Ujumbe huu kwa kila asiekuwa Muislam; Soma kabla ya hujafa

Quran ni uongouongo na vitisho tu. Hatuiamini na hatuamini huyo mtume muongo aliekuwa anaongea na mapepo pangoni. Sio wa Mungu na ujumbe wake sio wa Mungu na msitulazimishe. Kaeni na dini lenu hatulitaki!
 
Una shaka gani na andiko hili au huamini kuwa ukifa utafufuliwa
 
Mtu aliyezaliwa bila baba wewe unamuona ni wa kawaida? Fungua akili yako
Nyinyi wagalatia sijui mnakwama wapi mbona hata mimba ya Isaka ilipatikana pasipo kushiriki tendo la ndoa kati ya Ibrahim na Sara

Ni neno tu la Mungu Sara akapata mimba
 
Mtu aliyezaliwa bila baba wewe unamuona ni wa kawaida? Fungua akili yako
Mtu alie zaliwa bila unaona wa Ajabu sana fungua akili kama Mungu alimuumba Adamu bila baba wala mama akanyanyua mbingu bila nguzo na kuitandika ardhi bila vigingi na kuotesha punje moja ya mbegu zikatoka nyingi kipi cha ajabu hapo alie fanya au alie fanywa na unatakiwa utambue ni watoto wa 3 walizaliwa kwa utabiri na majina yao yalitoka mbinguni
-Isaak
-Yohana
-Yesu
 
Peponi watakuwepo majini na binadamu tu viumbe wengine watageuzwa kuwa mchanga
 
Ujumbe wako unawafaa uwafikie waislamu, maana asie muislamu ujumbe wako haumuhusu, na ukilazimisha umuhusu ni kosa pia, maana yeye ana mambo yake ambayo hataki kukuhusisha nayo, endelea na mambo yako na mwache aendelee na mambo yake,
Kama ni hivyo basi wew Yesu pia hakuhusu na pia hata hii Dunia haikuhusu
 
Mungu hakuleta dini yoyote ile!dini zimekuja na watu TU!Mungu hana dini Wala upande Ili ampendeze nani!!?

Kuwa huru ondoka kwenye minyororo ya udini ambayo imewaumiza wengi na kukosa kusudi la maisha ,kuwa huru kuingia na kutoka popote!

Dini tunazitumia pale TU tunapohitaji jambo fulani,lakini deep down kuwa huru na neutral kabisa!!
 
Kuna watu wanajiona ndugu wa Yesu mnazaleti na wengine wanajiona ni ndugu wa damu wa Mtume Mo. Halafu kila mtu kati yao anaona kuwa kundi lake ndio wana hatimiliki ya Mungu.

Hapa walituweza kwa kweli
 
Biblia inasema siku ya kiyama kuna watu watakutwa wakiwa wazima
Hii biblia????????????

Yohana 14:9

9 Mtu ye yote ambaye ameniona mimi, amemwona Baba.

Yohana 5:37
Naye Baba aliyenituma amenishuhudia. Sauti yake hamkuisikia wakati wowote, wala sura yake hamkuiona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…