Haya magari ya serikali kwakweli yanakera sana huko barabarani. kwanza madereva wake wanaendesha kwa fujo, wanahatarisha usalama wa watumiaji wengine wa barabara, hawafwati alama na taa za barabarani, wanapita upande wowote wa barabara, wanapita kwenye njia za mwendo kasi, wanapaki sehemu yoyote wanayojisikia. Alafu Traffic police wanawaangalia tu.
ukiwachomekea wanakuletea ubabe. Kuna mmoja wa gari la jeshi alinifanyia faulo afrikana pale, nikamvizia nikamchomekea moja kubwa pale kunduchi mmbuyuni, akafunga breki kwa nguvu, tairi zikalia pale, almanusura agonge watu, akashuka akataka nishuke kwenye gari, nikakataa, nikawa nasubiri aje mlangoni kwangu, nimpe kubwa moja alafu nikajisalimishe polisi pale mtongani, yani sikuiyo nilikuwa tayari kwa lolote. Bahati alishtuka akarudi kwenye vieite lake jeupe akasepa. We mjeda kama upo humu unasoma hapa ujue una bahati sana, siku ile nlikua naondoka na wewe! Pimbi we! [emoji3][emoji3]