Ujumbe kutoka kwa wanachama minority wa CHADEMA kwenda kwa mwenyekiti mpya Tundu Lissu

Ujumbe kutoka kwa wanachama minority wa CHADEMA kwenda kwa mwenyekiti mpya Tundu Lissu

Mohamed Abubakar

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2014
Posts
984
Reaction score
1,179
Baada ya CUF kusambaratika wako wanachama waliofatia Maalim Seif, (MwenyeziMungu amsamehe makosa yake) na kundi jengine lilikwenda kwa Mzee Lipumba. Kundi la tatu ambao pengine ni wachache ni kundi lile linaloamini 'You can only Fool some Pple some time, but you can't fool all the pple all the time.

Sisi wachache tusikubali kuburuzwa (bendera kufata upepo)tuliamini kama kweli Maalim Seif alikuwa mtaka mabadiliko angejiunga na chadema, kwasababu hoja ya Prof Lipumba kujitoa kwa muda CUF ktkt ya harakati za uchaguzi ilikuwa ni kuwapinga Chadema kumsimamisha Lowasa nafasi ya Urais.

Hivyo kama Lipumba hakuwa sahihi, ilibidi Maalim aungane na chadema. Lkn matokeo yake anajiunga na ACT.

Hivyo wote ACT na CUF walituthibitishia kuwa wanatumiwa na ccm kuvuruga Umoja wa wataka mabadiliko.

Lkn ktk uchaguzi wa Mwenyekiti Chadema tuliaminishwa kwa kuambiwa Mbowe nae anatumiwa na ccm kudhoofisha harakati kupitia mapesa ya Abdul.

Kwa hiyo sisi tuliamua kujiunga chadema haikuwa kwa bahati mbaya. Kwani hatukuamini kufata watu (wasaliti) bali sera. Na kwa kuwa trust imepungua kwa watu. Sera ya chadema ya majimbo yenye uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yetu wenyewe ilikuwa ndio suluhisho la taifa letu.

Titaiogopaje sera hii ambayo ngome ya mwambao ndio chanzo cha mapato ya nchi kwa zaidi ya 85%.

Vijana wa nchi hii kila kanda wanaona potential za kiuchumi za maeneo yao Lkn kikwazo ni mfumo wa Serikali Kuu.

Kwa utafiti nilioufanya mfumo sahihi wa serikali za majimbo tz ni kucopy na kupaste mfumo wa taifa la Switzerland.

Politics of Switzerland - Wikipedia

Nilifanya utafiti wa kuwauliza vijana wa jimboni kwa kwann wamekata tamaa kushiriki kupiga kura. Wengi walijibu. 'Hatutopiga Kura bali tutaungana na jukwaa lolote ambalo linatoa wito na wanahamasisha kugawana fito.

Wako tayari kuunga mkono jukwaa (chama) kinachotoa wito wa kugawana fito.

Kwamba hawamuamini mgombea yyt wa urais atoke huko anakotoka awaeleze anataka kuwatawala ili awaletee maendeleo. Hakuna wanaemuamini. Si Samia, Si Lissu, Si Magufuli kwa case ya 2020.

Nikasema kumbe watu wangu hawajui sera ya majimbo ya CHADEMA. Majimbo yatakayokuwa na Uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yake wenyewe, kiuchumi, kiutamaduni, kisiasa, kijamii ambapo wengi ktk jimbo/kanda husika ndio watunga sheria. Kwa kuanzia mamlaka ya mtaaa.

Kwamba Lissu au Samia anapogombea nafasi ya Urais anapokwa mamlaka yake yote ya kiunga waliyoanayo sasa na kuwa ni mfariji mkuu tu. Kama sasa alivyo Rais wa JMT akienda Znz. Anakuwa hana mamlaka yyt kwa Znz. Case study nyingine ni Rais za Ethiophia.

Sera ya majimbo yenye uhuru zaidi wa majimbo (kanda) kujiamulia mambo yao wenyewe ni mfumo bora zaidi wa muungano kwa tz, EA, afrika. Na ndilo kimbilio la mataifa yote duniani yaliyoungana.

Ni Muungano wa safaru pekee. Sio jeshi, Sio nini.

