Ujumbe kutoka kwa wanachama minority wa CHADEMA kwenda kwa mwenyekiti mpya Tundu Lissu

Ujumbe kutoka kwa wanachama minority wa CHADEMA kwenda kwa mwenyekiti mpya Tundu Lissu

Huwezi nielewa kama si ktk think tank. Hatuhitaji Authority CHADEMA. Sisi watu wa pwani hatuamini ktk kugombea vyeo. Bali tunaamini ktk Ligitimacy (uhalali).



Legitimacy ni kukubalika na kupata mamlaka kutoka kwa watu wa kawaida wa jamii fulani wale wanaoongozwa.

Uhalali unahusisha masuala ya imani, na ridhaa ya watu, hata kama mamlaka hayo yanaungwa mkono na katiba za taasisi.

Uhalali ni bora kuliko Mamlaka na vyeo.

Uhalali ni wa muhimu kwa sababu hujenga uaminifu na mshikamano kati yako na wale wanaoongozwa.

Mwenyekiti ana mamlaka na Mamlaka isiyo na uhalali hupoteza imani ya watu na inaweza kusababisha kukataliwa.

Lissu atakataliwa ukanda wa pwani kwa sababu kaonyesha upendeleo ulio dhahiri. Upendeleo si kwa watu wa pwani tu bali kuna manung'uniko ya team FEM kutengwa.


Lissu anahitaji kura za watu wa pwani. Na chaguo lilobaki ni moja kuungana na ACT na kuwaachia kiti cha Urais.

Sisi kama wafuasi minority ndani ya chadema kwasasa tuko dilemma kwa kuwa hatuna nguvu tena ya kuwashawishi jamii yetu kwa kuwa mtazamo wa jamii yetu wanataka kuona uwakilishi wa watu wao.

Mimi ni mpenda mabadiliko nikiingia mkono sera ya majimbo yenye uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yake wenye. Na naelewa vzr sana. Na kabla ya uchaguzi nilikuwa nafanya kampeni kwa viongozi wa kidini kuielewa dhana hii ili waweze kuinga mkono. Nikielewa tokea awamu wanaituhumu chadema na udini. Sasa kwa teuzi za mwenyekiti waliofanya nimebaki speachless
Hivi kuna Rais alikua popular kama Nyerere au JPM hapa Tanzania? Ila teuzi zao zilikua ni udini mtupu ila sidhani kama washabiki wao walifocus kwenye udini ila kazi zao.

No wonder Membe alikataliwa zanzibar licha ya kutokea chama cha Muslim majority yaani ACT!!
 
Ndo
Baada ya CUF kusambaratika wako wanachama waliofatia Maalim Seif, (MwenyeziMungu amsamehe makosa yake) na kundi jengine lilikwenda kwa Mzee Lipumba. Kundi la tatu ambao pengine ni wachache ni kundi lile linaloamini 'You can only Fool some Pple some time, but you can't fool all the pple all the time.

Sisi wachache tusikubali kuburuzwa (bendera kufata upepo)tuliamini kama kweli Maalim Seif alikuwa mtaka mabadiliko angejiunga na chadema, kwasababu hoja ya Prof Lipumba kujitoa kwa muda CUF ktkt ya harakati za uchaguzi ilikuwa ni kuwapinga Chadema kumsimamisha Lowasa nafasi ya Urais.

Hivyo kama Lipumba hakuwa sahihi, ilibidi Maalim aungane na chadema. Lkn matokeo yake anajiunga na ACT.

Hivyo wote ACT na CUF walituthibitishia kuwa wanatumiwa na ccm kuvuruga Umoja wa wataka mabadiliko.

Lkn ktk uchaguzi wa Mwenyekiti Chadema tuliaminishwa kwa kuambiwa Mbowe nae anatumiwa na ccm kudhoofisha harakati kupitia mapesa ya Abdul.

Kwa hiyo sisi tuliamua kujiunga chadema haikuwa kwa bahati mbaya. Kwani hatukuamini kufata watu (wasaliti) bali sera. Na kwa kuwa trust imepungua kwa watu. Sera ya chadema ya majimbo yenye uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yetu wenyewe ilikuwa ndio suluhisho la taifa letu.

Titaiogopaje sera hii ambayo ngome ya mwambao ndio chanzo cha mapato ya nchi kwa zaidi ya 85%.

