Mohamed Abubakar
JF-Expert Member
- Jun 26, 2014
- 984
- 1,179
- Thread starter
- #101
Subiri muda uongee.Sheikh Issa Ponda ana elimu kiasi gani mpaka awe katibu mkuu wa chama cha siasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subiri muda uongee.Sheikh Issa Ponda ana elimu kiasi gani mpaka awe katibu mkuu wa chama cha siasa.
Wacha muda utaongeamkuu waislamu wanaoshabikia CHADEMA wengi wana tatizo la kutokujielewa
Tengeneza mfumo Uslamu basi ukunyanyueMimi ni muislam Minority chadema.
Ubaduguzi wa ccm kwa waislam, kuwadhulu na kuwatumia sheria kali dhiki ya waislam ndio sababu ya waislam wengi kuchukua ccm. Kwass SISIEM inachukua madaraka kwa wizi. Si kwa ridhaa ya wananchi. Kimbilio ni chama kikuu cha upinzani chadema. Lkn mbona sasa nayo ni wabaguzi kama ccm. Mfumo kristo, Mfumo Kristo ni anguko
Ndugu unaujua mfumo wa kiislam. Ninaakini ukisikia misingi yake utaupigania Ukutswale.Tengeneza mfumo Uslamu basi ukunyanyue
Ndugu unaujua mfumo wa kiislam. Ninaakini ukisikia misingi yake utaupigania Ukutswale.Tengeneza mfumo Uslamu basi ukunyanyue
Sheikh Issa Ponda ana elimu kiasi gani hata kupewa majukumu makubwa ya Katibu mkuu wa chama cha siasa?.Subiri muda uongee.
Umeandika vizuri, lakini ulipoingiza Catholic, KKKT umeniacha hoi.Baada ya CUF kusambaratika wako wanachama waliofatia Maalim Seif, (MwenyeziMungu amsamehe makosa yake) na kundi jengine lilikwenda kwa Mzee Lipumba. Kundi la tatu ambao pengine ni wachache ni kundi lile linaloamini 'You can only Fool some Pple some time, but you can't fool all the pple all the time.
Sisi wachache tusikubali kuburuzwa (bendera kufata upepo)tuliamini kama kweli Maalim Seif alikuwa mtaka mabadiliko angejiunga na chadema, kwasababu hoja ya Prof Lipumba kujitoa kwa muda CUF ktkt ya harakati za uchaguzi ilikuwa ni kuwapinga Chadema kumsimamisha Lowasa nafasi ya Urais.
Hivyo kama Lipumba hakuwa sahihi, ilibidi Maalim aungane na chadema. Lkn matokeo yake anajiunga na ACT.
Hivyo wote ACT na CUF walituthibitishia kuwa wanatumiwa na ccm kuvuruga Umoja wa wataka mabadiliko.
Lkn ktk uchaguzi wa Mwenyekiti Chadema tuliaminishwa kwa kuambiwa Mbowe nae anatumiwa na ccm kudhoofisha harakati kupitia mapesa ya Abdul.
Kwa hiyo sisi tuliamua kujiunga chadema haikuwa kwa bahati mbaya. Kwani hatukuamini kufata watu (wasaliti) bali sera. Na kwa kuwa trust imepungua kwa watu. Sera ya chadema ya majimbo yenye uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yetu wenyewe ilikuwa ndio suluhisho la taifa letu.
Titaiogopaje sera hii ambayo ngome ya mwambao ndio chanzo cha mapato ya nchi kwa zaidi ya 85%.
Vijana wa nchi hii kila kanda wanaona potential za kiuchumi za maeneo yao Lkn kikwazo ni mfumo wa Serikali Kuu.
Kwa utafiti nilioufanya mfumo sahihi wa serikali za majimbo tz ni kucopy na kupaste mfumo wa taifa la Switzerland.
Politics of Switzerland - Wikipedia
Nilifanya utafiti wa kuwauliza vijana wa jimboni kwa kwann wamekata tamaa kushiriki kupiga kura. Wengi walijibu. 'Hatutopiga Kura bali tutaungana na jukwaa lolote ambalo linatoa wito na wanahamasisha kugawana fito.
Wako tayari kuunga mkono jukwaa (chama) kinachotoa wito wa kugawana fito.
Kwamba hawamuamini mgombea yyt wa urais atoke huko anakotoka awaeleze anataka kuwatawala ili awaletee maendeleo. Hakuna wanaemuamini. Si Samia, Si Lissu, Si Magufuli kwa case ya 2020.
