Ujumbe kutoka kwa wanachama minority wa CHADEMA kwenda kwa mwenyekiti mpya Tundu Lissu

Ujumbe kutoka kwa wanachama minority wa CHADEMA kwenda kwa mwenyekiti mpya Tundu Lissu

Mimi ni muislam Minority chadema.

Ubaduguzi wa ccm kwa waislam, kuwadhulu na kuwatumia sheria kali dhiki ya waislam ndio sababu ya waislam wengi kuchukua ccm. Kwass SISIEM inachukua madaraka kwa wizi. Si kwa ridhaa ya wananchi. Kimbilio ni chama kikuu cha upinzani chadema. Lkn mbona sasa nayo ni wabaguzi kama ccm. Mfumo kristo, Mfumo Kristo ni anguko
Tengeneza mfumo Uslamu basi ukunyanyue
 
Tengeneza mfumo Uslamu basi ukunyanyue
Ndugu unaujua mfumo wa kiislam. Ninaakini ukisikia misingi yake utaupigania Ukutswale.

Utawala ili uitwe wa kiislam una misingi mikuu minne.

Uwe unakusanya mapato

1. Yasiyotokana na Riba. Kwa naama mfumo wa kibenki na bima, morgage utakuwa interest free.

2. Mapato yasiyotokana na pombe

Mapato yasiyotokana uashesti na zinaa na umalaya. Kwa maana itafungwa sheria ambapo kuzini na tendo lolote la aibu kwa jamii litakuwa kosa la jinai

3. Kujenga nyumba na kuwakolisha wananchi wake ni jukumu la kwanza la seriali.

4. Wezi wa mali za umma, mafishadi, na raia mwizi, mzinifu adhabu zao ni kali sana.

Hata hivyo adhabu hizo haiwezi kutolewa hadi kwanza serikali itimize wajibu wake.

Kwa mfano mwizi raia hapaswi kukatwa mkono hadi kwanza serikali impe ajira na yeye mwenye kukataa na kuamua kuiba. Wazinifu hawapigwi mawe hadi kwanza uwawezeshe kuoa/kuolewa kwa kuwajengea affordable House za wao kumudu kupanga au kununua.

Mafisadi wanaofuja mali za umma, Sharia za kiislam haziwacheleweshi.

Fikiria sasa zingekuwa zinatumika tz nchi ingekuwa na ustawi gani. Idadi ya ambao ni waadilifu wangapi wanaendelea kuwa hai na kuinjoy rasilimali za ya nchi yao.

Sasa moja ya jambo muhimu ktk kutengeneza mfumo wa uislam ni kuwa na utawala wa serikali za majimbo yenye uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yake wenyewe. Lissu au Samia kama atakuwa rais wa JMT kazi yake ni kuwa mfariji mkuu pekee. Sio kama sasa mfumo unawatengeza viongozi kuwa ni wazungu watu.

Hata hivyo si wengi wa watu wa mwambao wanaielewa haya. Kwa kuwa wako contaminated na propaganda za ccm kuwa viongozi wakiwa wakristo watu au waislam watupu ni udini. Ni pumbazo liko ktk jamii yetu na si rahisi kuliondoa. Ndio maana tunaweka tahadhari hizi ili ile nguvu ya kutaka mabadiliko iwe shirikishi kwa jamii zote.

Sisi watu wa mwambao minority ktk chadema tunaelewa maana ya sera ya chadema ya utawala wa majimbo yenye uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yao wenyewe. Na pamoja nanuchache wetu tunaitamani sera hii ianze kutawala jana, tofauti na chawa wengi wa Lissu anavyofikri
 
Tengeneza mfumo Uslamu basi ukunyanyue
Ndugu unaujua mfumo wa kiislam. Ninaakini ukisikia misingi yake utaupigania Ukutswale.

Utawala ili uitwe wa kiislam una misingi mikuu minne.