Vijana wa nchi hii kila kanda wanaona potential za kiuchumi za maeneo yao Lkn kikwazo ni mfumo wa Serikali Kuu.

Kwa utafiti nilioufanya mfumo sahihi wa serikali za majimbo tz ni kucopy na kupaste mfumo wa taifa la Switzerland.

Politics of Switzerland - Wikipedia

Nilifanya utafiti wa kuwauliza vijana wa jimboni kwa kwann wamekata tamaa kushiriki kupiga kura. Wengi walijibu. 'Hatutopiga Kura bali tutaungana na jukwaa lolote ambalo linatoa wito na wanahamasisha kugawana fito.

Wako tayari kuunga mkono jukwaa (chama) kinachotoa wito wa kugawana fito.

Kwamba hawamuamini mgombea yyt wa urais atoke huko anakotoka awaeleze anataka kuwatawala ili awaletee maendeleo. Hakuna wanaemuamini. Si Samia, Si Lissu, Si Magufuli kwa case ya 2020.

Nikasema kumbe watu wangu hawajui sera ya majimbo ya CHADEMA. Majimbo yatakayokuwa na Uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yake wenyewe, kiuchumi, kiutamaduni, kisiasa, kijamii ambapo wengi ktk jimbo/kanda husika ndio watunga sheria. Kwa kuanzia mamlaka ya mtaaa.

Kwamba Lissu au Samia anapogombea nafasi ya Urais anapokwa mamlaka yake yote ya kiunga waliyoanayo sasa na kuwa ni mfariji mkuu tu. Kama sasa alivyo Rais wa JMT akienda Znz. Anakuwa hana mamlaka yyt kwa Znz. Case study nyingine ni Rais za Ethiophia.

Sera ya majimbo yenye uhuru zaidi wa majimbo (kanda) kujiamulia mambo yao wenyewe ni mfumo bora zaidi wa muungano kwa tz, EA, afrika. Na ndilo kimbilio la mataifa yote duniani yaliyoungana.

Ni Muungano wa safaru pekee. Sio jeshi, Sio nini.

Sasa nirudi kwenye msingi wa andiko.

Baada ya uchaguzi wa kumtafuta Mwenyekiti wa chadema moja ya ajenda ya mabadiliko ya uongozi mpya wa chadema aliohubiri Lissu ni kuunganisha majukwaa yote ya wapenda mabadiliko.

Bahati mbaya sana, mimi au sisi watu wa ukanda wa mwamvai kama ngome ya wapenda mabadiliko. kwa kuzingatia propaganda za CCM na ACT kuwa CHADEMA ni chama cha Udini na ukanda. Tulitegemea sana uongozi mpya ungekuja kukata hizi cheap propaganda kwa kuunganisha uongozi wa juu na majukwaa haya hasa makubwa. Nazungumzia jukwaa au ngome ya Watu wa mwambao.

Hali iliyojitokeza baada ya uchaguzi ni kama ulikuwa ni uchaguzi wa kutafuta domination kati ya KKKT na Catholic Tz.

Na kwamba kwa maumivu makubwa Catholic wameamua kudominate nafasi zote za juu za chadema.

Kuanzia nafasi za kuchaguliwa na kuteuliwa. Tunajiuliza sisi minority ktk chama lkn majority ktk population ya Tz, ni bahati mbaya au walipanga.

Sisi kama watu wa mwambao Uwakilishi wetu uko wapi chadema. Kwamba wanaamini kabisa sisi tunaweza kupanga foleni ya kupiga kura kuchagua watu wa tabaka moja. Hivi ni kweli inteligensia ya chadema hawakuliona hilo.

Au ni mkakati Maalum wa Mwenyekiti Mpya wa kuwapa Waislam minority ndani ya chama mkono wa kwa heri ili wapeleke nguvu zao kwa chama kilichojiandaa kuwa ngome kuu ya ukanda wa pwani hata kama ni ccm B .

Mwenyekiti Lissu kapoteza nafasi hii adhimu ya kuyaunganisha majukwa nchini. Na kwamba chama kitamshinda mapema sana.

Nipo tayari kusahihishwa ili niweze kurejesha imani yangu kwa chadema. Na ninaamini imani hii ndio imani ya walio wengi ambao kwasasa wamesusa kabisa mambo ya kupiga kura.