Sasa nirudi kwenye msingi wa andiko.

Baada ya uchaguzi wa kumtafuta Mwenyekiti wa chadema moja ya ajenda ya mabadiliko ya uongozi mpya wa chadema aliohubiri Lissu ni kuunganisha majukwaa yote ya wapenda mabadiliko.

Bahati mbaya sana, mimi au sisi watu wa ukanda wa mwamvai kama ngome ya wapenda mabadiliko. kwa kuzingatia propaganda za CCM na ACT kuwa CHADEMA ni chama cha Udini na ukanda. Tulitegemea sana uongozi mpya ungekuja kukata hizi cheap propaganda kwa kuunganisha uongozi wa juu na majukwaa haya hasa makubwa. Nazungumzia jukwaa au ngome ya Watu wa mwambao.

Hali iliyojitokeza baada ya uchaguzi ni kama ulikuwa ni uchaguzi wa kutafuta domination kati ya KKKT na Catholic Tz.

Na kwamba kwa maumivu makubwa Catholic wameamua kudominate nafasi zote za juu za chadema.

Kuanzia nafasi za kuchaguliwa na kuteuliwa. Tunajiuliza sisi minority ktk chama lkn majority ktk population ya Tz, ni bahati mbaya au walipanga.

Sisi kama watu wa mwambao Uwakilishi wetu uko wapi chadema. Kwamba wanaamini kabisa sisi tunaweza kupanga foleni ya kupiga kura kuchagua watu wa tabaka moja. Hivi ni kweli inteligensia ya chadema hawakuliona hilo.

Au ni mkakati Maalum wa Mwenyekiti Mpya wa kuwapa Waislam minority ndani ya chama mkono wa kwa heri ili wapeleke nguvu zao kwa chama kilichojiandaa kuwa ngome kuu ya ukanda wa pwani hata kama ni ccm B .

Mwenyekiti Lissu kapoteza nafasi hii adhimu ya kuyaunganisha majukwa nchini. Na kwamba chama kitamshinda mapema sana.

Nipo tayari kusahihishwa ili niweze kurejesha imani yangu kwa chadema. Na ninaamini imani hii ndio imani ya walio wengi ambao kwasasa wamesusa kabisa mambo ya kupiga kura.

Matamanio yangu kwasasa yanavutiwa na CHAUMMA
 
Baada ya CUF kusambaratika wako wanachama waliofatia Maalim Seif, (MwenyeziMungu amsamehe makosa yake) na kundi jengine nilikwenda kwa Mzee Lipumba. Kundi la tatu ambao pengine ni wachache ni kundi lile linaloamini You can only Fool some Pple some time, but you cant fool all the pple all the time.

Sisi tuliamini uchaguzi sahihi wa Maalim Seif kama kweli alikuwa mtaka mabadiliko angejiunga na chadema, kwasababu hoja ya Prof Lipumba kujitoa kwa muda CUF ilikuwa ni kuwapinga Chadema kumsimamisha Lowasa nafasi ya Urais. Hivyo kama Lipumba hakuwa sahihi, ilibidi Maalim aungane na chadema. Na matokeo yake anajiunga na ACT.

Hivyo wote ACT na CUF walithibitisha kuwa wanatumiwa na ccm kuvuruga Umoja.

Lkn ktk uchaguzi wa Mwenyekiti Chadema tuliaminishwa kwa kuambiwa Mbowe nae anatumiwa na ccm kudhoofisha harakati. Kupitia mapesa ya Abdul.

Kwa hiyo kujiunga kwetu chadema hakukuwa kwa bahati mbaya. Na hasa tunaendelea kufutwa na sera yake ya majimbo yenye uhuru zaid wa kujiamulia mambo yetu wenyewe.

Titaiogopaje sera hii ambayo ngome ya mwambao ndio chanzo cha mapato ya nchi kwa zaidi ya 85%.

vijana wa nchi hii kila kanda wanaona potential za kiuchumi za maeneo yao. Lkn kikwazo ni mfumo wa serikali kuu.