Uwe unakusanya mapato

1. Yasiyotokana na Riba. Kwa naama mfumo wa kibenki na bima, morgage utakuwa interest free.

2. Mapato yasiyotokana na pombe

Mapato yasiyotokana uashesti na zinaa na umalaya. Kwa maana itafungwa sheria ambapo kuzini na tendo lolote la aibu kwa jamii litakuwa kosa la jinai

3. Kujenga nyumba na kuwakolisha wananchi wake ni jukumu la kwanza la seriali.

4. Wezi wa mali za umma, mafishadi, na raia mwizi, mzinifu adhabu zao ni kali sana.

Hata hivyo adhabu hizo haiwezi kutolewa hadi kwanza serikali itimize wajibu wake.

Kwa mfano mwizi raia hapaswi kukatwa mkono hadi kwanza serikali impe ajira na yeye mwenye kukataa na kuamua kuiba. Wazinifu hawapigwi mawe hadi kwanza uwawezeshe kuoa/kuolewa kwa kuwajengea affordable House za wao kumudu kupanga au kununua.

Mafisadi wanaofuja mali za umma, Sharia za kiislam haziwacheleweshi.

Fikiria sasa zingekuwa zinatumika tz nchi ingekuwa na ustawi gani. Idadi ya ambao ni waadilifu wangapi wanaendelea kuwa hai na kuinjoy rasilimali za ya nchi yao.

Sasa moja ya jambo muhimu ktk kutengeneza mfumo wa uislam ni kuwa na utawala wa serikali za majimbo yenye uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yake wenyewe. Lissu au Samia kama atakuwa rais wa JMT kazi yake ni kuwa mfariji mkuu pekee. Sio kama sasa mfumo unawatengeza viongozi kuwa ni wazungu watu.

Hata hivyo si wengi wa watu wa mwambao wanaielewa haya. Kwa kuwa wako contaminated na propaganda za ccm kuwa viongozi wakiwa wakristo watu au waislam watupu ni udini. Ni pumbazo liko ktk jamii yetu na si rahisi kuliondoa. Ndio maana tunaweka tahadhari hizi ili ile nguvu ya kutaka mabadiliko iwe shirikishi kwa jamii zote.

Sisi watu wa mwambao minority ktk chadema tunaelewa maana ya sera ya chadema ya utawala wa majimbo yenye uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yao wenyewe. Na pamoja nanuchache wetu tunaitamani sera hii ianze kutawala jana, tofauti na chawa wengi wa Lissu anavyofikri
 
Baada ya CUF kusambaratika wako wanachama waliofatia Maalim Seif, (MwenyeziMungu amsamehe makosa yake) na kundi jengine lilikwenda kwa Mzee Lipumba. Kundi la tatu ambao pengine ni wachache ni kundi lile linaloamini 'You can only Fool some Pple some time, but you can't fool all the pple all the time.

Sisi wachache tusikubali kuburuzwa (bendera kufata upepo)tuliamini kama kweli Maalim Seif alikuwa mtaka mabadiliko angejiunga na chadema, kwasababu hoja ya Prof Lipumba kujitoa kwa muda CUF ktkt ya harakati za uchaguzi ilikuwa ni kuwapinga Chadema kumsimamisha Lowasa nafasi ya Urais.

Hivyo kama Lipumba hakuwa sahihi, ilibidi Maalim aungane na chadema. Lkn matokeo yake anajiunga na ACT.

Hivyo wote ACT na CUF walituthibitishia kuwa wanatumiwa na ccm kuvuruga Umoja wa wataka mabadiliko.

Lkn ktk uchaguzi wa Mwenyekiti Chadema tuliaminishwa kwa kuambiwa Mbowe nae anatumiwa na ccm kudhoofisha harakati kupitia mapesa ya Abdul.

Kwa hiyo sisi tuliamua kujiunga chadema haikuwa kwa bahati mbaya. Kwani hatukuamini kufata watu (wasaliti) bali sera. Na kwa kuwa trust imepungua kwa watu. Sera ya chadema ya majimbo yenye uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yetu wenyewe ilikuwa ndio suluhisho la taifa letu.

Titaiogopaje sera hii ambayo ngome ya mwambao ndio chanzo cha mapato ya nchi kwa zaidi ya 85%.