Matamanio yangu kwasasa yanavutiwa na CHAUMMA
ulichotumwa? Takataka kabisa
 
Ungekuwa na akili ungejiunga na wale wanaotaka tume huru na mabadiliko ya sheria za uchaguzi na katiba mpya ili tunapoenda kwenye uchaguzi uwe wa haki. Kumbe wewe mabadiliko yako ya kuwapa ushindi wapinzani ni kuwateua waislamu? Aisee sijaona jamii yenye watu wajinga kama hii.
Unashindwa kuelewa. Kama ungekuwa mtihani ungepata zero.

Kwani hujui maana na kazi ya sosholojia.

Ngoja nikupeleke shule kidogo.

Sosholojia ni elimu ya kufikiri inayohusiana na namna gani imani, itikadi, mila, desturi, hali za jamii moja inavyoweza kushawishi jamii nyingine.


Elimu ya Sosholojia ni silaha muhimu ktk kutafuta ushindi wa vita, kwa kufanya utafiti ili ufahamu jamii na jinsi wanayoishi. Na kwa kutumia matokeo ya ushawishi huo hubuni njia itakayowahamasisha jamii hizo kushiriki ktk mchakato wa ustawi au mabadiliko kuanzia hatua ya kufanya maamuzi hadi utendaji.

Pengine nusu ya watz ni waislam, lkn fikra za chadema hazina tofauti na ccm, kutaka wafate utamaduni wa wanachedema na kuacha mila na tamaduni zao.

Wahaelewi kuwa kazi namba moja ya demokrasia ni kulinda tamaduni (dini) za kila jamii
 
Hivi kuna Rais alikua popular kama Nyerere au JPM hapa Tanzania? Ila teuzi zao zilikua ni udini mtupu ila sidhani kama washabiki wao walifocus kwenye udini ila kazi zao.

No wonder Membe alikataliwa zanzibar licha ya kutokea chama cha Muslim majority yaani ACT!!

Hoja niliyosimama nayo ni hiyo. Kuwa watz wanajua kuwa waislam wanakandamizwa.

Na watafuta hifadhi. Tulidhani chadema baada ya kukandamizwa miaka 7 hii wamgeweza kutafuta namna ya kuwavuta wale waliokandamizwa miaka yote 60 ya uhuru.

Lkn hali haiko hivyo. Kitakachotokea watu hawatopiga Kura. Kwani wanajua wote ni wale wale
 
Akili ndogo kufikiria dini kuwa jukwaa, secular states hawafukiri dini kuwa jukwaa labda nchi za kidini mostly za kiarabu.

Unataka kupotosha maana ya legitimacy, ilikuwa ni vigumu kupata usuluhishi mwingine ndio maana walikwenda kusuluhishwa na viongozi wa kidini. Kama walipata legitimacy kwa viongozi wa dini walifanikiwa kusuluhishwa? Mbona walitoka vile vile hadi kwenye sanduku la kura ndio ukawa mwisho na wanachama wakaamua?

Pendekeza waislamu wako wakagombee washawishi wajumbe kwa vichwa vyao siyo dini yao wachaguliwe. Kwenye uchaguzi wa CHADEMA sikusikia yeyote akija na manifesto ya udini, huo ni wa kwako na wenzio nendeni ACT. Je wasio waislamu au wakristo mnawafanyaje?
Unadhani hakuna wenye weledi ktk jamii yetu. Kwann wanasita kujiunga na chadema. Kwasababu ya hisia hizi nazojaribu kuweka sawa.

Viongozi wa dini waliosuluhisha walifanikiwa. TEC walifanya hii lobbying na wameshinda. Sasa Lissu hana na kufanya zaidi ya kwenda kupiga magoti kwao, na atakuja kuvaa barakashia akipiti ngome za waislam kama njia ya kuwashawishi na kumtumia mmoja wa Shekhe kama Tamara la deki. Cheap politics
 
Nilitaka Mwenyekiti na Chawa wale waweze kuona vinavyopaswa kuonwa sawa na lengo alilojipambanua halo Mwenyekti. Kuunganisha majukwaa ktk kuleta mabadiliko ya utawala.

Kwa ufupi nilimshari mwenyekiti achague katibu mkuu Muoslam na ingewezekana naibu katibu mkuu wake. Na nilipendekeza Sheikh Ponda angekuwa katibu mkuu wa chadema.

