Ujumbe huu kwa kila asiekuwa Muislam; Soma kabla ya hujafa

Kwanza tambueni uwepo wa MITUME 12 walioachwa na KRISTO YESU[MASIHI -E/IMANUELI]
2/. Tambueni uwepo wa MITUME na NABII YOHANA[WA UFUNUO].
Ninachoweza kukusaidieni bw.John Said na bw.Maleria ni;
1/.Uislamu sio dini, -->ni UPAGANI [IMANI YA KIPAGANI]
2/. QURAN --ni rasimu ya KIPAGANI/UPAGANI iliyoandikwa na mamlaka/utawala wa RUMI YA KIPAGANI chini ya utawala/mamlaka ya UPAPA kwa lengo la kuvuruga na kupunguza UPINZANI dhidi ya UKATOLIKI uliokuwepo wakati huo kwa WAKRISTO waliokuwa wanapinga desturi za KIPAGANI [za RUMI]kuingizwa kwenye msingi wa imani ya KIKRISTO.
Hivyo UISLAMU ni imani ya KIPAGANI iliyoundwa na TAASISI ya ROMAN CATHOLIC.
3/ALLAH -->Ni moja ya miungu ya KIPAGANI, ambayo kwa asili ilianzia MISRI, hivyo RUMI iliiga kutoka MISRI ya KIPAGANI.
4/. HUYU MUHAMMAD [mwongo,laghai na muuaji];-->Aliibuliwa na mwanamke tajiri aliyepewa kazi na makasisi wa Catholic kumtafuta kijana jasiri apewe mafunzo maalum kisha atekeleze hiyo ajenda[maalum]ya kueneza hiyo propaganda ya Qur'an,[huyo mwanamke aliolewa na huyo Muhammad baadae akiwa na mri wa miaka 40+].
Nakushauri,jifunzeni/jizoesheni kuitafuta historia halisi ya imani yenu ili mtumie nguvu na muda wenu kihalali kuleta uzi unaoeleweka humu JF.
 
Naomba nikupongeze kwa kuhubiri Uislamu bila kunukuu vifungu vya Biblia kama ilivyo ada yenu.. Lakini ukweli bado utabaki palepale kuwa Uislamu ni dini ambayo haijakamilika.. Uislamu ni dini ambayo haijisimamii.. Uislamu ni dini ambayo bila kutaja Ukristu au Uyahudi bado ujumbe wake haueleweki.. Nahitimisha kwa kusema kuwa Uislamu ni upinzani dhidi ya Ukristu na Uyahudi..
 
Okay.. Why hizi dini nyingine mpka sasa hazijaangamia.. Hazijafutwa? Hawa walokole/Wakristo wasumbufu wakitumia jina la huyo Yesu wao wanapona.. Mapepo yanatoka ni science gani ipo nyuma?
 
Shida ni kwamba unaleta ujumbe kwa wasio waislam kwa kuweka ushahidi wa kuruani ambayo wasio waislamu hawaiamini. Kazi unayo ndugu yangu.
Tena kubwa sana,ni kama kuzuia shimo la panya kwa mkate.
 
YOHANA 5:36

Mimi siwezi kufanya kitu kwa uwezo wangu mwenyewe,mimi nina hukumu kama ninavyosikia kutoka kwa Baba,nayo hukumu yangu ni ya haki,nia yangu si kufanya nipendavyo mwenyewe bali apendavyo yule aliyenituma.
Hapa yesu aliposema baba amekusudia baba ake yupi

Thankshapa
 
Allah anasema yeye ni mmoja na hana mshirika,kwa nini katika kujitukuza ajitukuze kwa kutumia wingi?.Kwa nini asijitukuze kwa umoja aje kujitukuza kwa dhana ambayo yeye mwenyewe anaipinga?? Mfano tumeiteremsha hii quran juu ya milima ..kaiteremsha yeye na nani ?? Na kwa nini atumie wingi? Rais akitumia wingi ni sawa,kwa sababu ana idara na wizara zinazomsaidia je Allah ana mshirika mpaka atumie wingi?
 
A najitukuza kwa sababu yeye ndie alieumba kila na anaongoza dunia yote na vilivyomo . Kwa hivyo kutokana na nguvu hiyo, chochote anaweza kusema bila binaadam kuhoji
 
inaonyesha kuwa wale wanaofuata dini nyingine wako katika upotovu.
Siyo kweli. Haioneshi kuwa wale wanaoabudu tofauti na Muhamad wako katika upotovu. Kama inaonesha hivyo tuwekee hapa
 
A najitukuza kwa sababu yeye ndie alieumba kila na anaongoza dunia yote na vilivyomo . Kwa hivyo kutokana na nguvu hiyo, chochote anaweza kusema bila binaadam kuhoji
kwa hiyo ndio ajitukuze kwa wingi na wakati yeye anadai ni mmoja na hana mshirika?.Na ameamua kupingana na shahada kisa tu anajitukuza.Au labda mimi sielewi uje utuambie huu wingi unamaaisha nini?
 
Mungu wa kweli niyupi? Tumfuate? Maana umekalia propaganda propaganda taja Mungu wa kweli ni yupi? Tunamtaka
 
huu ni zaidi ya ijinga imani isiyo yako inakuhusu nini kwanza hivyo ni vitu viwili tofauti kabisa haviwezi kulinganishwa kwa namna yoyote jitafakari labda unachanganyikiwa.
 
Shida ni kwamba unaleta ujumbe kwa wasio waislam kwa kuweka ushahidi wa kuruani ambayo wasio waislamu hawaiamini. Kazi unayo ndugu yangu.
Ndio true meaning ya mental slavery hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…