Nikasema kumbe watu wangu hawajui sera ya majimbo ya CHADEMA. Majimbo yatakayokuwa na Uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yake wenyewe, kiuchumi, kiutamaduni, kisiasa, kijamii ambapo wengi ktk jimbo/kanda husika ndio watunga sheria. Kwa kuanzia mamlaka ya mtaaa.
Kwamba Lissu au Samia anapogombea nafasi ya Urais anapokwa mamlaka yake yote ya kiunga waliyoanayo sasa na kuwa ni mfariji mkuu tu. Kama sasa alivyo Rais wa JMT akienda Znz. Anakuwa hana mamlaka yyt kwa Znz. Case study nyingine ni Rais za Ethiophia.
Sera ya majimbo yenye uhuru zaidi wa majimbo (kanda) kujiamulia mambo yao wenyewe ni mfumo bora zaidi wa muungano kwa tz, EA, afrika. Na ndilo kimbilio la mataifa yote duniani yaliyoungana.
Ni Muungano wa safaru pekee. Sio jeshi, Sio nini.
Sasa nirudi kwenye msingi wa andiko.
Baada ya uchaguzi wa kumtafuta Mwenyekiti wa chadema moja ya ajenda ya mabadiliko ya uongozi mpya wa chadema aliohubiri Lissu ni kuunganisha majukwaa yote ya wapenda mabadiliko.
Bahati mbaya sana, mimi au sisi watu wa ukanda wa mwamvai kama ngome ya wapenda mabadiliko. kwa kuzingatia propaganda za CCM na ACT kuwa CHADEMA ni chama cha Udini na ukanda. Tulitegemea sana uongozi mpya ungekuja kukata hizi cheap propaganda kwa kuunganisha uongozi wa juu na majukwaa haya hasa makubwa. Nazungumzia jukwaa au ngome ya Watu wa mwambao.
Hali iliyojitokeza baada ya uchaguzi ni kama ulikuwa ni uchaguzi wa kutafuta domination kati ya KKKT na Catholic Tz.
Na kwamba kwa maumivu makubwa Catholic wameamua kudominate nafasi zote za juu za chadema.
Kuanzia nafasi za kuchaguliwa na kuteuliwa. Tunajiuliza sisi minority ktk chama lkn majority ktk population ya Tz, ni bahati mbaya au walipanga.
Sisi kama watu wa mwambao Uwakilishi wetu uko wapi chadema. Kwamba wanaamini kabisa sisi tunaweza kupanga foleni ya kupiga kura kuchagua watu wa tabaka moja. Hivi ni kweli inteligensia ya chadema hawakuliona hilo.
Au ni mkakati Maalum wa Mwenyekiti Mpya wa kuwapa Waislam minority ndani ya chama mkono wa kwa heri ili wapeleke nguvu zao kwa chama kilichojiandaa kuwa ngome kuu ya ukanda wa pwani hata kama ni ccm B .
Mwenyekiti Lissu kapoteza nafasi hii adhimu ya kuyaunganisha majukwa nchini. Na kwamba chama kitamshinda mapema sana.
Nipo tayari kusahihishwa ili niweze kurejesha imani yangu kwa chadema. Na ninaamini imani hii ndio imani ya walio wengi ambao kwasasa wamesusa kabisa mambo ya kupiga kura.
Matamanio yangu kwasasa yanavutiwa na CHAUMMA
Ukichaa at it's best. Wapuuzi na udini wenu mnawavulia CHADEMA nendeni ACT chama chenye waislamu wengiCdm wameingia kwenye mtego kirahisi mno
waamini wasiamini swala hili litawaathiri pakubwa sana kimahesabu ccm madhaifu ya udini, ukanda,uchache wa fehdha nidham mbovu za wanachama Kwa viongozi na uropokaji ovyo wa viongozi wa sasa wa cdm
Ccm itayafanyia KAZI madhaifu haya na kuimaliz cdm kwenye uchaguzi ujao
Kila mfatiliaji wa siasa za uchaguzi wa viongozi wa taifa cdm na akiwa anaitakia mema nchi hii atakua na swali anajiuliza kichwani mwake.
Katibu wa Baraza la maasikofu Kitima ana ajenda Gani kukaa vikao vya Siri kupatanisha na kuwatak FAM na TAL wakubaliane nani agombee nafasi ya m/kiti na nani agombee uraisi 2025,
Kitima huyu huyu amepata kushutumiwa kutoa kauli tata zidi ya viongozi na uongozi wa serekali.
Jee? cdm wana ajenda ya chini Kwa chini ya udini kuendeaha chama Chao.