Lkn hajachelewa kwa msaada wa idara ya intelijensia ya chadema wanapaswa kufanya utafiti wa muislam gani awe mgombea Urais. Anaweza pia kuleta OMo wa ACT au Prof Njozi wa Mum kuwa mgombea Urais wa JMT

Kinyume cha hapo falsafa ya nguvu ya umma, au strong together itaishia kwenye mabango tu.
Kuna mtu ashawahi sema kuwa,Afrika hakuna shida ya rushwa ila Kuna shida ya DINI, labda alikuwa sahihi, sipendi mazingira yoyote Yale ya DINI,ila mtazamo wako nimekuelewa hasa Kwa ukanda huo wa mwambao,ni watu wenye vichwa hewa sana kuwaelewesha kuwa hakuna udini kabisa!!!
 
Duh hii mpya, sheikh Ponda katibu mkuu wakati hana kadi ya chadema!! Watu wanachagua mabadiliko sio dini, mbona Lissu alipata kura nyingi kuliko Membe huko zanzibar licha ya ACT kuwa ndio kinawavutia zaidi wazanzibari kuliko chadema?
HUJUI SOSHOLOJIA
 
Hoja niliyosimama nayo ni hiyo. Kuwa watz wanajua kuwa waislam wanakandamizwa.

Na watafuta hifadhi. Tulidhani chadema baada ya kukandamizwa miaka 7 hii wamgeweza kutafuta namna ya kuwavuta wale waliokandamizwa miaka yote 60 ya uhuru.

Lkn hali haiko hivyo. Kitakachotokea watu hawatopiga Kura. Kwani wanajua wote ni wale wale
Ndio maana nikauliza mbona wazanzibar walimpa Kura nyingi za urais chadema kuliko ACT? Kwani hawakujua kwamba ACT ina waislam wengi kuliko chadema if at all that was the case?
 
Kuna mtu ashawahi sema kuwa,Afrika hakuna shida ya rushwa ila Kuna shida ya DINI, labda alikuwa sahihi, sipendi mazingira yoyote Yale ya DINI,ila mtazamo wako nimekuelewa hasa Kwa ukanda huo wa mwambao,ni watu wenye vichwa hewa sana kuwaelewesha kuwa hakuna udini kabisa!!!
Dini ni mfumo wa maisha kwa vile tunavyofahamu. Na hakuna mtu anaweza kuishi bila ya mfumo wa maisha.
 
Baada ya CUF kusambaratika wako wanachama waliofatia Maalim Seif, (MwenyeziMungu amsamehe makosa yake) na kundi jengine lilikwenda kwa Mzee Lipumba. Kundi la tatu ambao pengine ni wachache ni kundi lile linaloamini 'You can only Fool some Pple some time, but you can't fool all the pple all the time.

Sisi wachache tusikubali kuburuzwa (bendera kufata upepo)tuliamini kama kweli Maalim Seif alikuwa mtaka mabadiliko angejiunga na chadema, kwasababu hoja ya Prof Lipumba kujitoa kwa muda CUF ktkt ya harakati za uchaguzi ilikuwa ni kuwapinga Chadema kumsimamisha Lowasa nafasi ya Urais.

Hivyo kama Lipumba hakuwa sahihi, ilibidi Maalim aungane na chadema. Lkn matokeo yake anajiunga na ACT.

Hivyo wote ACT na CUF walituthibitishia kuwa wanatumiwa na ccm kuvuruga Umoja wa wataka mabadiliko.

Lkn ktk uchaguzi wa Mwenyekiti Chadema tuliaminishwa kwa kuambiwa Mbowe nae anatumiwa na ccm kudhoofisha harakati kupitia mapesa ya Abdul.

Kwa hiyo sisi tuliamua kujiunga chadema haikuwa kwa bahati mbaya. Kwani hatukuamini kufata watu (wasaliti) bali sera. Na kwa kuwa trust imepungua kwa watu. Sera ya chadema ya majimbo yenye uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yetu wenyewe ilikuwa ndio suluhisho la taifa letu.

Titaiogopaje sera hii ambayo ngome ya mwambao ndio chanzo cha mapato ya nchi kwa zaidi ya 85%.

Vijana wa nchi hii kila kanda wanaona potential za kiuchumi za maeneo yao Lkn kikwazo ni mfumo wa Serikali Kuu.

Kwa utafiti nilioufanya mfumo sahihi wa serikali za majimbo tz ni kucopy na kupaste mfumo wa taifa la Switzerland.