Vijana wa nchi hii kila kanda wanaona potential za kiuchumi za maeneo yao Lkn kikwazo ni mfumo wa Serikali Kuu.

Kwa utafiti nilioufanya mfumo sahihi wa serikali za majimbo tz ni kucopy na kupaste mfumo wa taifa la Switzerland.

Politics of Switzerland - Wikipedia

Nilifanya utafiti wa kuwauliza vijana wa jimboni kwa kwann wamekata tamaa kushiriki kupiga kura. Wengi walijibu. 'Hatutopiga Kura bali tutaungana na jukwaa lolote ambalo linatoa wito na wanahamasisha kugawana fito.

Wako tayari kuunga mkono jukwaa (chama) kinachotoa wito wa kugawana fito.

Kwamba hawamuamini mgombea yyt wa urais atoke huko anakotoka awaeleze anataka kuwatawala ili awaletee maendeleo. Hakuna wanaemuamini. Si Samia, Si Lissu, Si Magufuli kwa case ya 2020.

Nikasema kumbe watu wangu hawajui sera ya majimbo ya CHADEMA. Majimbo yatakayokuwa na Uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yake wenyewe, kiuchumi, kiutamaduni, kisiasa, kijamii ambapo wengi ktk jimbo/kanda husika ndio watunga sheria. Kwa kuanzia mamlaka ya mtaaa.

Kwamba Lissu au Samia anapogombea nafasi ya Urais anapokwa mamlaka yake yote ya kiunga waliyoanayo sasa na kuwa ni mfariji mkuu tu. Kama sasa alivyo Rais wa JMT akienda Znz. Anakuwa hana mamlaka yyt kwa Znz. Case study nyingine ni Rais za Ethiophia.

Sera ya majimbo yenye uhuru zaidi wa majimbo (kanda) kujiamulia mambo yao wenyewe ni mfumo bora zaidi wa muungano kwa tz, EA, afrika. Na ndilo kimbilio la mataifa yote duniani yaliyoungana.

Ni Muungano wa safaru pekee. Sio jeshi, Sio nini.

Sasa nirudi kwenye msingi wa andiko.

Baada ya uchaguzi wa kumtafuta Mwenyekiti wa chadema moja ya ajenda ya mabadiliko ya uongozi mpya wa chadema aliohubiri Lissu ni kuunganisha majukwaa yote ya wapenda mabadiliko.

Bahati mbaya sana, mimi au sisi watu wa ukanda wa mwamvai kama ngome ya wapenda mabadiliko. kwa kuzingatia propaganda za CCM na ACT kuwa CHADEMA ni chama cha Udini na ukanda. Tulitegemea sana uongozi mpya ungekuja kukata hizi cheap propaganda kwa kuunganisha uongozi wa juu na majukwaa haya hasa makubwa. Nazungumzia jukwaa au ngome ya Watu wa mwambao.

Hali iliyojitokeza baada ya uchaguzi ni kama ulikuwa ni uchaguzi wa kutafuta domination kati ya KKKT na Catholic Tz.

Na kwamba kwa maumivu makubwa Catholic wameamua kudominate nafasi zote za juu za chadema.

Kuanzia nafasi za kuchaguliwa na kuteuliwa. Tunajiuliza sisi minority ktk chama lkn majority ktk population ya Tz, ni bahati mbaya au walipanga.

Sisi kama watu wa mwambao Uwakilishi wetu uko wapi chadema. Kwamba wanaamini kabisa sisi tunaweza kupanga foleni ya kupiga kura kuchagua watu wa tabaka moja. Hivi ni kweli inteligensia ya chadema hawakuliona hilo.

Au ni mkakati Maalum wa Mwenyekiti Mpya wa kuwapa Waislam minority ndani ya chama mkono wa kwa heri ili wapeleke nguvu zao kwa chama kilichojiandaa kuwa ngome kuu ya ukanda wa pwani hata kama ni ccm B .

Mwenyekiti Lissu kapoteza nafasi hii adhimu ya kuyaunganisha majukwa nchini. Na kwamba chama kitamshinda mapema sana.