Kwa utafiti nilioufanya mfumo sahihi wa serikali za majimbo tz ni kucopy na kupaste mfumo wa taifa la Switzerland. Politics of Switzerland - Wikipedia

Nilifanya utafiti wa kuwauliza vijana wa jimboni kwa kwann wamekata tamaa wengi kushiriki kupiga kura. Wenhi walijibu. 'Hatutopiga Kura bali tutaungana na jukwaa ambalo wanahamasisha kugawana fito tu. Wako tayari kuunga mkono jukwaa (chama) kinachotoa wito wa kugawana fito.

Kwamba hawamuamini mgombea yyt wa urais atoke huko anakotoka awaeleze anataka kuwatawala ili awaletee maendeleo. Hakuna wanaemuamini. Si Samia, Si Lissu, Si Magufuli kwa case ya 2020.

Nikasema kumbe watu wangu hawajui sera ya majimbo ya CHADEMA. Majimbo yatakayokuwa na Uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yake wenyewe. Kwamba Lissu au Samia anapogombea nafasi ya Urais anapokwa mamlaka yake yote na kuwa ni mfariji mkuu pekee. Kama sasa alivyo Rais wa JMT akienda Znz. Anakuwa hana mamlaka yyt kwa Znz. Case study nyingine ni Rais za Ethiophia.

Sera ya majimbo yenye uhuru zaidi wa majimbo (kanda) kujiamulia mambo yao wenyewe ni mfumo bora zaidi wa muungani kwa tz, EA, afrika. Na ndilo kimbilio la mataifa yote duniani yaliyoungana.

Tofauti na Uswisi Muungano wa Watanzania unapaswa kuwa wa safaru pekee. Sio jeshi sio nini.

Sasa nirudi kwenye msingi wa andiko.

Baada ya uchaguzi wa kumtafuta Mwenyekiti wa chadema moja ya mabadiliko ya uongozi mpya wa chadema chini ya Lisu ni kuunganisha majukwaa yote ya wapenda mabadiliko.

Bahati mbaya sana, mimi au sisi Waislam kama ngome ya wapenda mabadiliko tulio mwambao wa Tanzania, kwa kuzingatia propaganda za CCM na ACT kuwa CHADEMA ni chama cha Udini na ukanda. Tulitegemea sana uongozi mpya ungekuja kukata hizi cheap propaganda kwa kuunganisha uongozi wa juu na majukwaa haya hasa makubwa. Nazungumzia jukwaa au ngome ya Watu wa mwambao.

Hali iliyojitokeza baada ya uchaguzi ni kama ulikuwa ni uchaguzi wa kutafuta domination kati ya KKKT na Catholic Tz.

Na kwamba kwa maumivu makubwa Catholic wameamua kudominate nafasi zote za juu za chadema.

Kuanzia nafasi za kuchaguliwa na kuteuliwa. Tunajiuliza sisi minority ktk chama lkn majority ktk population ya Tz, ni bahati mbaya au walipanga.

Sisi kama Waislam Uwakilishi wetu uko wapi chadema. Kwamba wanaamini kabisa sisi tunaweza kupanga foleni ya kupiga kura kuchagua watu wa dini moja. Hivi ni kweli inteligensia ya chadema hawakuliona hilo.

Au ni mkakati Maalum wa Mwenyekiti Mpya wa kuwapa Waislam minority ndani ya chama mkono wa kwa heri ili wapeleke nguvu zao kwa chama kingine .

Chadema Lissu kapoteza nafasi hii madhumu ya kuunamhanisha majukwa nchini. Na kwamba chama kitamshinda mapema sana.

Nipo tayari kusahihishwa ili niweze kurejesha imani yangu kwa chadema. Na ninaamini imani hii ndio imani ya walio wengi ambao kwasasa wamesusa kabisa mambo ya kupiga kura.

Matamanio yangu kwasasa yanavutiwa na CHAUMMA
Duh. Umeona?
Lissu
Heche
Mnyika
Naibu bara
Lema
Mwanasheria wa chama
Wajumbe wa kamati kuu
 
Baada ya CUF kusambaratika wako wanachama waliofatia Maalim Seif, (MwenyeziMungu amsamehe makosa yake) na kundi jengine lilikwenda kwa Mzee Lipumba. Kundi la tatu ambao pengine ni wachache ni kundi lile linaloamini 'You can only Fool some Pple some time, but you can't fool all the pple all the time.