Politics of Switzerland - Wikipedia

Nilifanya utafiti wa kuwauliza vijana wa jimboni kwa kwann wamekata tamaa kushiriki kupiga kura. Wengi walijibu. 'Hatutopiga Kura bali tutaungana na jukwaa lolote ambalo linatoa wito na wanahamasisha kugawana fito.

Wako tayari kuunga mkono jukwaa (chama) kinachotoa wito wa kugawana fito.

Kwamba hawamuamini mgombea yyt wa urais atoke huko anakotoka awaeleze anataka kuwatawala ili awaletee maendeleo. Hakuna wanaemuamini. Si Samia, Si Lissu, Si Magufuli kwa case ya 2020.

Nikasema kumbe watu wangu hawajui sera ya majimbo ya CHADEMA. Majimbo yatakayokuwa na Uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yake wenyewe, kiuchumi, kiutamaduni, kisiasa, kijamii ambapo wengi ktk jimbo/kanda husika ndio watunga sheria. Kwa kuanzia mamlaka ya mtaaa.

Kwamba Lissu au Samia anapogombea nafasi ya Urais anapokwa mamlaka yake yote ya kiunga waliyoanayo sasa na kuwa ni mfariji mkuu tu. Kama sasa alivyo Rais wa JMT akienda Znz. Anakuwa hana mamlaka yyt kwa Znz. Case study nyingine ni Rais za Ethiophia.

Sera ya majimbo yenye uhuru zaidi wa majimbo (kanda) kujiamulia mambo yao wenyewe ni mfumo bora zaidi wa muungano kwa tz, EA, afrika. Na ndilo kimbilio la mataifa yote duniani yaliyoungana.

Ni Muungano wa safaru pekee. Sio jeshi, Sio nini.

Sasa nirudi kwenye msingi wa andiko.

Baada ya uchaguzi wa kumtafuta Mwenyekiti wa chadema moja ya ajenda ya mabadiliko ya uongozi mpya wa chadema aliohubiri Lissu ni kuunganisha majukwaa yote ya wapenda mabadiliko.

Bahati mbaya sana, mimi au sisi watu wa ukanda wa mwamvai kama ngome ya wapenda mabadiliko. kwa kuzingatia propaganda za CCM na ACT kuwa CHADEMA ni chama cha Udini na ukanda. Tulitegemea sana uongozi mpya ungekuja kukata hizi cheap propaganda kwa kuunganisha uongozi wa juu na majukwaa haya hasa makubwa. Nazungumzia jukwaa au ngome ya Watu wa mwambao.

Hali iliyojitokeza baada ya uchaguzi ni kama ulikuwa ni uchaguzi wa kutafuta domination kati ya KKKT na Catholic Tz.

Na kwamba kwa maumivu makubwa Catholic wameamua kudominate nafasi zote za juu za chadema.

Kuanzia nafasi za kuchaguliwa na kuteuliwa. Tunajiuliza sisi minority ktk chama lkn majority ktk population ya Tz, ni bahati mbaya au walipanga.

Sisi kama watu wa mwambao Uwakilishi wetu uko wapi chadema. Kwamba wanaamini kabisa sisi tunaweza kupanga foleni ya kupiga kura kuchagua watu wa tabaka moja. Hivi ni kweli inteligensia ya chadema hawakuliona hilo.

Au ni mkakati Maalum wa Mwenyekiti Mpya wa kuwapa Waislam minority ndani ya chama mkono wa kwa heri ili wapeleke nguvu zao kwa chama kilichojiandaa kuwa ngome kuu ya ukanda wa pwani hata kama ni ccm B .

Mwenyekiti Lissu kapoteza nafasi hii adhimu ya kuyaunganisha majukwa nchini. Na kwamba chama kitamshinda mapema sana.

Nipo tayari kusahihishwa ili niweze kurejesha imani yangu kwa chadema. Na ninaamini imani hii ndio imani ya walio wengi ambao kwasasa wamesusa kabisa mambo ya kupiga kura.

Matamanio yangu kwasasa yanavutiwa na CHAUMMA
Wewe ni mpumbavu na mpuuzi. Huu ujinga ulioandika hapa ndio unaosababisha Waislam tunadhaurika.

Udini hauna nafasi katika masuala ya kitaifa, huo upuuzi uishie kwenye familia yenu huko.

Badala ya kuleta hoja za msingi za kujenga taifa na umoja unaendekeza udini. Ndio maana huko unakotoka umasikini umekithiri juu ya fikra finyu kama hizi.
 
