Ujumbe huu kwa kila asiekuwa Muislam; Soma kabla ya hujafa

uislamu ni dini nzuri sana ukiondoa mambo ya kuagiza kuwaua wav wasio waislamu ati jihadi. Ukiondoa kusisitiza na kujenga chuki dhidi ya dini nyingine. Ukiondoa kuchochea ugaidi kwa ahadi ati ya kupewa mabikra 72.


@malaia2 mambo haya katika dini yenu yanafanya muonekane WANAFIKI na mawakala wa shetani na hua mkiambiwa mtoe ufafanuzi wa aya hizi za chuki hua mko kimya je hiyo inathibitisha nini ?!



@malaria2 toa ufafanuzi wa mafundisho haya vinginevyo tutolee hapa unafiki wenu na funga mdono wako ewe wakala wa shetani (aidha kwa kujua au kutokujua ila nyie ni mawakala wa shetani ibilisi)



 
Vita vya 1 na 2 vya dunia waliuaana wakiristo wala waislam hawahusiki
 
Quran
Quran yenyewe inadanganya
 
Katika Isaya 21:13-17, kuna utabiri unaohusishwa na Arabia na watu wa Kedari. Hapa ni tafsiri ya maandiko hayo na jinsi yanavyohusiana na utabiri wa Mtume Muhammad (S.A.W.W):

Isaya 21:13-17:

Tafsiri na Maelezo:

  1. Utabiri kuhusu Arabia:
    • “Hili ni neno zito lililo juu ya Arabia.” Aya hii inazungumzia habari kuhusu eneo la Arabia, ambalo ni sehemu kubwa ya eneo ambalo Mtume Muhammad (S.A.W.W) alizaliwa.
  2. Wadedani na Wenyeji wa Tema:
    • “Ninyi mtalala ndani ya msitu wa Arabuni, enyi Wadedani wenye kusafiri pamoja, Wenyeji wa nchi ya Tema walimletea maji yule aliyekuwa na kiu, walimlisha mkate wao yule aliyekimbia.” Wadedani na Wenyeji wa Tema ni makabila ya kiarabu. Hii inaonyesha kwamba kuna watu wa maeneo haya watakayekuwa na umuhimu katika utabiri huu.
  3. Utukufu wa Kedari:
    • “Huo utukufu wote wa Kedari utabatilika.” Kedari ilikuwa ni kabila la Waarabu, na aya hii inasema kwamba utukufu wao utabatilika. Hii inaweza kuashiria kupungua kwa nguvu na ushawishi wa kabila hili.
  4. Mashujaa wa Wana wa Kedari:
    • “Watakuwa ni wachache kwa maana Jehova, yeye Mwenyezi Mungu wa Israeli, amenena neno hili.” Wana wa Kedari, ambao walikuwa mashujaa wa Waarabu, watakuwa wachache. Hii inaweza kutabiri kupungua kwa nguvu ya kijeshi au ushawishi wa kabila hili katika siku zijazo.

Mtazamo wa Kiislamu kuhusu Utabiri huu:

Katika mtazamo wa Kiislamu, baadhi ya wafuasi wanaona aya hii kama utabiri wa kuja kwa Mtume Muhammad (S.A.W.W) kutokana na:

  1. Uhusiano wa Arabia na Uislamu:
    • Mtume Muhammad (S.A.W.W) alitokea Arabia, na Qur'ani inasema kwamba yeye ni mtume kwa watu wa eneo hilo.
  2. Kupungua kwa Utukufu wa Kedari:
    • Kabila la Kedari lilikuwa na nguvu katika eneo hilo, na kipindi baada ya kuja kwa Mtume Muhammad (S.A.W.W) kuliona kupungua kwa ushawishi wa kabila hili na kuenea kwa ujumbe wa Uislamu.
  3. Maji na Mkate kwa Yule Aliyekimbia:
    • Wakati wa kueneza ujumbe wa Uislamu, jamii zilipokea msaada kutoka kwa wengine, na hii inaweza kuashiria msaada wa kieneo na kiroho kwa Mtume Muhammad (S.A.W.W).

 
Lile dubwasha mnaloliinamia nani alilitengeneza? Tenda ilitoka kwa nani?
 
ndio lilobaki unalolojua, utakuwa umelala baa
Upo sahihi Jana Agosti 2 ilikuwa siku ya bia duniani. Nilikuwa nasheherekea na walipa Kodi wenzangu ili mpate pesa ya kufanya maendeleo
 
mood aliwadanganya sana kuleta kitabu cha uongo, kinachoruhusu kuchinja watu shingoni (kama wafanyavyo ISIS), kujitoa mhanga, ugaidi, kulala na vitoto vidogo (kama mood alivyofanya kwa aisha) n.k. kwa wakristo waliopo humu, msije mkajidanganya, dini ya kiislam ni dini ya uongo, wokovu upo kwa njia ya Yesu Kristo peke yake.
 
tutajieni dini nyingine yeyote duniani, inayoruhusu kuchinja mwanadamu shongoni kama haiamini dini hiyo? inayoita wengine makafiri, inayotoa ahadi ya mabikira 72 kwa wanaume, ila haitoi mabaunsa 72 kwa wanawake? taja hata moja tu. ni uislam peke yake.
 
Quran haisemi ichinje mtu shingoni. quran inasema ujilinde utapovamiwa au kulinda haki zako. hata biblia haijasema hivyo lakini Vita vya 1 na vya 2 na vuta vya mslaba viliwauwa wakiristo wengi duniani kuliko waislam. unabisha?
 
Quran haisemi ichinje mtu shingoni. quran inasema ujilinde utapovamiwa au kulinda haki zako. hata biblia haijasema hivyo lakini Vita vya 1 na vya 2 na vuta vya mslaba viliwauwa wakiristo wengi duniani kuliko waislam. unabisha?
hata usemeje, ukweli unabaki palepale, uislam ni ushetani, na sehemu yenu ni katika ziwa la moto. hata mioyo yenu inajua hilo.
 
hata usemeje, ukweli unabaki palepale, uislam ni ushetani, na sehemu yenu ni katika ziwa la moto. hata mioyo yenu inajua hilo.
Hata baadhi ya makafiri wakubwa wakisema - uislam ni ushetani, Uhuni, wehu, upuuzi- lkn siku walipojua ukweli wakawa wanaswali swala 5 na wanafunga, hio ndio kawaida watu kama nyinyi- akili yako na mtazamo wako huwezi kuubadilisha uislam. kikubwa ni kuombewa dunia upate nuru na uotoke katika giza
 
Quran haisemi ichinje mtu shingoni. quran inasema ujilinde utapovamiwa au kulinda haki zako. hata biblia haijasema hivyo lakini Vita vya 1 na vya 2 na vuta vya mslaba viliwauwa wakiristo wengi duniani kuliko waislam. unabisha?
Hakujawahi kuwapo vita ya kumpigania Kristo wala ukristo popote pale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…