Kwa kudhihirisha udini wa cdm angalia viongoz wa juu wa chama hich pasina kuona aibu cdm ukiangalia utagundua wte viongoz wa sasa dhehebu Moja na hata kutozingatia usawa uongozi kikanda na kijinsia.
Cdm wamelkoroga Watanzania tumesha waelewa ni chama Cha udini na ukanda sio chama kinozingatia umoja wa watanzania
Uchaguzi ulikuwa halali. Hija yangu ni kwa mwenyekiti mpya angefikiri ziada na kutafuta legitimate forums wamsapoti. Kwa hiyo kwake anatumia nafasi za kuteuwa alizonazo.Umeandika vizuri, lakini ulipoingiza Catholic, KKKT umeniacha hoi.
Halafu case study ya Ethiopia ni irrelevant
Mwisho, huwezi kulinganisha uchaguzi wa CUF na Chadema, huu wa Chadema ulikuwa wa halali na free from interference
Politics is about people's mindset. Taasisi ya siasa inahitaji ijiendeshe yenyewe hata kama aliyeteuliwa ni mbovu lkn ana wafuasi lukuki. Sheikh Ponda ana wafuasi sio kijiji ni nchiSheikh Issa Ponda ana elimu kiasi gani hata kupewa majukumu makubwa ya Katibu mkuu wa chama cha siasa?.
Mkuu mtafute Lissu maana hili lipo nje ya uwezo wangu.Politics is about people's mindset. Taasisi ya siasa inahitaji ijiendeshe yenyewe hata kama aliyeteuliwa ni mbovu lkn ana wafuasi lukuki. Sheikh Ponda ana wafuasi sio kijiji ni nchi
Chadema ipo in transitional stage tokea masultani wapya wajinyakulie madaraka.Sizungumzii authority nazungumzia legitimacy.
This is politics. And politics is science. Power Politics is how you can convince makundi ya kijamii kukuunga mkono. Iwapo akili ya vijana wa chadema bado inaamini watu wa pwani hawana weledi wa kuteuliwa chadema. Nimekula kwenu. It's to a matter of inferiority its about legitimacy Uhalali wa kuwashawishi watu baada kujua utamaduni wao
Naunga mkono. Tupaze sauti ktk hili kwa wale wanayotamani mabadiliko kwa kuzingatia mindset za makundibya jamii yanayounda tzNaunga mkon hoja CUF, ACT wajiunge na Chadema. Kisha 2029 Chadema watachagua viongozi wapya ambapo watu wote wamo ndani. Kisha 2030 utabiri wa sheikh Yahya unatimia. Ila sera ya majimbo isije ikasababisha baada ya miaka 10 kila jimbo likasema tujitenge.
Mwenyekiti wa Taifa wa Bawacha ni mwanamke, muislamu anae vaa hijab, mzanzibari na Team Mbowe ngangari. Kachaguliwa na wajumbe ambao wengi ni kutoka Bara. Huyu anaingia moja kwa moja katika Kamati Kuu. Na wanawake ndio wanaobeba chama.Umeanza kunialewa baada ya kuona umejenga hoja ingawa ni finyu.
Waislam wengi wako ACT. Wengi ni wenzangu tuliotoka CUF Ngangari. Nilipowauliza kwann mmeamua kwenda ACT wengi walijibu tunafata Sief, mimi sifati mtu, dini wala kabila. Ninafata falsafa cha taasisi. Na nimeridhika na ile ya Serikali ya majimbo (Federal States). Lkn kuna hawa wenzangu wa kufata upepo, kufata mtu, mtu wao. Ndio lengo la kumzingua Lissu ktk Uzi huu.
Sisi minority hatuna njia ya kuendelea kuwashawishi kundi kubwa ambalo kufata watu, hufata upepo.
Sasa kama wawakilishi wao hawako chadema tunafanyaje mabadiliko kwa kuondoa dola
Sahihi. Ni bahati kwake kwa kuwa yeye ni mznz.Mwenyekiti wa Taifa wa Bawacha ni mwanamke, muislamu anae vaa hijab, mzanzibari na Team Mbowe ngangari. Kachaguliwa na wajumbe ambao wengi ni kutoka Bara. Huyu anaingia moja kwa moja katika Kamati Kuu. Na wanawake ndio wanaobeba chama.
Amandla...
Naunga mkon hoja CUF, ACT wajiunge na Chadema. Kisha 2029 Chadema watachagua viongozi wapya ambapo watu wote wamo ndani. Kisha 2030 utabiri wa sheikh Yahya unatimia. Ila sera ya majimbo isije ikasababisha baada ya miaka 10 kila jimbo likasema tujitenge.