Baada ya CUF kusambaratika wako wanachama waliofatia Maalim Seif, (MwenyeziMungu amsamehe makosa yake) na kundi jengine lilikwenda kwa Mzee Lipumba. Kundi la tatu ambao pengine ni wachache ni kundi lile linaloamini 'You can only Fool some Pple some time, but you can't fool all the pple all the time.

Sisi wachache tusikubali kuburuzwa (bendera kufata upepo)tuliamini kama kweli Maalim Seif alikuwa mtaka mabadiliko angejiunga na chadema, kwasababu hoja ya Prof Lipumba kujitoa kwa muda CUF ktkt ya harakati za uchaguzi ilikuwa ni kuwapinga Chadema kumsimamisha Lowasa nafasi ya Urais.

Hivyo kama Lipumba hakuwa sahihi, ilibidi Maalim aungane na chadema. Lkn matokeo yake anajiunga na ACT.

Hivyo wote ACT na CUF walituthibitishia kuwa wanatumiwa na ccm kuvuruga Umoja wa wataka mabadiliko.

Lkn ktk uchaguzi wa Mwenyekiti Chadema tuliaminishwa kwa kuambiwa Mbowe nae anatumiwa na ccm kudhoofisha harakati kupitia mapesa ya Abdul.

Kwa hiyo sisi tuliamua kujiunga chadema haikuwa kwa bahati mbaya. Kwani hatukuamini kufata watu (wasaliti) bali sera. Na kwa kuwa trust imepungua kwa watu. Sera ya chadema ya majimbo yenye uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yetu wenyewe ilikuwa ndio suluhisho la taifa letu.

Titaiogopaje sera hii ambayo ngome ya mwambao ndio chanzo cha mapato ya nchi kwa zaidi ya 85%.

Vijana wa nchi hii kila kanda wanaona potential za kiuchumi za maeneo yao Lkn kikwazo ni mfumo wa Serikali Kuu.

Kwa utafiti nilioufanya mfumo sahihi wa serikali za majimbo tz ni kucopy na kupaste mfumo wa taifa la Switzerland.

Politics of Switzerland - Wikipedia

Nilifanya utafiti wa kuwauliza vijana wa jimboni kwa kwann wamekata tamaa kushiriki kupiga kura. Wengi walijibu. 'Hatutopiga Kura bali tutaungana na jukwaa lolote ambalo linatoa wito na wanahamasisha kugawana fito.

Wako tayari kuunga mkono jukwaa (chama) kinachotoa wito wa kugawana fito.

Kwamba hawamuamini mgombea yyt wa urais atoke huko anakotoka awaeleze anataka kuwatawala ili awaletee maendeleo. Hakuna wanaemuamini. Si Samia, Si Lissu, Si Magufuli kwa case ya 2020.

Nikasema kumbe watu wangu hawajui sera ya majimbo ya CHADEMA. Majimbo yatakayokuwa na Uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yake wenyewe, kiuchumi, kiutamaduni, kisiasa, kijamii ambapo wengi ktk jimbo/kanda husika ndio watunga sheria. Kwa kuanzia mamlaka ya mtaaa.

Kwamba Lissu au Samia anapogombea nafasi ya Urais anapokwa mamlaka yake yote ya kiunga waliyoanayo sasa na kuwa ni mfariji mkuu tu. Kama sasa alivyo Rais wa JMT akienda Znz. Anakuwa hana mamlaka yyt kwa Znz. Case study nyingine ni Rais za Ethiophia.

Sera ya majimbo yenye uhuru zaidi wa majimbo (kanda) kujiamulia mambo yao wenyewe ni mfumo bora zaidi wa muungano kwa tz, EA, afrika. Na ndilo kimbilio la mataifa yote duniani yaliyoungana.

Ni Muungano wa safaru pekee. Sio jeshi, Sio nini.

Sasa nirudi kwenye msingi wa andiko.

Baada ya uchaguzi wa kumtafuta Mwenyekiti wa chadema moja ya ajenda ya mabadiliko ya uongozi mpya wa chadema aliohubiri Lissu ni kuunganisha majukwaa yote ya wapenda mabadiliko.

Bahati mbaya sana, mimi au sisi watu wa ukanda wa mwamvai kama ngome ya wapenda mabadiliko. kwa kuzingatia propaganda za CCM na ACT kuwa CHADEMA ni chama cha Udini na ukanda. Tulitegemea sana uongozi mpya ungekuja kukata hizi cheap propaganda kwa kuunganisha uongozi wa juu na majukwaa haya hasa makubwa. Nazungumzia jukwaa au ngome ya Watu wa mwambao.