Sisi wachache tusikubali kuburuzwa (bendera kufata upepo)tuliamini kama kweli Maalim Seif alikuwa mtaka mabadiliko angejiunga na chadema, kwasababu hoja ya Prof Lipumba kujitoa kwa muda CUF ktkt ya harakati za uchaguzi ilikuwa ni kuwapinga Chadema kumsimamisha Lowasa nafasi ya Urais.

Hivyo kama Lipumba hakuwa sahihi, ilibidi Maalim aungane na chadema. Lkn matokeo yake anajiunga na ACT.

Hivyo wote ACT na CUF walituthibitishia kuwa wanatumiwa na ccm kuvuruga Umoja wa wataka mabadiliko.

Lkn ktk uchaguzi wa Mwenyekiti Chadema tuliaminishwa kwa kuambiwa Mbowe nae anatumiwa na ccm kudhoofisha harakati kupitia mapesa ya Abdul.

Kwa hiyo sisi tuliamua kujiunga chadema haikuwa kwa bahati mbaya. Kwani hatukuamini kufata watu (wasaliti) bali sera. Na kwa kuwa trust imepungua kwa watu. Sera ya chadema ya majimbo yenye uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yetu wenyewe ilikuwa ndio suluhisho la taifa letu.

Titaiogopaje sera hii ambayo ngome ya mwambao ndio chanzo cha mapato ya nchi kwa zaidi ya 85%.

Vijana wa nchi hii kila kanda wanaona potential za kiuchumi za maeneo yao Lkn kikwazo ni mfumo wa Serikali Kuu.

Kwa utafiti nilioufanya mfumo sahihi wa serikali za majimbo tz ni kucopy na kupaste mfumo wa taifa la Switzerland.

Politics of Switzerland - Wikipedia

Nilifanya utafiti wa kuwauliza vijana wa jimboni kwa kwann wamekata tamaa kushiriki kupiga kura. Wengi walijibu. 'Hatutopiga Kura bali tutaungana na jukwaa lolote ambalo linatoa wito na wanahamasisha kugawana fito.

Wako tayari kuunga mkono jukwaa (chama) kinachotoa wito wa kugawana fito.

Kwamba hawamuamini mgombea yyt wa urais atoke huko anakotoka awaeleze anataka kuwatawala ili awaletee maendeleo. Hakuna wanaemuamini. Si Samia, Si Lissu, Si Magufuli kwa case ya 2020.

Nikasema kumbe watu wangu hawajui sera ya majimbo ya CHADEMA. Majimbo yatakayokuwa na Uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yake wenyewe, kiuchumi, kiutamaduni, kisiasa, kijamii ambapo wengi ktk jimbo/kanda husika ndio watunga sheria. Kwa kuanzia mamlaka ya mtaaa.

Kwamba Lissu au Samia anapogombea nafasi ya Urais anapokwa mamlaka yake yote ya kiunga waliyoanayo sasa na kuwa ni mfariji mkuu tu. Kama sasa alivyo Rais wa JMT akienda Znz. Anakuwa hana mamlaka yyt kwa Znz. Case study nyingine ni Rais za Ethiophia.

Sera ya majimbo yenye uhuru zaidi wa majimbo (kanda) kujiamulia mambo yao wenyewe ni mfumo bora zaidi wa muungano kwa tz, EA, afrika. Na ndilo kimbilio la mataifa yote duniani yaliyoungana.

Ni Muungano wa safaru pekee. Sio jeshi, Sio nini.

Sasa nirudi kwenye msingi wa andiko.

Baada ya uchaguzi wa kumtafuta Mwenyekiti wa chadema moja ya ajenda ya mabadiliko ya uongozi mpya wa chadema aliohubiri Lissu ni kuunganisha majukwaa yote ya wapenda mabadiliko.