Nipo tayari kusahihishwa ili niweze kurejesha imani yangu kwa chadema. Na ninaamini imani hii ndio imani ya walio wengi ambao kwasasa wamesusa kabisa mambo ya kupiga kura.

Matamanio yangu kwasasa yanavutiwa na CHAUMMA
Umeandika vizuri, lakini ulipoingiza Catholic, KKKT umeniacha hoi.
Halafu case study ya Ethiopia ni irrelevant
Mwisho, huwezi kulinganisha uchaguzi wa CUF na Chadema, huu wa Chadema ulikuwa wa halali na free from interference
 
Jamii lalamishi daima... huko ccm na act nafasi za juu wengi ni imani hiyo.. wamejazana.. hakuna Wakristo wanaolalamika.. chadema hakuna harufu ya udini, ni inferiority complex inawasumbua... masheikh (wakiongozwa na sheikh mkuu) wamemkabidhi SSH kwa majini
 
Cdm wameingia kwenye mtego kirahisi mno

waamini wasiamini swala hili litawaathiri pakubwa sana kimahesabu ccm madhaifu ya udini, ukanda,uchache wa fehdha nidham mbovu za wanachama Kwa viongozi na uropokaji ovyo wa viongozi wa sasa wa cdm

Ccm itayafanyia KAZI madhaifu haya na kuimaliz cdm kwenye uchaguzi ujao
Kila mfatiliaji wa siasa za uchaguzi wa viongozi wa taifa cdm na akiwa anaitakia mema nchi hii atakua na swali anajiuliza kichwani mwake.
Katibu wa Baraza la maasikofu Kitima ana ajenda Gani kukaa vikao vya Siri kupatanisha na kuwatak FAM na TAL wakubaliane nani agombee nafasi ya m/kiti na nani agombee uraisi 2025,
Kitima huyu huyu amepata kushutumiwa kutoa kauli tata zidi ya viongozi na uongozi wa serekali.
Jee? cdm wana ajenda ya chini Kwa chini ya udini kuendeaha chama Chao.

Kwa kudhihirisha udini wa cdm angalia viongoz wa juu wa chama hich pasina kuona aibu cdm ukiangalia utagundua wte viongoz wa sasa dhehebu Moja na hata kutozingatia usawa uongozi kikanda na kijinsia.
Cdm wamelkoroga Watanzania tumesha waelewa ni chama Cha udini na ukanda sio chama kinozingatia umoja wa watanzania
Ukichaa at it's best. Wapuuzi na udini wenu mnawavulia CHADEMA nendeni ACT chama chenye waislamu wengi
 
Umeandika vizuri, lakini ulipoingiza Catholic, KKKT umeniacha hoi.
Halafu case study ya Ethiopia ni irrelevant
Mwisho, huwezi kulinganisha uchaguzi wa CUF na Chadema, huu wa Chadema ulikuwa wa halali na free from interference
Uchaguzi ulikuwa halali. Hija yangu ni kwa mwenyekiti mpya angefikiri ziada na kutafuta legitimate forums wamsapoti. Kwa hiyo kwake anatumia nafasi za kuteuwa alizonazo.
Ikitokea wakati wa kudai uhuru. chama cha tano kilichokuwa na waislam wengi waliopendekeza Mzee Nyerere kuwa kirana wa kupigania uhuru ili TANU uongeze wafuasi waktrito waliokuwa wanawaunga mkono wazungu.

Hii ndio strategy nilitamani mzee Lissu angeitupia kwa jicho la tatu
 
Naunga mkon hoja CUF, ACT wajiunge na Chadema. Kisha 2029 Chadema watachagua viongozi wapya ambapo watu wote wamo ndani. Kisha 2030 utabiri wa sheikh Yahya unatimia. Ila sera ya majimbo isije ikasababisha baada ya miaka 10 kila jimbo likasema tujitenge.
 
Sizungumzii authority nazungumzia legitimacy.

