Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wale mashangazi walodhurumiwa korosho kule Mtwara sijui watakuelewaEnzi za JMK ndo enzi pekee za CHADEMA kupita.
Vinginevyo mfunzeni LISSU kwa akili aliyonayo aijaze hekima ndani yake.
Ulimi wake aufunze namna ya kuwafariji walio wake na wasio ili wote awapate.
Kwa maneno yao, wameonewa kiasi cha kutosha, wamefungwa kwasi cha kutosha, wamepigwa risasi kiasi cha kutosha.
Wako tayari kuingia barabarani watakapo dhurimiwa kura.
Sasa basi. Imetosha.
Wale mashangazi walodhirimiwa korosho kule Mtwara sijui watakuelewa
Kimenuka !Kwa maneno yao, wameonewa kiasi cha kutosha, wamefungwa kiasi cha kutosha, wamepigwa risasi kiasi cha kutosha.
Wako tayari kuingia barabarani watakapo dhrumiwa kura.
Sasa basi. Imetosha.
Wale mashangazi walodhurumiwa korosho kule Mtwara sijui watakuelewa
Yeye atawarudishia?Wale mashangazi walodhurumiwa korosho kule Mtwara sijui watakuelewa
Mungu kishaachiwa mengi sana ! kuendelea kumuachia hata wizi wa kura ni makosa makubwa sana !Kwa maneno yao, wameonewa kiasi cha kutosha, wamefungwa kiasi cha kutosha, wamepigwa risasi kiasi cha kutosha.
Wako tayari kuingia barabarani watakapo dhrumiwa kura.
Sasa basi. Imetosha.
Enzi za JMK ndo enzi pekee za CHADEMA kupita.
Vinginevyo mfunzeni LISSU kwa akili aliyonayo aijaze hekima ndani yake.
Ulimi wake aufunze namna ya kuwafariji walio wake na wasio ili wote awapate.
Mtu anaemuoza mama yake kwa malipo ya jogoo muogope sanaHivi Lissu na Meko ni nani ana mdomo mchafu. Wamatumbi kule Kilwa hawataki hata kumsikia high mtu asiyeweza kuongea lugha ya Malkia. Wamakonde wa Mtwara hali kadhalika na hata Wakaguru wa Kilosa hawataki kumuona.
Fala sn jamaa........ Hayuko sawa up stairs. Lissu yuko Safi sanaMtu anaemuoza mama yake kwa malipo ya jogoo muogope sana
Kama walipigwa,kufungwa na kudhurumiwa kwa nini hamjashikataki HC?Kwa maneno yao, wameonewa kiasi cha kutosha, wamefungwa kiasi cha kutosha, wamepigwa risasi kiasi cha kutosha.
Wako tayari kuingia barabarani watakapo dhurumiwa kura.
Sasa basi. Imetosha.
Jana si leo shost chagu wa malundeKama walipigwa,kufungwa na kudhurumiwa kwa nini hamjashikataki HC?
Jana si leo shost chagu wa malunde