Bahati mbaya sana, mimi au sisi watu wa ukanda wa mwamvai kama ngome ya wapenda mabadiliko. kwa kuzingatia propaganda za CCM na ACT kuwa CHADEMA ni chama cha Udini na ukanda. Tulitegemea sana uongozi mpya ungekuja kukata hizi cheap propaganda kwa kuunganisha uongozi wa juu na majukwaa haya hasa makubwa. Nazungumzia jukwaa au ngome ya Watu wa mwambao.

Hali iliyojitokeza baada ya uchaguzi ni kama ulikuwa ni uchaguzi wa kutafuta domination kati ya KKKT na Catholic Tz.

Na kwamba kwa maumivu makubwa Catholic wameamua kudominate nafasi zote za juu za chadema.

Kuanzia nafasi za kuchaguliwa na kuteuliwa. Tunajiuliza sisi minority ktk chama lkn majority ktk population ya Tz, ni bahati mbaya au walipanga.

Sisi kama watu wa mwambao Uwakilishi wetu uko wapi chadema. Kwamba wanaamini kabisa sisi tunaweza kupanga foleni ya kupiga kura kuchagua watu wa tabaka moja. Hivi ni kweli inteligensia ya chadema hawakuliona hilo.

Au ni mkakati Maalum wa Mwenyekiti Mpya wa kuwapa Waislam minority ndani ya chama mkono wa kwa heri ili wapeleke nguvu zao kwa chama kilichojiandaa kuwa ngome kuu ya ukanda wa pwani hata kama ni ccm B .

Mwenyekiti Lissu kapoteza nafasi hii adhimu ya kuyaunganisha majukwa nchini. Na kwamba chama kitamshinda mapema sana.

Nipo tayari kusahihishwa ili niweze kurejesha imani yangu kwa chadema. Na ninaamini imani hii ndio imani ya walio wengi ambao kwasasa wamesusa kabisa mambo ya kupiga kura.

Matamanio yangu kwasasa yanavutiwa na CHAUMMA
Mkuu tupe mfano tujifunze kutoka kwako, wewe ulitakaje?.
 
Safari bado ni ndefu. Lazima tusome vp watz tumechongwa. Wakoloni walichonga na kugawa na dini. Hivyo inteligensia za vyama lazima zipelekwe hivyo ili kuongeza ushawishi kwa makundi yote au yale makubwa
Ni mtazamo wako wa udini, hamkukatazwa kugombea nafasi za juu za uongozi wa CHADEMA. Na wale wanapata ushawishi hakuna yeyote aliyetumia influence ya imani yake.

Sijakusikia ukisema viongozi wengi wakuu wa ACT ni waislamu na hakuna aliyelalamika. Ni argument ya kipuuzi maana hata huku pwani wakristo na dini nyingine wako wengi tu.

Unajua nini? Mna INFERIORITY COMPLEX. Haiwezi kuwaacha salama
 
Mkuu tupe mfano tujifunze kutoka kwako, wewe ulitakaje?.
Nilitaka Mwenyekiti na Chawa wale waweze kuona vinavyopaswa kuonwa sawa na lengo alilojipambanua halo Mwenyekti. Kuunganisha majukwaa ktk kuleta mabadiliko ya utawala.

Kwa ufupi nilimshari mwenyekiti achague katibu mkuu Muoslam na ingewezekana naibu katibu mkuu wake. Na nilipendekeza Sheikh Ponda angekuwa katibu mkuu wa chadema.

Lkn hajachelewa kwa msaada wa idara ya intelijensia ya chadema wanapaswa kufanya utafiti wa muislam gani awe mgombea Urais. Anaweza pia kuleta OMo wa ACT au Prof Njozi wa Mum kuwa mgombea Urais wa JMT

Kinyume cha hapo falsafa ya nguvu ya umma, au strong together itaishia kwenye mabango tu.
 
Huo ni mtazamo wako, hoja huna, wengine hatuamini hivyo.
Nazungumzia vipi chadema inaweza kuongeza ushawishi ukanda wa pwani.

Kinyume chake chadema wajadili kushika dola wakati ambapo haina uwakilishi kwa watu wa ukanda wa pwani.
 
Ni mtazamo wako wa udini, hamkukatazwa kugombea nafasi za juu za uongozi wa CHADEMA. Na wake wanapata ushawishi hakuna yeyote aliyetumia influence ya imani yake.