Hali iliyojitokeza baada ya uchaguzi ni kama ulikuwa ni uchaguzi wa kutafuta domination kati ya KKKT na Catholic Tz.

Na kwamba kwa maumivu makubwa Catholic wameamua kudominate nafasi zote za juu za chadema.

Kuanzia nafasi za kuchaguliwa na kuteuliwa. Tunajiuliza sisi minority ktk chama lkn majority ktk population ya Tz, ni bahati mbaya au walipanga.

Sisi kama watu wa mwambao Uwakilishi wetu uko wapi chadema. Kwamba wanaamini kabisa sisi tunaweza kupanga foleni ya kupiga kura kuchagua watu wa tabaka moja. Hivi ni kweli inteligensia ya chadema hawakuliona hilo.

Au ni mkakati Maalum wa Mwenyekiti Mpya wa kuwapa Waislam minority ndani ya chama mkono wa kwa heri ili wapeleke nguvu zao kwa chama kilichojiandaa kuwa ngome kuu ya ukanda wa pwani hata kama ni ccm B .

Mwenyekiti Lissu kapoteza nafasi hii adhimu ya kuyaunganisha majukwa nchini. Na kwamba chama kitamshinda mapema sana.

Nipo tayari kusahihishwa ili niweze kurejesha imani yangu kwa chadema. Na ninaamini imani hii ndio imani ya walio wengi ambao kwasasa wamesusa kabisa mambo ya kupiga kura.

Matamanio yangu kwasasa yanavutiwa na CHAUMMA
Kuingiza udini kwenye uchaguzi wa chadema kumefifisha andiko lako lote.
 
Nazungumzia legitimacy na sio authority.

Kama hamuelewi kuhusu uongozi (leadership) na ushawishi subirini October.
Ungekuwa na akili ungejiunga na wale wanaotaka tume huru na mabadiliko ya sheria za uchaguzi na katiba mpya ili tunapoenda kwenye uchaguzi uwe wa haki. Kumbe wewe mabadiliko yako ya kuwapa ushindi wapinzani ni kuwateua waislamu? Aisee sijaona jamii yenye watu wajinga kama hii
Mimi ni muislam Minority chadema.

Ubaduguzi wa ccm kwa waislam, kuwadhulu na kuwatumia sheria kali dhiki ya waislam ndio sababu ya waislam wengi kuchukua ccm. Kwass SISIEM inachukua madaraka kwa wizi. Si kwa ridhaa ya wananchi. Kimbilio ni chama kikuu cha upinzani chadema. Lkn mbona sasa nayo ni wabaguzi kama ccm. Mfumo kristo, Mfumo Kristo ni anguko
Hapa ndio umeonyesha madhaifu na ujinga uliopitiliza, tuonyeshe waislamu walitaka kugombea uongozi wa CHADEMA wakazuiwa kwa sababu ya uislamu wao? Unasumbuliwa na INFERIORITY COMPLEX huwezi pona na huwezi pata unachotaka kwenye democratic society. Ni ujuha pasee
 
Unadhani hakuna wenye weledi ktk jamii yetu. Kwann wanasita kujiunga na chadema. Kwasababu ya hisia hizi nazojaribu kuweka sawa.

Viongozi wa dini waliosuluhisha walifanikiwa. TEC walifanya hii lobbying na wameshinda. Sasa Lissu hana na kufanya zaidi ya kwenda kupiga magoti kwao, na atakuja kuvaa barakashia akipiti ngome za waislam kama njia ya kuwashawishi na kumtumia mmoja wa Shekhe kama Tamara la deki. Cheap politics
Wishful thinking, unaendeshwa mno na udini kiasi unaona vitu ambavyo havimo, kuna wasio na ufahamu waliwahi kuituhumu CUF ni chama cha waislamu. Hao wenye mawazo finyu kama yako.

Una chuki za kipuuzi dhidi ya Lissu, ila huna hoja unatafuta njia za kutoa uovu uliojaa moyo wako kupitja udini. Walichoenda na walichofanya viongozi wa kidini ni baada ya kuona malumbano na hisia zimekuwa kubwa kiasi kambi mbili hasimu wanarushiana maneno. Kama TEC wameshinna ilikuwa ni suala la lobbying Mbowe ni mkatoliki? Nosense.

