Ujumbe kwa Hajar

Ujumbe kwa Hajar

Mie sijambo namshukuru Allah. Hahahaa.

Hata sijui na mie nasikia tu Hajar hivi mara kakosea hivi, sijui angendika vile basi tafran. Lol.
[emoji85]
Hebu nisogee hapo karibu kwenye hilo zogo pengine kuna mtu anahitaji ushauri wa hali na mali tumpatie, maana ushungi huo Mashaallah yawezekana wanataka kufika bei, lakini vigezo na masharti lazima vikaguliwe
 
Mkishaambiwa "baby nikwambie kitu"
Kichwa kinaanza kuuma gafla,kama alikupigia utajifanya network imekata na humsikii kabisa,kama ni meseji utauchuna,utazima simu,utatoa betri na laini kabsa,huku mapigo ya moyo yakiwa yamepoteza muelekeo[emoji23]

Makombora hayajawahi acha mtu salama kwa kweli
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Jolie Jolie bana.

Nina Imani nikishika kalamu juu yako, hutonijibu vibaya majibu yale...
 
Asee mi sishindwi nikiona mods wanazingua, hapo naweza hata ku uedit uzi nandika mambo ya JPM .
Siwez kosa solutuon hapo.[emoji23]

Eeh jaman hata efforts za kufungua uzi ziangaliwe kabla ya kutumwaga hadharani.
Hahahaahahaaaaa

Uzuri mtu akiquote, uzi unabaki kwenye quote ya mtu hata wewe uufute tutauona kwenye quote.
 
Back
Top Bottom