Sijakusikia ukisema viongozi wengi wakuu wa ACT ni waislamu na hakuna aliyelalamika. Ni argument ya kipuuzi maana hata huku pwani wakristo na dini nyingine wako wengi tu.

Unajua nini? Mna INFERIORITY COMPLEX. Haiwezi kuwaacha salama
Huwezi nielewa kama si ktk think tank. Hatuhitaji Authority CHADEMA. Sisi watu wa pwani hatuamini ktk kugombea vyeo. Bali tunaamini ktk Ligitimacy (uhalali).



Legitimacy ni kukubalika na kupata mamlaka kutoka kwa watu wa kawaida wa jamii fulani wale wanaoongozwa.

Uhalali unahusisha masuala ya imani, na ridhaa ya watu, hata kama mamlaka hayo yanaungwa mkono na katiba za taasisi.

Uhalali ni bora kuliko Mamlaka na vyeo.

Uhalali ni wa muhimu kwa sababu hujenga uaminifu na mshikamano kati yako na wale wanaoongozwa.

Mwenyekiti ana mamlaka na Mamlaka isiyo na uhalali hupoteza imani ya watu na inaweza kusababisha kukataliwa.

Lissu atakataliwa ukanda wa pwani kwa sababu kaonyesha upendeleo ulio dhahiri. Upendeleo si kwa watu wa pwani tu bali kuna manung'uniko ya team FEM kutengwa.


Lissu anahitaji kura za watu wa pwani. Na chaguo lilobaki ni moja kuungana na ACT na kuwaachia kiti cha Urais.

Sisi kama wafuasi minority ndani ya chadema kwasasa tuko dilemma kwa kuwa hatuna nguvu tena ya kuwashawishi jamii yetu kwa kuwa mtazamo wa jamii yetu wanataka kuona uwakilishi wa watu wao.

Mimi ni mpenda mabadiliko nikiingia mkono sera ya majimbo yenye uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yake wenye. Na naelewa vzr sana. Na kabla ya uchaguzi nilikuwa nafanya kampeni kwa viongozi wa kidini kuielewa dhana hii ili waweze kuinga mkono. Nikielewa tokea awamu wanaituhumu chadema na udini. Sasa kwa teuzi za mwenyekiti waliofanya nimebaki speachless
 
Huo ni mtazamo wako, hoja huna, wengine hatuamini hivyo.
Cdm wameingia kwenye mtego kirahisi mno

waamini wasiamini swala hili litawaathiri pakubwa sana kimahesabu ccm madhaifu ya udini, ukanda,uchache wa fehdha nidham mbovu za wanachama Kwa viongozi na uropokaji ovyo wa viongozi wa sasa wa cdm

Ccm itayafanyia KAZI madhaifu haya na kuimaliz cdm kwenye uchaguzi ujao
Kila mfatiliaji wa siasa za uchaguzi wa viongozi wa taifa cdm na akiwa anaitakia mema nchi hii atakua na swali anajiuliza kichwani mwake.
Katibu wa Baraza la maasikofu Kitima ana ajenda Gani kukaa vikao vya Siri kupatanisha na kuwatak FAM na TAL wakubaliane nani agombee nafasi ya m/kiti na nani agombee uraisi 2025,
Kitima huyu huyu amepata kushutumiwa kutoa kauli tata zidi ya viongozi na uongozi wa serekali.
Jee? cdm wana ajenda ya chini Kwa chini ya udini kuendeaha chama Chao.

Kwa kudhihirisha udini wa cdm angalia viongoz wa juu wa chama hich pasina kuona aibu cdm ukiangalia utagundua wte viongoz wa sasa dhehebu Moja na hata kutozingatia usawa uongozi kikanda na kijinsia.
Cdm wamelkoroga Watanzania tumesha waelewa ni chama Cha udini na ukanda sio chama kinozingatia umoja wa watanzania
 
Nazungumzia vipi chadema inaweza kuongeza ushawishi ukanda wa pwani.