This is politics. And politics is science. Power Politics is how you can convince makundi ya kijamii kukuunga mkono. Iwapo akili ya vijana wa chadema bado inaamini watu wa pwani hawana weledi wa kuteuliwa chadema. Nimekula kwenu. It's to a matter of inferiority its about legitimacy Uhalali wa kuwashawishi watu baada kujua utamaduni wao
Chadema ipo in transitional stage tokea masultani wapya wajinyakulie madaraka.
Well and good wape muda wa kupiga siasa.Lakini imebakia miezi 10 kuingia general election.!!! Sijui kama wafokaji wana catalyst ya kuleta ushindi wa uchaguzi mkuu.
Changamoto zipo,walidhani kuongoza chama ni sawa na uongozi wa familia mmoja ya mheshimiwa sana anaesadikika ameishamwaga damu nyingi kwa kukuza au kutetea au kulinda chama!
Sijui kama waliwahi kujiongeza walipokuwa wanafoka Mbowe must go bila kupitia sanduku la kura.
 
Naunga mkon hoja CUF, ACT wajiunge na Chadema. Kisha 2029 Chadema watachagua viongozi wapya ambapo watu wote wamo ndani. Kisha 2030 utabiri wa sheikh Yahya unatimia. Ila sera ya majimbo isije ikasababisha baada ya miaka 10 kila jimbo likasema tujitenge.
Naunga mkono. Tupaze sauti ktk hili kwa wale wanayotamani mabadiliko kwa kuzingatia mindset za makundibya jamii yanayounda tz
 
Umeanza kunialewa baada ya kuona umejenga hoja ingawa ni finyu.

Waislam wengi wako ACT. Wengi ni wenzangu tuliotoka CUF Ngangari. Nilipowauliza kwann mmeamua kwenda ACT wengi walijibu tunafata Sief, mimi sifati mtu, dini wala kabila. Ninafata falsafa cha taasisi. Na nimeridhika na ile ya Serikali ya majimbo (Federal States). Lkn kuna hawa wenzangu wa kufata upepo, kufata mtu, mtu wao. Ndio lengo la kumzingua Lissu ktk Uzi huu.

Sisi minority hatuna njia ya kuendelea kuwashawishi kundi kubwa ambalo kufata watu, hufata upepo.

Sasa kama wawakilishi wao hawako chadema tunafanyaje mabadiliko kwa kuondoa dola
Mwenyekiti wa Taifa wa Bawacha ni mwanamke, muislamu anae vaa hijab, mzanzibari na Team Mbowe ngangari. Kachaguliwa na wajumbe ambao wengi ni kutoka Bara. Huyu anaingia moja kwa moja katika Kamati Kuu. Na wanawake ndio wanaobeba chama.

Amandla...
 
Mwenyekiti wa Taifa wa Bawacha ni mwanamke, muislamu anae vaa hijab, mzanzibari na Team Mbowe ngangari. Kachaguliwa na wajumbe ambao wengi ni kutoka Bara. Huyu anaingia moja kwa moja katika Kamati Kuu. Na wanawake ndio wanaobeba chama.

Amandla...
Sahihi. Ni bahati kwake kwa kuwa yeye ni mznz.

Lkn kubwa zaidi Wanawake Chadema wapewe mauwa. Wangereza kumchagua yyt.

Tatizo ni Lissu. Ana nafasi 7 za kuchagua katibu mkuu, manaibu katibu na wajumbe wa5 wa kamati kuu. Hakuwa na jicho kama jicho la wazee wa TANU kumchagua Mzee Nyerere ili wapate wafuasi wa mikoa waliokuwa wanawaunga mkono wazungu
 
Naunga mkon hoja CUF, ACT wajiunge na Chadema. Kisha 2029 Chadema watachagua viongozi wapya ambapo watu wote wamo ndani. Kisha 2030 utabiri wa sheikh Yahya unatimia. Ila sera ya majimbo isije ikasababisha baada ya miaka 10 kila jimbo likasema tujitenge.

wajiunge na chadema ili iweje? CHADEMA wao wenyewe kwa wenyewe haweshi kulana na kutukanana
 
Back
Top Bottom