Chuki zako dhidi ya ukristo na viongozi wa kikristo kujaribu kuwapatanisha your evil heart, evil mindset imekuumiza. Poor you.

Lissu akawapigie magoti! Sikujua kama kuna waislamu wasio na akili kama hizi. Kwa lipi?

Mwisho kwa nini Lissu? Lissu ni mwenyekiti wa nne wa CHADEMA toka kianzishwe, alikuwepo Mtei mwanzilishi, akafyata Bob Makani kisha akaja Mbowe na sasa ni Lissu. Kama uma chembe ya akili nionyeshe kwa mifano hao waliotangulia walikuwa wanateua waislamu siyo kwa merits zao bali kwa uislamu wao?
 
Hakuna siasa zinazoweza kufanyika Tanzania zikasimama bila kushirikisha jiji la dar. Na dar ina wenyeji, sasa utawezaje kumobileze wenyeji wa dar wewe ukiwa wakuja. Utawezaje bila ya kutanguliza wenyeji.

Nywrere alifanikiwa kwa kutambua hili.

Niwaambie tu yawezekana huu ni mkakati wa watu wakuja kuiteka dar.

Wenyeji wa dar wanajulikana kama wajumbe.

Kama mnadhani wenyeji wanataka vyeo kwa njia ya huruma, yawezekana hujui siasa na ktk hali hiyo hebu tuache muda uongee.
Wewe ni mpuuzi mno, CHADEMA iliwahi kuongoza jiji kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa 2010 na 2015, walipigiwa kura na wenyeji wa Dar es salaam. Dar hakuna kwenye siasa hakuna majority wala minority ya waislamu au jamii yeyote ile. Ni sera zako na ushawishi wako. Kama kweli una chembe ya akili nikumbushe kwenye uchaguzi wowote kwa research yako uislamu uli play any part.

Mwisho wenyeji wa Dar hawana kabila wala dini. Na wazaramo wageni tu hapa, hili ni metropolitan city siyo kijijini cha Mwanalumango
 
1.Hapa Kuna harufu ya udini.

2.Ndio kwanza watu wamekabidhiwa ofisi jana ila una rap kama wana mwaka ofisini.

3.Mahalimu kwenda ACT ni CHADEMA hawakuwa active ili kuinasa sahihi yake.

4.Kila mtu alikuwa na haki ya kugombea kama alikidhi vigezo,kama unaushahidi hebu tuambie ni Akina nani walienguliwe baada ya kuomba nafasi kwa kigezo cha udini.

5.kuhusu ukanda bado unazidi kupotosha,Lisu,Heche,Nshala,Mnyika,Lema ,BOB NK,Hawa ni wa kanda moja na kabila moja?

6.Punguza hisia za mapema subiri watu waingie kazini rasmi.
Lakini wote ni wakatoliki au?
 
Ndio maana nikauliza mbona wazanzibar walimpa Kura nyingi za urais chadema kuliko ACT? Kwani hawakujua kwamba ACT ina waislam wengi kuliko chadema if at all that was the case?
Hukumbuku Lissu alixhofanya kwa ACT.

Umesahau. Walitamka na kuwataka wanaCHADEMA wote walio Unguja wampigie Kura Maalim.

Na Maalim akamuunga Mkono Lissu. Bila ya kauli ya Maalim kwa wana ACT, Lissu angeangukia pua.

Sasa kama kuna mkakakti wa Waislam kupewa mkono wa kwa kheri chadema ili waende vyama vingine vilivyo na wawakilishi wao. Basi njia ile ile ya kuanzisha ukawa.

Hilo nitaunga mkono kuwa vyama vya upinzani vijigawe ktk ngome zao na wasiingiliane. Na kuna haja kwa watu wa mwambao kuwa na chama (chaumma) ambacho kitakuwa ngome ya chani chenye sera ya utawala wa majimbo yenye nguvu zaidi ya kujiamulia mambo yao wenyewe. Sio hivi vya falsafa kufuru ya ujamaa.

Na chadema wataendelea kukaba ngome yake ya kaskazini na kusini nyanja za juu
 
Huu ndio maana ya uongozi. Lissu anatoka kwenye ku criticize Kila siku kwenda kwenye kujibu hoja. Mleta mada ana hoja, isipuuzwe wakadhani ndio imeisha.
 
Back
Top Bottom