Kinyume chake chadema wajadili kushika dola wakati ambapo haina uwakilishi kwa watu wa ukanda wa pwani.
Kwani watu wanachaguliwa kwa kanda au sifa? Muanze kuwa mnatumia akili wakati mwingine na kuepuka infiriority complex. Watanzania hawaangalii rangi ya paka. Wanaangalia paka atakayeshika panya
 
Nilitaka Mwenyekiti na Chawa wale waweze kuona vinavyopaswa kuonwa sawa na lengo alilojipambanua halo Mwenyekti. Kuunganisha majukwaa ktk kuleta mabadiliko ya utawala.

Kwa ufupi nilimshari mwenyekiti achague katibu mkuu Muoslam na ingewezekana naibu katibu mkuu wake. Na nilipendekeza Sheikh Ponda angekuwa katibu mkuu wa chadema.

Lkn hajachelewa kwa msaada wa idara ya intelijensia ya chadema wanapaswa kufanya utafiti wa muislam gani awe mgombea Urais. Anaweza pia kuleta OMo wa ACT au Prof Njozi wa Mum kuwa mgombea Urais wa JMT

Kinyume cha hapo falsafa ya nguvu ya umma, au strong together itaishia kwenye mabango tu.
Kwa mtazamo wako wa udini ila watanzania walio wengi hawana akili za udini, na CHADEMA haikupata mafanikio kwa udini, na hata maana ya stronger together haina maana ya kuunganisha makundi ya dini.

Ni uendawazimu kushauri sheikh Ponda apewe ukatibu mkuu kwa ajili ya uislamu wake, nampongeza Lissu kwa kutofuata ushauti wa kijinga.
 
Baada ya CUF kusambaratika wako wanachama waliofatia Maalim Seif, (MwenyeziMungu amsamehe makosa yake) na kundi jengine lilikwenda kwa Mzee Lipumba. Kundi la tatu ambao pengine ni wachache ni kundi lile linaloamini 'You can only Fool some Pple some time, but you can't fool all the pple all the time.

Sisi wachache tusikubali kuburuzwa (bendera kufata upepo)tuliamini kama kweli Maalim Seif alikuwa mtaka mabadiliko angejiunga na chadema, kwasababu hoja ya Prof Lipumba kujitoa kwa muda CUF ktkt ya harakati za uchaguzi ilikuwa ni kuwapinga Chadema kumsimamisha Lowasa nafasi ya Urais.

Hivyo kama Lipumba hakuwa sahihi, ilibidi Maalim aungane na chadema. Lkn matokeo yake anajiunga na ACT.

Hivyo wote ACT na CUF walituthibitishia kuwa wanatumiwa na ccm kuvuruga Umoja wa wataka mabadiliko.

Lkn ktk uchaguzi wa Mwenyekiti Chadema tuliaminishwa kwa kuambiwa Mbowe nae anatumiwa na ccm kudhoofisha harakati kupitia mapesa ya Abdul.

Kwa hiyo sisi tuliamua kujiunga chadema haikuwa kwa bahati mbaya. Kwani hatukuamini kufata watu (wasaliti) bali sera. Na kwa kuwa trust imepungua kwa watu. Sera ya chadema ya majimbo yenye uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yetu wenyewe ilikuwa ndio suluhisho la taifa letu.

Titaiogopaje sera hii ambayo ngome ya mwambao ndio chanzo cha mapato ya nchi kwa zaidi ya 85%.

Vijana wa nchi hii kila kanda wanaona potential za kiuchumi za maeneo yao Lkn kikwazo ni mfumo wa Serikali Kuu.

Kwa utafiti nilioufanya mfumo sahihi wa serikali za majimbo tz ni kucopy na kupaste mfumo wa taifa la Switzerland.

Politics of Switzerland - Wikipedia

Nilifanya utafiti wa kuwauliza vijana wa jimboni kwa kwann wamekata tamaa kushiriki kupiga kura. Wengi walijibu. 'Hatutopiga Kura bali tutaungana na jukwaa lolote ambalo linatoa wito na wanahamasisha kugawana fito.

Wako tayari kuunga mkono jukwaa (chama) kinachotoa wito wa kugawana fito.

Kwamba hawamuamini mgombea yyt wa urais atoke huko anakotoka awaeleze anataka kuwatawala ili awaletee maendeleo. Hakuna wanaemuamini. Si Samia, Si Lissu, Si Magufuli kwa case ya 2020.

