Ujue ukweli kuhusu kitita kipya cha huduma cha NHIF

Ujue ukweli kuhusu kitita kipya cha huduma cha NHIF

Kitita ni orodha ya huduma na bei zake ambazo NHIF huingia mkataba na Hospitali kuwahudumia wanachama wake.

Hakuna ongezeko la gharama za michango ya wanachama.

Hakuna kuchangia gharama za matubabu (top up) kwa huduma zinazolipiwa na NHIF

Wanachama wanaotumia dawa za pressure na sukari sasa wanaweza kupata dawa vituo vya ngazi za chini

Huduma za kibingwa na bingwa bobezi kama matibabu ya moyo, saratani, figo kupatikana pia kwenye ngazi za Kanda na sio lazima mwanachama aende mpaka hospitali za ngazi Taifa

Dawa 247 mpya zimeongezwa kenye kitita hivyo changamoto ya mwanachama kukosa dawa vituoni imepata suluhu
Vipi kuhusu ela ya top up. Maana maelezo yaliyotolewa na wadau wa afya, wanadai kwamba kilichofanyika ni kwamba NHIF wamepunguza malipo waliyokuwa wanamlipia mgonjwa hivyo yeye itabdi kuingia mfukoni kutop up hiyo difference.
Unazungumziaje kuhusu jambo hili? Na kama ni kweli mbona NHIF haijaelewesha wananchi.
 
Kitita ni orodha ya huduma na bei zake ambazo NHIF huingia mkataba na Hospitali kuwahudumia wanachama wake.

Hakuna ongezeko la gharama za michango ya wanachama.

Hakuna kuchangia gharama za matubabu (top up) kwa huduma zinazolipiwa na NHIF

Wanachama wanaotumia dawa za pressure na sukari sasa wanaweza kupata dawa vituo vya ngazi za chini

Huduma za kibingwa na bingwa bobezi kama matibabu ya moyo, saratani, figo kupatikana pia kwenye ngazi za Kanda na sio lazima mwanachama aende mpaka hospitali za ngazi Taifa

Dawa 247 mpya zimeongezwa kenye kitita hivyo changamoto ya mwanachama kukosa dawa vituoni imepata suluhu
Propaganda hizi
 
1: Ulishawahi kuendesha/kusimamia hata kliniki ya mtaa au kituo chochote cha afya?

2: Uliendesha/kusimama kwa muda gani?

3: Kinaitwaje?

4: Kiko wapi?

5: Kinalipa kodi zote?

Au umepewa ujumbe tu U-PUSH??
Chief achana nao hawa hawajui machungu Tunayopitia, Sema Mimi wananitia Hasira sana natamani Mjadala wa wazi na yeyeto anayetetea haya mambo
 
Back
Top Bottom