi🤣🤣Daaaaahhhhhh
Vipi kuhusu ela ya top up. Maana maelezo yaliyotolewa na wadau wa afya, wanadai kwamba kilichofanyika ni kwamba NHIF wamepunguza malipo waliyokuwa wanamlipia mgonjwa hivyo yeye itabdi kuingia mfukoni kutop up hiyo difference.Kitita ni orodha ya huduma na bei zake ambazo NHIF huingia mkataba na Hospitali kuwahudumia wanachama wake.
Hakuna ongezeko la gharama za michango ya wanachama.
Hakuna kuchangia gharama za matubabu (top up) kwa huduma zinazolipiwa na NHIF
Wanachama wanaotumia dawa za pressure na sukari sasa wanaweza kupata dawa vituo vya ngazi za chini
Huduma za kibingwa na bingwa bobezi kama matibabu ya moyo, saratani, figo kupatikana pia kwenye ngazi za Kanda na sio lazima mwanachama aende mpaka hospitali za ngazi Taifa
Dawa 247 mpya zimeongezwa kenye kitita hivyo changamoto ya mwanachama kukosa dawa vituoni imepata suluhu
Propaganda hiziKitita ni orodha ya huduma na bei zake ambazo NHIF huingia mkataba na Hospitali kuwahudumia wanachama wake.
Hakuna ongezeko la gharama za michango ya wanachama.
Hakuna kuchangia gharama za matubabu (top up) kwa huduma zinazolipiwa na NHIF
Wanachama wanaotumia dawa za pressure na sukari sasa wanaweza kupata dawa vituo vya ngazi za chini
Huduma za kibingwa na bingwa bobezi kama matibabu ya moyo, saratani, figo kupatikana pia kwenye ngazi za Kanda na sio lazima mwanachama aende mpaka hospitali za ngazi Taifa
Dawa 247 mpya zimeongezwa kenye kitita hivyo changamoto ya mwanachama kukosa dawa vituoni imepata suluhu
Jackpot Bingo/Loto kitita!Kitita kama Kitita [emoji23][emoji23][emoji23]
Uzuri wake bei ni rafiki kabisaWatu wanataka kupelekeana motrooo, nhif wakalione hili na walifanyie Kazi🤣🤣
Chief achana nao hawa hawajui machungu Tunayopitia, Sema Mimi wananitia Hasira sana natamani Mjadala wa wazi na yeyeto anayetetea haya mambo1: Ulishawahi kuendesha/kusimamia hata kliniki ya mtaa au kituo chochote cha afya?
2: Uliendesha/kusimama kwa muda gani?
3: Kinaitwaje?
4: Kiko wapi?
5: Kinalipa kodi zote?
Au umepewa ujumbe tu U-PUSH??