Nikasema kumbe watu wangu hawajui sera ya majimbo ya CHADEMA. Majimbo yatakayokuwa na Uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yake wenyewe, kiuchumi, kiutamaduni, kisiasa, kijamii ambapo wengi ktk jimbo/kanda husika ndio watunga sheria. Kwa kuanzia mamlaka ya mtaaa.

Kwamba Lissu au Samia anapogombea nafasi ya Urais anapokwa mamlaka yake yote ya kiunga waliyoanayo sasa na kuwa ni mfariji mkuu tu. Kama sasa alivyo Rais wa JMT akienda Znz. Anakuwa hana mamlaka yyt kwa Znz. Case study nyingine ni Rais za Ethiophia.

Sera ya majimbo yenye uhuru zaidi wa majimbo (kanda) kujiamulia mambo yao wenyewe ni mfumo bora zaidi wa muungano kwa tz, EA, afrika. Na ndilo kimbilio la mataifa yote duniani yaliyoungana.

Ni Muungano wa safaru pekee. Sio jeshi, Sio nini.

Sasa nirudi kwenye msingi wa andiko.

Baada ya uchaguzi wa kumtafuta Mwenyekiti wa chadema moja ya ajenda ya mabadiliko ya uongozi mpya wa chadema aliohubiri Lissu ni kuunganisha majukwaa yote ya wapenda mabadiliko.

Bahati mbaya sana, mimi au sisi watu wa ukanda wa mwamvai kama ngome ya wapenda mabadiliko. kwa kuzingatia propaganda za CCM na ACT kuwa CHADEMA ni chama cha Udini na ukanda. Tulitegemea sana uongozi mpya ungekuja kukata hizi cheap propaganda kwa kuunganisha uongozi wa juu na majukwaa haya hasa makubwa. Nazungumzia jukwaa au ngome ya Watu wa mwambao.

Hali iliyojitokeza baada ya uchaguzi ni kama ulikuwa ni uchaguzi wa kutafuta domination kati ya KKKT na Catholic Tz.

Na kwamba kwa maumivu makubwa Catholic wameamua kudominate nafasi zote za juu za chadema.

Kuanzia nafasi za kuchaguliwa na kuteuliwa. Tunajiuliza sisi minority ktk chama lkn majority ktk population ya Tz, ni bahati mbaya au walipanga.

Sisi kama watu wa mwambao Uwakilishi wetu uko wapi chadema. Kwamba wanaamini kabisa sisi tunaweza kupanga foleni ya kupiga kura kuchagua watu wa tabaka moja. Hivi ni kweli inteligensia ya chadema hawakuliona hilo.

Au ni mkakati Maalum wa Mwenyekiti Mpya wa kuwapa Waislam minority ndani ya chama mkono wa kwa heri ili wapeleke nguvu zao kwa chama kilichojiandaa kuwa ngome kuu ya ukanda wa pwani hata kama ni ccm B .

Mwenyekiti Lissu kapoteza nafasi hii adhimu ya kuyaunganisha majukwa nchini. Na kwamba chama kitamshinda mapema sana.

Nipo tayari kusahihishwa ili niweze kurejesha imani yangu kwa chadema. Na ninaamini imani hii ndio imani ya walio wengi ambao kwasasa wamesusa kabisa mambo ya kupiga kura.

Matamanio yangu kwasasa yanavutiwa na CHAUMMA
Si uende huko chauma shida ni nini?
 
Kwa mtazamo wako wa udini ila watanzania walio wengi hawana akili za udini, na CHADEMA haikupata mafanikio kwa udini, na hata maana ya stronger together haina maana ya kuunganisha makundi ya dini.

Ni uendawazimu kushauri sheikh Ponda apewe ukatibu mkuu kwa ajili ya uislamu wake, nampongeza Lissu kwa kutofuata ushauti wa kijinga.
Akili ndogo. Dini si udini. Dini ni jukwaa. Ndio maana hata Lissu na Mbowe walisuluhishwa na viongozi wa dini. Hivyo kuweka legitimacy yao.
 
Back
Top Bottom